Hackers wafanya yao website ya UDSM

Hii ndo TZ, wakati North Korea wataalamu wao wanafikilia kuidukua SK,US na baadhi ya makampuni UK, wataalamu wetu wanaanza kuidukua nchi yao ha ha haaa!! uzalendo wako uko wapi kwa nchi yako!!!!
Hii tafsiri ya uzalendo ya Lumumba inachekesha sana
 
Hii ndo TZ, wakati North Korea wataalamu wao wanafikilia kuidukua SK,US na baadhi ya makampuni UK, wataalamu wetu wanaanza kuidukua nchi yao ha ha haaa!! uzalendo wako uko wapi kwa nchi yako!!!!
Wenye uchungu wa kweli na nchi yao wanaitwa wasaliti, lakini wanafiki wanajiita wazalendo
 
Sijui anaweza akadakua ARIS nimtafute
Don't watakupata tuu utakosa kitu muhimu kwa ujinga wa muda mfupi.

Hawa hackers ni wazembe kulioia ajira. Wangetizama wenzao jinsi wanavyopata pesa. Kuna kijana mmoja mwaka fulani ali hack simu ya i phone in 24hrs of launching. Mwengine alinunua kampuni ya gooogle wote hawa walijipatia pesa kwa kugundua flaws ktk system. Wangehack kampuni ya simu wangepiga pesa in 2-3 hours lakini aquatic dpt tena serikalini nani atawapa pesa? Au ndo vile wanajifurahisha tuu. Halafu si muda watadakwa wabongo hawawezi kufanya jambo bila kumwambia rafiki, ndugu, au mwenza. Pia wakiamua kuwasaka watawapata tuu ni suala la muda tuu.
 
Hii ndo TZ, wakati North Korea wataalamu wao wanafikilia kuidukua SK,US na baadhi ya makampuni UK, wataalamu wetu wanaanza kuidukua nchi yao ha ha haaa!! uzalendo wako uko wapi kwa nchi yako!!!!
Ukisikia mbwa anamng'ata boss wake ndo hapo ila hawana makosa kwasabbu wananjaa na njia pekee ndo hiyo ya kushiba
 
sasa ukishadukia tasisi za serikali ndo watakupa ajira!!!!

Nani alikwambia kusomea I.T ni lazima serikali ikuwajiri?

Mbona vijana wengi tunawajua wamesoma I.T na wakabuni miradi mingi kulingana na taaluma zao!!!
Sasa kama hao I.T wote wakibuni kila mtu miradi yake kwa hao I.T ni nan atakae ajiriwa ???
 
Sioni walicho kifanya hao hacker, nilidhani wameiblock au wamechukua huko data muhimu na kuzivujisha, kumbe ni upuuzii tu.
 
Us**ng**, kwani wapi walijaza mkataba wa kuajiriwa mara wamalizapo elimu zao? Au sheria ipi iliwalazimisha kwamba ni lazima wapate elimu ya juu? That's mindless. Wao wata-hack kushinikiza waajiriwe, halafu madaktari wahitimu wafanyaje, watuue huko wanakojitolea? Lawyers na wengine wageuke matapeli?

Ila kwa upande mwingine japo serikali na taasisi binafsi haziwezi kuajiri wote wenye sifa bado zi a JUKUMU la kutengeneza nafasi za ajira kwa vijana wote wanaoingia kwenye soko la ajira na sio kutengeneza fursa kwa UVCCM pekee. Hilo ni jukumu la serikali zote duniani, haisaidii kukaa kudanganya watu tu na hoja za kipuuzi eti uchumi unakua na kodi inakisanywa nyingo huku tukisahau sio enzi za TANU hizi. Vijana wamesoma wanafahamu kila kitu. Unemployment ni BOMU. HALI NI MBAYA ZAIDI AWAMU HII. Serikalini hakuna ajira, sekta binafsi IMEDUMAA na bado inazidi kwenda chini.
 
sasa ukishadukia tasisi za serikali ndo watakupa ajira!!!!

Nani alikwambia kusomea I.T ni lazima serikali ikuwajiri?

Mbona vijana wengi tunawajua wamesoma I.T na wakabuni miradi mingi kulingana na taaluma zao!!!
Sasa je sisi ambao hatujasoma hata o level lakini I.T tunajua vibaya mno kama bill gates yaani.... Na mwakani tutatengeneza software ambayo itatumika dunia nzima.. o_O :p
 
Back
Top Bottom