Habari za Udukuzi.....

Habari za Udukuzi.....

ni mjinga kuzidi kengeza.

Amekaa kiboya akabugia siafu

Nalog-off
Mwenzio hataki kuachiwa wala huruma.
Anataka kama kesi ya kweli ipo ashinde kiuhalali.

Lissu sio mbowe na hao wajinga wajinga..........

Ni mtu wa haki kweli kweli.
k
 
Mnaanzisha hoja wenyewe halafu mnapinga wenyewe. Kifupi, GAIDI hadi anyongwe! Hayo ya kuachiwa oteni ndotoni.
Hakuna mtu anataka aachiwe, ila aibu wanayokutana nayo hao vilaza wa serekali ni hatari. Tena ilitakiwa huyu shahidi wa sasa adhibitishe utambulisho wake, hapo ndio ingekuwa aibu ya Karne. Nilisema toka juzi, kuwa Lisu aliwashinda hao vilaza wa jamuhuri kwenye mahakama kuu toka mwaka jana, wakaenda kuipack kesi mahakama ya rufaa, na huko kawalambisha mchanga.

Wamerudi mahakama kuu wakitegemea kuchomekea ushahidi uchwara kama watafanikiwa. Lakini ndio imezidi kuwa mbaya maana huyu shahidi ndio wangalau walitegemea anaweza kujibu sunami. Lakini sasa imekuwa aibu zaidi. Na kesho sitegemei wawe na shahidi wa maana zaidi ya blabla na kulazimisha maridhiano uchwara. Na cdm wasikubali kabisa maridhiano ya hadaa bila uwajibikaji. Kesi iende hadi mwisho tuone nani zaidi.
 
Kuna dalili jamaa akaachiwa HURU
Mama kaamua kuwa mzazi ,,,uongozi kauweka pembeni .....
Tuendelee kuvuta subira
Wabobezi na wabobevu wa falsafa, sosholojia, na saikolojia wa TEC wamemuelewesha kuhusu mambo yajayo ndani na nje ya chama chake.

Hatma yake ipo mikononi mwake mwenyewe. Madaraka aliyonayo ni kama vazi la kuazima, muda ukifika halitaweza kumsitiri tena. Kesho yake hauijui bali aibu, fedheha, na kumbukumbu za mabaya yake zitamwandama daima.
 
Wabobezi na wabobevu wa falsafa, sosholojia, na saikolojia wa TEC wamemuelewesha kuhusu mambo yajayo ndani na nje ya chama chake.

Hatma yake ipo mikononi mwake mwenyewe. Madaraka aliyonayo ni kama vazi la kuazima, muda ukifika halitaweza kumsitiri tena. Kesho yake hauijui bali aibu, fedheha, na kumbukumbu za mabaya yake zitamwandama daima.
mikwara yenu bana.

😂😂😂 yaan

ila Watu aina yako mnaishi kwa matuamin na kuishia
 
Kwa vile wewe ni mtoto wa Shule nikuchukulie kama chekechekea anayetawazwa kinyesi, huna hatia kwa haya uropokayo.

Ila ukiwa mkubwa utayachukia uliyoropoka.
Chekechea haswa ninayetoa maoni JF na wewe ukachangia! Ahahahahaha!!
 
Hakuna mtu anataka aachiwe, ila aibu wanayokutana nayo hao vilaza wa serekali ni hatari. Tena ilitakiwa huyu shahidi wa sasa adhibitishe utambulisho wake, hapo ndio ingekuwa aibu ya Karne. Nilisema toka juzi, kuwa Lisu aliwashinda hao vilaza wa jamuhuri kwenye mahakama kuu toka mwaka jana, wakaenda kuipack kesi mahakama ya rufaa, na huko kawalambisha mchanga.

Wamerudi mahakama kuu wakitegemea kuchomekea ushahidi uchwara kama watafanikiwa. Lakini ndio imezidi kuwa mbaya maana huyu shahidi ndio wangalau walitegemea anaweza kujibu sunami. Lakini sasa imekuwa aibu zaidi. Na kesho sitegemei wawe na shahidi wa maana zaidi ya blabla na kulazimisha maridhiano uchwara. Na cdm wasikubali kabisa maridhiano ya hadaa bila uwajibikaji. Kesi iende hadi mwisho tuone nani zaidi.
Hakuna siku nitafurahi kama siku anatiwa hatiani kwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa! Kwani sasa hivi mshasema? Mtasema sana baada ya hapo!
 
Back
Top Bottom