Nataka simu moja wa hack website ya ccm ili mtie akiliKusoma IT wanafanya hayo kulilia ajira.. kama kweli wanajiamink wameshindwa vipi kutumia ujuzi wao kujiajili na walichosomea.
Watakamatwa waende jela kufanyia kazi huko.
Unataka zee lenye kopara lizimie wewe hahahawatusaidia ya TRA tujue mapato yetu
Imenibidi nirudi kuangalia taarifa imeweka kwenye jukwaa gani nikakuta ni jukwaa la Technology sasa sijui huyo mwenyekiti wa Bunge amekujaje hapa au ndo kulala, kuamka, kula asubuhi mchana jioni ni siasa tu!!!!!Uzalendo ni kumpa fisadi uwenyekiti wa bunge.
hawa vijana watatusaidia kwa mambo mengi maana vyasiri vingi vitawekwa waziUnataka zee lenye kopara lizimie wewe hahaha
Bora sa kama kazi hawana,watadukuaje makampuni makubwa wakati mtaji (hela ya kula)wa kufanya hivyo hawanaHii ndo TZ, wakati North Korea wataalamu wao wanafikilia kuidukua SK,US na baadhi ya makampuni UK, wataalamu wetu wanaanza kuidukua nchi yao ha ha haaa!! uzalendo wako uko wapi kwa nchi yako!!!!
unataka ufaulu kirahisiSijui anaweza akadakua ARIS nimtafute![]()
Mkuu vipi ushafungua kampuni yako ya Software development na Website designNataka simu moja wa hack website ya ccm ili mtie akili
Utamaduni wa hacking ni kuhack kila mtu, kuanzia bosi wako, colleagues, mpaka boyfriend/girlfriend wako. Sasa watajifunzia wapi kama sio kwenye site zetu? Unajifunza hacking then unatest mitambo.Hii ndo TZ, wakati North Korea wataalamu wao wanafikilia kuidukua SK,US na baadhi ya makampuni UK, wataalamu wetu wanaanza kuidukua nchi yao ha ha haaa!! uzalendo wako uko wapi kwa nchi yako!!!!