Hackers wafanya yao website ya UDSM

Hackers wafanya yao website ya UDSM

Hii ndo TZ, wakati North Korea wataalamu wao wanafikilia kuidukua SK,US na baadhi ya makampuni UK, wataalamu wetu wanaanza kuidukua nchi yao ha ha haaa!! uzalendo wako uko wapi kwa nchi yako!!!!
Uzalendo bila ajira
 
hao UDSM ndo hawana habari kabisa bora Open University of Tanzania wameiweka Off tovuti yao baada ya ku hackiwa na mtu ambae nafikiri ni yule yule!

Na mimi naomba kumuunga mkono alosema kwa "uhandishi tu wa mdukuzi huyu,hadhani kama anaweza ajiriwa sehemu yoyote"

Kama anao uwezo asingekua na hizo fikra za kuajiriwa kiasi cha kuweza kuzi display mpaka pale alipo Dukua!

3292c2d9c57fcbee09f54f31b9147edc.jpg
 
Hatari sana, kama selikari inawataalamu iwatumie na wenyewe wadukue taarifa za wadukuaji, hahaaa twende kazi sasa ni wakati Wa technology. Hapo ni Black hat hacker vs Wight hat hacker
 
uwezo wanao iyo imedhrisha watu wa I.T wa udsm wana uwezo mdogo hadi website yao imehackiwa cha umuhimu hao vijana wapewe ajira haraka
watapewaje ajira wakati hawajulikani? pia huwezi kusomesha watu halafgu wote wakaajiriwa hapo hapo UDSM wajiongeze hao ajira hamna kila kona TZ na ulimwenguni kwa ujumla na si kwa IT tu ni kwa kada zote. Siku hizi mpk mhasibu mwenye CPA au mwanasheria aliyehitimu Law School bado wanasota kitaani
 
Kumbe ulisoma ili uajiriwe? Kama manaweza kuhack, si mjiingize kwenye payrol na muwe mnapokea mishahara kwa kutumia elimu yenu? Au si mchukue chenu mapema pale nbc kwa kuwa nao walituibia? Hamjui lolote. Watalaam mnaanzia acquatic department? sasa huko kuna umhimu gani?
 
kasoro hawajulikani wangekuwa wanajulikana ningemtafuta mmoja nimpe kazi japo temporary
 
Kusoma IT wanafanya hayo kulilia ajira.. kama kweli wanajiamink wameshindwa vipi kutumia ujuzi wao kujiajili na walichosomea.

Watakamatwa waende jela kufanyia kazi huko.
 
Back
Top Bottom