olmo
JF-Expert Member
- Jun 21, 2026
- 293
- 522
Weka vyeti basiWewe unahisi alikufa?
Weka vyeti basiWewe unahisi alikufa?
Tunataka hukumu hatutaki ujinga wa SamuyaKuna dalili jamaa akaachiwa HURU
Mama kaamua kuwa mzazi ,,,uongozi kauweka pembeni .....
Tuendelee kuvuta subira
Tufanye hivi, Mimi naweka NBA za vyeti vyangu na baada ya hapo na wewe uweke vyako. Usipoweka, moderators watuhakikishie kuwa ambaye hataweka namba ya vyeti vyake kati ya mimi na wewe apigwe ban ya maisha humu.Weka vyeti basi
Mimi nakusubiri wewe sio moderatorsTufanye hivi, Mimi naweka NBA za vyeti vyangu na baada ya hapo na wewe uweke vyako. Usipoweka, moderators watuhakikishie kuwa ambaye hataweka namba ya vyeti vyake kati ya mimi na wewe apigwe ban ya maisha humu.
Nasubiri majibu ya moderators niweke vyeti vyangu na wewe uweke vyako. Binafsi nitaweka vyeti vya;
a)La Saba from Kitobo Primary School (aliposoma pia Mexcence Melo)
b) CSEE from Kahororo Secondary School
c) CSEE from Dakawa High School
d) Bachelor from SAUT (Niliposoma course moja na John Heche na mke wake)
e) Masters from OUT
Nasubiri tu maamuzi ya moderators.
Harafu kumbe umesoma arts! ndio maana unawashwa washwa kuweka vyeti! Masomo ya kusoma umelala kitandani ukikariri wahusika wa ngoswe!Tufanye hivi, Mimi naweka NBA za vyeti vyangu na baada ya hapo na wewe uweke vyako. Usipoweka, moderators watuhakikishie kuwa ambaye hataweka namba ya vyeti vyake kati ya mimi na wewe apigwe ban ya maisha humu.
Nasubiri majibu ya moderators niweke vyeti vyangu na wewe uweke vyako. Binafsi nitaweka vyeti vya;
a)La Saba from Kitobo Primary School (aliposoma pia Mexcence Melo)
b) CSEE from Kahororo Secondary School
c) CSEE from Dakawa High School
d) Bachelor from SAUT (Niliposoma course moja na John Heche na mke wake)
e) Masters from OUT
Nasubiri tu maamuzi ya moderators.
Nasema hivi nguruwe wa mama mtulie mashahidi wenu wa kwenye mabox wagongwe mpaka watie adabu.Na mimi SITAKI ifutwe. Na waambie Chadema wenzako waache kuloloma Lissu afutiwe kesi. Wasubiri hadi mwisho.
Awamu hii CDM wako makini mnoo, huwezi kuwayumbisha na ujinga ccm mpaka wateme bungo.Hakuna mtu anataka aachiwe, ila aibu wanayokutana nayo hao vilaza wa serekali ni hatari. Tena ilitakiwa huyu shahidi wa sasa adhibitishe utambulisho wake, hapo ndio ingekuwa aibu ya Karne. Nilisema toka juzi, kuwa Lisu aliwashinda hao vilaza wa jamuhuri kwenye mahakama kuu toka mwaka jana, wakaenda kuipack kesi mahakama ya rufaa, na huko kawalambisha mchanga.
Wamerudi mahakama kuu wakitegemea kuchomekea ushahidi uchwara kama watafanikiwa. Lakini ndio imezidi kuwa mbaya maana huyu shahidi ndio wangalau walitegemea anaweza kujibu sunami. Lakini sasa imekuwa aibu zaidi. Na kesho sitegemei wawe na shahidi wa maana zaidi ya blabla na kulazimisha maridhiano uchwara. Na cdm wasikubali kabisa maridhiano ya hadaa bila uwajibikaji. Kesi iende hadi mwisho tuone nani zaidi.
My argument with you is overMimi nakusubiri wewe sio moderators
Ni jambo jema kwamba unamsharau Lissu na Heche pia!Harafu kumbe umesoma arts! ndio maana unawashwa washwa kuweka vyeti! Masomo ya kusoma umelala kitandani ukikariri wahusika wa ngoswe!
Lissu is designated to be guillotined! Mark my words!!!Nasema hivi nguruwe wa mama mtulie mashahidi wenu wa kwenye mabox wagongwe mpaka watie adabu.
You owe me an apology for the serious disrespect you showed me. I’m an educated man—I studied PCB, while you’re studying Ngoswe—and yet you’re puffing out your chest and acting disrespectfully toward me.My argument with you is over
If I answer you on this, I'll be as foolish as your parents who raised a foolish person like you!You owe me an apology for the serious disrespect you showed me. I’m an educated man—I studied PCB, while you’re studying Ngoswe—and yet you’re puffing out your chest and acting disrespectfully toward me.