goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
😛 Leo umechelewa bosi.kazi ipo
😛 Leo umechelewa bosi.kazi ipo
Lumumba ndo nini!!!Hii tafsiri ya uzalendo ya Lumumba inachekesha sana
vipi mkuu ukitukana ndo utapata ajira serikalini!!!!!uzalendo mavi yakoooo umewahi kusoma ukakaa njee ya ajiraa
au wako field/masomo kwa vitendo mkuu!!!Utamaduni wa hacking ni kuhack kila mtu, kuanzia bosi wako, colleagues, mpaka boyfriend/girlfriend wako. Sasa watajifunzia wapi kama sio kwenye site zetu? Unajifunza hacking then unatest mitambo.
Inawezekana wao pia ni sehemu ya CoICT labda wameona waanze DASF.huyo hacker ni mwehu kwanini asiende kuhack CoICT anahack dept ya samaki!? shenzi type
Sisi wa UDOM tushajiajiri
sikuwepo sana online boss😛 Leo umechelewa bosi.
It is not so easy kama mnavyosema hasa hapa tz.Bill Gates, Steve Jobs, Mark Zuckerberg, Michael Dell na wengine wengi waliosomea IT hawakutafuta ajira lakini walianzisha makampuni ambayo sasa hivi yamekuwa ya kimataifa. Hakuna taaluma yenye fursa nyingi ya kuanzisha biashara kama IT. Lakini watu wanaosoma IT hapa Tanzania wote wanataka waajiriwe. Kuna tatizo kwenye mfumo wetu wa elimu.
there is no 100% secured system in this world so i blve they canMiaka buku haitowezekana na hao wanaojisifu hawawezekani ni swala la muda tu