Hackers wafanya yao website ya UDSM

Hackers wafanya yao website ya UDSM

hackers kutoka Tanzania waingilia tovoti ya universtiy of dar es salaam kitengo cha aquatic

wanadai serikali inawasomesha lakini ajira wanapeana kindugu na zoezi hili ni endelevu

30343ec57e0116f5b8473eae5111cb69.jpg


f2b847d4dfa8de136cd372f246a4197d.jpg


aquatic.udsm.ac.tz


Hawa jamaa inaonyesha wamejipanga
 

Attachments

  • IMG_9567.jpg
    IMG_9567.jpg
    72.1 KB · Views: 61
Hii ndo TZ, wakati North Korea wataalamu wao wanafikilia kuidukua SK,US na baadhi ya makampuni UK, wataalamu wetu wanaanza kuidukua nchi yao ha ha haaa!! uzalendo wako uko wapi kwa nchi yako!!!!
Uzalendo ni mkurugenzi wa TAKUKURU kumgombeza na kumtisha raiya aliyeleta taarifa ya rushwa inayotolewa na DC.
 
You better understand that they have just dialed a wake-up call.
To me that is ethical.
They could hit where it hurts the most.
Mimi nakupa elimu, sikulazimishi kuelewa.
 
Kwa nini wasiwe wanahack system za waajiri au lists za waliosailiwa wapenyeze majina yao huko...
 
Kwa nini wasiwe wanahack system za waajiri au lists za waliosailiwa wapenyeze majina yao huko...
hahahaha umenikumbusha mbali sana kuna jamaa huko mbele alihack sytem za ajira halafu akajiandikia barua ya kuitwa kazini bila interview wala nini
sema jamaa nao wameonyesha mwanzo mzuri.
 
Wapuuzi,,mnahack chuo?wenzenu wana hack technologies na kuziuza,,,kweli ndio maana hamwezi kuajirika, tengenezeni software mweke kwa android halafu mwone kama hazitanunulika. Software za misimu ya mazao,,,masoko ya kilimo,,,, matibabu. Tena ziwe za kiswahili sanifu.
 
Wapuuzi,,mnahack chuo?wenzenu wana hack technologies na kuziuza,,,kweli ndio maana hamwezi kuajirika, tengenezeni software mweke kwa android halafu mwone kama hazitanunulika. Software za misimu ya mazao,,,masoko ya kilimo,,,, matibabu. Tena ziwe za kiswahili sanifu.
Nani kakudanganya kuwa software zinanunuliwa huko play store asilimia kubwa wanaziiba
 
Kwanz Pongezi kwao kama wamefanikiwa kwa 100% kupenetrate kwenye izo server za Udsm
Pili nichangamoto kubwa sana kwa watu hawa natolea mfano vipi daktari kamaliza miaka 5 anakaa nyumban hana ajira je hatafanya kitu kinyume na maadili ya kazi yake(mfano japo sio hai)
Tatu hii inaonyesha ukomavu wa matumizi ya mtandao kwa taifa hili nakuonyesha pia wanauwezo binafsi
Nne naona wametumia muda mwingi kupenetrate kwenye izo sites kama Udsm na OUT mpka kufanikiwa na hao maAdmins kushindwa kujua kama wapo hatarini
Nini kifanyike,hii inaonyesha ni hatua kubwa kwenye suala la Zima la udukuzi kama umefanyika kweli
Mwisho mdukuzi hapendi kufanya kazi(ajira)bali hupenda kudukua tu na kuona hii ndio kazi rahisi kwake.






tzYaViwonder
 
Wachukue vitu vya magogoni kuwakomesha..! Vuruga TRA na Mabenk alafu wanaenda kutengeneza wenyewe ajira hiyoo
That is a crime against the state mkuu...kesi yake ni uhujumu uchumi..watch out
 
Mtu aliyesoma IT nikiona analaumu serikali kukosa ajira hua namshangaa sana. Hivi mbona wengine tuna kazi na watu wanatufata kila siku hadi nyingine tunazikataa? Ndani ya mwezi ty nishakataa kazi za zaidi ya 10Mil. Alafu kuna mtu kakaa ndani anauwezo angebeba kazi ila yupo tu.

Msikae ndani 24/7 mmejifungia mkitegemea mvua ya pesa ishuke, jishughulisheni. Hakuna sector hot sasa hivi inayokua kwa kasi kama IT kwa Tanzania.
 
What do you mean? There is nothing ethical about that hack. Ethical hacking means getting permission from a client to test his/her systems by trying to penetrate(intrude) them. Ethical hacking is white hat hacking, what has happened is black hat (malicious).

So don't use that term in a manner you have done, you will be confusing people. I guess you meant it should be a 'harmless' hack. Harmless in a sense that no information should be stolen, deleted, modified or copied.
Nakukubali sana,uko vizuri.
 
Wanashindwa hack taasisi nyeti , kupata taarifa nyeti wauze?
Maana hiyo ni ajiratosha
 
Poor hackers! Hawa hata wakiomba kazi stationary yangu siwapi. Hapo walipo hack wamefaidika nini? Wamewaingiza wadogo zao kwenye selection labda?? Hayo makaratasi yatawasaidia nini?
Ukifanya jambo baya halafu hujapata faida yoyote wewe ni mjinga sana.
 
Back
Top Bottom