rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,478
- 41,879
Shamba kijijini au???Baba alienda shamba,sasa sijui kama wakikubaliana na hili swala la naenda na watoto
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Shamba kijijini au???Baba alienda shamba,sasa sijui kama wakikubaliana na hili swala la naenda na watoto
pengine mumewe hakuwepo nyumbaniHUYU MAMA KAMA SIO SINGLE MAZA BHASI BABA WA FAMILIA AFUNGWE JELA JAPO MWAKA MMOJA KWA UZEMBE HUU...!! Yani unaachaje mkeo afanye upuuzi kama huu????? Aibu sana hata simlaumu mwanamke hapaa..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hapa hapa Dar
Baba yupo,alienda shambani. Msiba upo KimaraUpuuzi mtupu ,watoto na msiba wapi na wapi ayo ndio matunda ya ujinga, iyo familia hakuna baba itakua.
Lakini sidhani kama Huyu mama usiku huo hakugusia jambo lolote kuhusu kwenda raifa... Familia ambazo mwanamke anakurupuka tu na kuondoka nyumbani bila hata kuaga bhasi jua Baba ni bwegee yani!! Mimi nikioa mke wangu hawezi kwenda mahali bila kiniaga nasema BALAA LAKE SIO DOGO.pengine mumewe hakuwepo nyumbani
Wanazikwa Alhamis Mkuu,misa itakuwa KKKT Kimara Korogwe then watazikwa home kwao hapo hapo KimaraLakini sidhani kama Huyu mama usiku huo hakugusia jambo lolote kuhusu kwenda raifa... Familia ambazo mwanamke anakurupuka tu na kuondoka nyumbani bila hata kuaga bhasi jua Baba ni bwegee yani!! Mimi nikioa mke wangu hawezi kwenda mahali bila kiniaga nasema BALAA LAKE SIO DOGO.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Duuh inaumiza sana yani...!!Wanazikwa Alhamis Mkuu,misa itakuwa KKKT Kimara Korogwe then watazikwa home kwao hapo hapo Kimara
Wametoa idadi kamili ya waliofariki kwenye mkanyagano? Nasikia kuna wengine.Imeniuma nikiangalia wtt wangu hapa maskini ndo nikawatese huko kwny misongamano. Tumejikalia zetu nyumbani tunaangalia TV mubashara kabisa.
Nadhani tatizo ni kuwaamini viongozi wao kupindukia, wanasahau kwamba hao ni just human beings kama wao na wanasukumwa na personal interests na ndoto zao za maisha.... ila watanzania tuna akili za ndezi sana! Yatosha tu kusema hivyo.
Elimu ndiyo kila kitu, akili ikifunguka jua itapambana na umasikini kwa mbinu na kwa urahisi. Angalia wa Israel karibia asilimia 95 ni wasomi wazuri na wanasumbua mpaka huko Ulaya na Amerika....Elimu....na ufukara pia jamani....vinahusika sana
Hii ndiyo akili ya mswahili, hata akienda kwa mchepuko na kugonga pekupeku atakwambia kufa kupo tuu.Tusilaumu sana unajua kama siku yako imefika...imefika tu jamani hao hata km isingekua kwenda huko hata wangeakiwa na nyumba....ndo maana tunahimizwa tufanye mema hatujui saa wala mda Mungu anachukua uhai wake
Zamani pale saba saba ni kweli watoto walikuwa wanapotezana na wazazi. Lakini waandaaji walikuwa na mfumo mzuri kwamba mule ndani kulikuwa na kituo cha polisi, wanapelekwa pale halafu kulikuwa na maspika mule ndani wanatangaza aliyepotelewa na mtoto afike kituoni hapo polisi saba saba. Unaenda unamkuta mwanao ila na matusi juu kwa kuwa mzembe.Best hivi ni kweli zamani sabasaba na nanenane mtoto akipotea halafu uende umpate kwa polis cha kwanza mzazi unazabwa vibao vya uhakika?
Kwakweli inawezekana maana kuna wengne walikimbiza gari wakjikuta wako airport na nauli ya kurudi hawana ma washachoka