The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Naskia mwanamke akivaa suruali ni mhuni watu wanamshangaa.Hhaha mie sijaishi maisha hayo aisee nimezaliwa mkoani nikitoka nje naona mashamba ya chai basi....bas kulikua na discpline...!