Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,112
- Thread starter
- #41
Mkuu masopakyindi umenifurahisha sana leo ndio hivyo kumbe nimdanganye nitajaribu kufanya hivyo nimpandishe ndege akipandandege amekwisha atanipenda akitaka asitake. Wazo zuri hilo nitajaribu.Amepanda pipa kuelekea Mwanza, ameiona picha yako na Obama, mabibi wadogo kama hako benefit of doubt inskwisha.
Anaamua kukuamini kama yule mkulima aliyetaka kumnunulia ndege bibi yake!
Akisha fika Mz yuko mikononi, stori ni kua Obama yuko Asia kwa Hang SuKyi, Burma.
Tule good time Mz!
Hapo mkuu spidi yako, kula spring chicken na mifupa yake!
Last edited by a moderator: