Vijana waliohukumiwa wote niwale wanaotokea Mbeya, Mbozi na Kibaha. Wakati Vijana wa Kilimanjaro wameachwa kwa madai wao wametoa ushirikiano.
Waliohukumiwa ni:
_Mtela Mwampamba-Mbozi, Mbeya
_Habib Mchange-Kibaha, Pwani
-Juliana Shonza-Mbozi, Mbeya
-Joseph Kasambala Mbeya mjini (kasimamishwa)
- GWAKISA Mwakasendo Rungwe, Mbeya (kasimamishwa)
Pamoja na wanachama watatu waliopo Mbeya mjini waliofukuzwa uanachama.
Waliosamehewa ni:
_Ben saanane-Kilimanjaro
_Exaud Mamuya-Kilimanjaro.
Hii ni dhamira ya wazi kabisa kwamba CHADEMA sasa ni chama cha kikanda, Viongozi wa CHADEMA wanatumika kutangaza ukanda kwa watanzania.
Kwa maana hiyo wale wote wasio wa kaskazini ndani ya Chadema tusitegemee kutendewa haki.
source; juliana shonza
labda kanunua simu iliyoibiwa bila kujua,au kategeshewa watu wamemuuzia simu wakijua kabisa ni ya wizi,ili baadae wamgeuzie kibao unacheza na John Mrema weweMkuu mtu tuliyetaka kumpa uongozi wa jimbo aende kununua simu ya wizi wakati unajua ni kosa na wewe unamtetea???kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
Ni lazima niwe Tatizo kwenu...na sina dalili ya kuacha kuwa Tatizo katika siku za usoni
Ulipofukuzwa ukapotea underground ukaja ukafungua ID juzi tarehe 11/01/2013 na kujiita Osamamtanzania.Kama kukua ndiyo kukubali kuwa Kuwadi na Msaliti kwa CHADEMA basi sitaki kukua kwa aina hiyo na akili hizi hizi ndizo zinazofaa.Hizo nyingine zizitaki
labda kanunua simu iliyoibiwa bila kujua,au kategeshewa watu wamemuuzia simu wakijua kabisa ni ya wizi,ili baadae wamgeuzie kibao unacheza na John Mrema wewe
Ole wao wanaoshuhudia uongo...
Ole wao wanaoshuhudia uongo...
Mwigulu chemba ya maji ninakuona hapa nenda ukamuwekee dhamana kijana wako
Aliyewahi kuwa Mwanachama wa CHADEMA na Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Habib Mchange anashikiliwa na kituo cha Polisi Mabatini Kijitonyama kwa tuhuma za wizi wa Simu.
Habib Mchange alikamatwa jana usiku na mpaka leo asubuhi alikuwa bado hajapata dhamana. Huku mahojiano yakiwa yanaendelea kituoni hapo.
Habib Mchange alifukuzwa Uanachama wa Bavicha mapema mwezi huu kwa utovu wa nidhamu na usaliti dhidi ya Chadema ambapo mbali na kufukuzwa Bavicha alipoteza pia uanachama wa Chadema kikatiba.
Source: Mimi Mweyewe-Molemo.
Roflmaoo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Duuuuuuuu where is prezzo aka dogo?
Mr.President usije ukamkana.......Ole wao wanaoshuhudia uongo...
DuhNasikia kalamba kweli na sio simu moja, ila katapeli za mamilioni yaani kamwingiza mfanyabiashara chaka ......
Crashwise utaniponza.....lolWafadhili wake wamekoma kutoa mshiko kwa kuhofia kufatiliwa na mkono wa Ben Saanane akona isiwe tabu...
du mpaka sasa hajaachiwa tuu??ngoma imellala hiyo huyo kesho Kisutu,mtuletee picha pls
Shoza na Drogba mjipange sasa mkamuwekee dhamana team mate wenu
Ni kweli mkuu ErythrocyteNamuonea huruma sana , hata kama ana makosa bado hastahili adhabu ya kudhalilishwa namna hiyo , hebu wana CDM mliokaribu na eneo la tukio muokoeni Habibu jamani !
na vile alikimbia shule...kazi ipo kwelikweli
Hakika Mungu ni mwema wakati wote.
Alivyokua CDM walimuona muhimu kwao na walikua wanamlipa kwa kazi waliyomtuma, leo kamwagika CCM hawataki hata kumsikia amekua kama cond..m! poor habib.......... umechoka mpk unaiba simu? ukitoka nenda temeke mtemvu kashawatafutia ajira uarabuni.......!
Duh Shinto....Huogopi kudanganya kiasi hiki?B saa tisa atakuwa anahusika hapa, lazima atakuwa amemtegea hiyo kitu! Hutu dogo ni afadhali ya Yuda !
kama kiogozi anafikia hatua ya kukwapua simu, sasa si anaweza kuwauza hata wananchi wake? CDM mnaona mbali jamaa asingewafaa. ntapita hapo kijitonyama ni njia ya kwenda nyumbani nimcheki.