MGANGA WA KIENYEJI
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 521
- 170
mkuu Mbuzi Mzee Umeshapata namba yake ya simu?hahahhh umemjuaje tena* makubwa hayo kulikoni?
Mkuu Babkey Hilo nalo ni neno nikishindwa kutumia mdomo wangu itabidi niende kwa Babu wa lolindo au mtu mmoja humu ndani anaitwa kwa jina MGANGA WA KIENYEJI anipe mzizimkavu niufanyie kazi mzizi wa Mripu nitakwenda kwa wasambaa na Wadigo wanipe Mzizi wa mripu niuripue moyo wake anipende mimi MziziMkavu Hauchimbwi Dawa.
BANDUGU NISAIDIENI NIMPATE HUYO MTOTO
Babu wa Loliondo .....
MziziMkavu itabidi tukae tuchague mzizi wa kutumia maana wewe nami wote ni wataalamu