Uzalendo ni kumpa fisadi uwenyekiti wa bunge.Hii ndo TZ, wakati North Korea wataalamu wao wanafikilia kuidukua SK,US na baadhi ya makampuni UK, wataalamu wetu wanaanza kuidukua nchi yao ha ha haaa!! uzalendo wako uko wapi kwa nchi yako!!!!
Miaka buku haitowezekana na hao wanaojisifu hawawezekani ni swala la muda tuAisee.
Wakahack kule magogoni ndio watafanikiwa
Avator yako nimeipendaWanahack college
Wanahack college
Sasa mkui huyo Hacker atajitokeza hadharani apewe ajira?uwezo wanao iyo imedhrisha watu wa I.T wa udsm wana uwezo mdogo hadi website yao imehackiwa cha umuhimu hao vijana wapewe ajira haraka