Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

Jamani Ndugu zangu wa ukawa naomba tuweke Silaha chini tumuunge mkono mh. Raisi katika hili, hata kama kuna makosa yalifanywa na ccm siku zilizopita lakini sasa wanayarekebisha hilo ni jambo jema kwa nchi yetu, nchi kwanza siasa baadaye, wazungu wanasema hata kama umetembea umbali gani ukigundua umepotea geuka urudi ulikotoka ili ufuate njia sahihi
Mkwepakodi,
Hakuna mtanzania analikataa hilo la kurekebisha nchi, kinacholeta malumbano ni jinsi gani ya kukabiliana na hawa wenye nguvu zao ambao tuliwapa nchi yetu kwa kupenda wenyewe.
Hivi nikuulize,
Ni sahihi kurekebisha makosa kwa kufanya makosa?
Inahitaji mjadala, inahitaji jopo la wanasheria nguli wakae waumize vichwa vyao ili tupate upenyo wa kuponyoka mikononi mwa hawa watu.
Tukitumia "Uzalendo" zaidi bila kuchungulia wapi tumenasa na jinsi ya kujinasua basi itakuwa heri hata kuibiwa kuliko kutoibiwa.
 
Mbona mnazingua sana.mbona mnakuwa na hofu wana jf.hakika raia wa tanzania ni watu waajabu sana sisi.kweli kabisaaa tuna diriki kumtetea mwizi badala ya kuungana na raisi wetu?


Hakuna mahali ambapo tunaonyesha nia yakulinda na kutetea maslahi ya nchi.

Raisi alizuia mchanga ilikupima na kujua thamani ya kilichopo ndani ya mchanga.kuna ubaya gani hapo.tumekubaliana na yote kuwa mikataba nimibovu tulio wapa dhamana wametuingiza mkenge sawa lkn hatuwezi kukubali kuendelea kudanganywa kwenye mchanga pia.watwambie kila mwaka wanakula hasara wakati wanapata faida mara dufu zaidi kwenye mchanga huo.

Kwani hili linaubaya gani.
Kwa uelewa wako mpana unafikiri matokeo ya tume ya upande mmoja yatatufikisha wapi kwenye kudai chetu? Na bila kusahau kuwa disputes zetu zinasikilizwa ICSID
 
Na Magufuli huyu huyu alipopiga meza kisha kupigia Miswada hiyo ya Kuiuza Tanzania, Yeye Kikwete, Mkapa na Wengine walipewa Asilimka Ngapi? Akina Yona na Mramba walipelekwa Jela Kwa Kulisababishia Taifa hasara, Basi Kama Kweli nyie washenzi ni Wazalendo kabla ya Kuhangaika na Mzungu wapelekeni waliowauzia Nchi Jela ndio Tutaona Mko serious. I swear Mkifanya hivi I will shut up na hata Wazungu watawaheshimu!

Vinginevyo ni Utumbo Mtupu. Na aache kulialia hakuna Dawa hospitalini wakati kwa Ujinga alichukua pesa bila hata Budget kununulia Vindege visivyo na tija ili Baadaye aligambe, "Nirinunua Ndege"

Uchama na Tamaa ya madaraka ndio vinavyowafelisha..Na kwa style hiyo madaraka mtaishia hukohuko kwenye saccoss
 
Well nilimaanisha kwa Upumbavu wa Kijumla Kama wabunge wa CCM, Ikumbukwe neno Stupid ni Baya kuliko Upumbavu sasa sikiliza ile Hotuba ya Magufuli alimwiita Mtu mmoja stupid. Anyway I need to edit someting ingawa simwogopi mtu, sikukusudia hapa Kumwita Rais Mpumbavu kama Binafsi!
Matusi kwa Rais ya nini? Mimi nilishamjua huyu siku nyingi kuwa ni mtumwa wa kupuuzwa tu. Ana vinasaba vyote vya ulimbukeni wa kuwa Marekani ndio maana haishi kutuwekea picha zake hapa na visutisuti vyake. Kama unataja viongozi waliokuwepo Serikalini wakati mikataba inapitishwa mbona intentionally umewaacha Sumaye na Lowassa ambao walikuwa far too seniors??
Nashauri haya makanisa yanayosaidia baadhi ya wanavijiji wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenda kuishi nje wawe makini katika kuchagua.
 
Jamani Ndugu zangu wa ukawa naomba tuweke Silaha chini tumuunge mkono mh. Raisi katika hili, hata kama kuna makosa yalifanywa na ccm siku zilizopita lakini sasa wanayarekebisha hilo ni jambo jema kwa nchi yetu, nchi kwanza siasa baadaye, wazungu wanasema hata kama umetembea umbali gani ukigundua umepotea geuka urudi ulikotoka ili ufuate njia sahihi
Mkuu MKWEPA KODI, I salute you!

Naomba nianze kwa kukukumbusha kuwa: mtu yeyote mwenye NIA NJEMA na nchi hii, basi ataanza na KATIBA, na sio tu kuirekebisha, bali pia kuhakikisha anaisimamia na hii ikiwa ni pamoja na utawala bora na demokrasia.

Haya yanayolumbaniwa leo, yametokana na udhaifu wa katiba. Waliyoyafanya walijua kuwa 'makaburi hayatafukuliwa' na badala yake watatangaziwa neema ya kupumzika. Kilichotokea ni watu wachache kuamua VIBAYA kwa niaba ya taifa, na leo tunalumbana na kurusha makombora kwa wawekezaji tukiwaita jina baya. Kumbukumbu zangu zinanikumbusha kuwa UPINZANI ULIPIGA KELELE JUU YA USIRI WA MIKATABA YA MADINI, lakini kwenye bunge letu kuna 'Team Ndiooooo' na Refa ni wao, uwanja ni wao...wanasahau kuwa TAIFA NI LETU. Kwa kipindi kile, mbaya hakuwa ACACIA, wabaya walikuwa WAPINZANI. Nikukumbushe kuwa, kwenye GESI nako Team Ndioooo ilipiga show kwenye HATI YA DHARURA.

Mkuu MKWEPA KODI, unachoniambia leo ni kuunga mkono juhudi fulani ambazo binafsi sizielewi zinalenga nini. Ikiwa sakata hili ni matokeo ya USIRI na MAAMUZI YA WACHACHE, mbona tunakanyaga mule mule? BOMBADIER haikuwa hata na hati ya dharura wala kipande cha bajeti. Ikiwa kesho pakatokea msuaguano wa kiufundi kuhusu 'maintenance' ya hizi ndege, napo tutaombwa kuonesha uzalendo kwa kitu ambacho kilifanywa 'kwa nia njema'?

Mkuu MKWEPA KODI, pamoja na jeuri yooooote ya Trump au rais awaye yote yule wa taifa kuuuuuubwa la Marekani, mbele ya BUNGE ni breki. Bunge likisahau jukumu lake la kuisimamia serikali, kiasi likakubali kuwa hata Naibu Spika atoke Serikalini, basi tumeumia. Nimekua nikiajua kuwa ni bunge la bajeti ndio linaidhinisha allocation of fund na hiyo ni baada ya kuhoji uhalali na yaliyomo katika matumizi ya wizara mbali mbali, lakini si ni juzi tu hapa Waziri wa Afya kasema hajui madaktari wanaoajiriwa Kenya Style watalipwaje?

Wallah kwenye hili ndugu zangu, tunahitaji kuweka itikadi pembeni. Ni haki ndio huinua taifa na sio nyimbo. Bunge liwe bunge.
 
China hakuna mchezo, lakini hapa kwetu viongozi wamejitengenezea antibiotic katika katiba, Hakuna kushtakiwa ukimaliza muda wako.
 
Well nilimaanisha kwa Upumbavu wa Kijumla Kama wabunge wa CCM, Ikumbukwe neno Stupid ni Baya kuliko Upumbavu sasa sikiliza ile Hotuba ya Magufuli alimwiita Mtu mmoja stupid. Anyway I need to edit someting ingawa simwogopi mtu, sikukusudia hapa Kumwita Rais Mpumbavu kama Binafsi!
Una jeuri eeh??
uzuri ww ni verified user hivyo wakikuhitaji watakupata tu!
hizi sifa za kijinga unazovuna hapa kuwa makini zisijezikakufanya ujute bdae
Ni hayo tu mkuu unahiyari kuyachukua au kupotezea
 
Solution no serikali y'all awamu ya tano kukaa name Hawa wawekezaji chini na just review mikataba,its just a matter of telling them that mikataba mliyoingia na serikali tangulizi are not friendly to our side.
Sasa basi ili muendelee kufanya biashara hapa TX let's go back to the table for the benefit of the people, inaweza ikawa gentle man's talk, win win situation.
Sizani Kama watakataa, wakileta ubishi, kamata hao wote walio uza taifa kwa wazungu weka ndani, then vunja mkataba waone tulivyo serious,wenyewe wataregea na kurudi mezani.
Amini msiamini ukumchoma ndani mkapa na name wataalam wake walio tu misguide,japo najua haiwezekani, choma ndani jk na wataalam wake walio tu MI's guide, walahii nakuapia Acacia name wenzake watarud mezani na kurud for a talk.. Japo najua haya yote hayawezekani.
 
Sawa sawa kabisa Mkuu. Umeelezea vizuri sana na mimi kwa kuongezea waliohusika na kusaini mikataba hiyo ni mafisadi wamehujumu wa nchi. Kwanini waendelee kuogopwa!? Kwanini wasipandishwe kizimbani hawa wahujumu uchumi? Kwa ubora gani walionao hawa wahujumu uchumi mpaka waendelee kulindwa dhidi ya maslahi ya Watanzania zaidi ya milioni 50!?
Mkuu kumbuka haya yote ni kutokana na sheria zetu wenyewe jiulize hata katiba iliyopo 1977 inampa kinga mkuu wa nchi by then kushtakiwa cha msingi ni kujenga msingi bora wa sheria ndio tukimbilie kuangalia maswala nyeti kama haya
 
Hakuna anayebisha Tanzania kwenye madini na mafuta hatujaibiwa, ila hatukuibiwa kwa kulazimishwa! Tuliibiwa kwa usaliti wa viongozi wetu kuanzia marais na mawaziri, wanasheria na wabunge wa CCM, akiwepo huyu Rais Magufuli, kwa uzembe na usaliti wa ajabu sana walipitisha mikataba ile kwa mbembwe na kebehi kubwa kwa waliowapinga! Na nasema ni kuwa misguided kwa kuwa yeyote anayeshabikia approach ya Rais Magufuli, kwenye hili swala la madini anayeshabikia ni kwamba yuko misguided kiasi cha kuhurumiwa. Awe ni rafiki au ni adui kwangu nitasema kwa masikitiko sina jina lingine la kumpa ni kuwa yuko misguided.

Kuna msemo usemao asiyejifunza kwa historia mbaya, itamrudia. Ni kweli madini ni yetu, mafuta ni yetu lakini tumeingia mikataba ya kupunjwa ka hiyari yetu wenyewe au niseme kwa hiyari ya wale tuliowaamini kusimania nchi yetu.

Sasa kuna aliyesema ati hatuwezi kuacha madini yetu kuchukuliwa kwa sababu ya kakaratasi. That is none sense, mkataba ni zaidi ya makaratasi na zina wadau wengi, kuna mikopo ya mabank, kuna share holders wanaozi commit pesa zao kutokana na assets za kampuni na assets za kampuni ni pamoja na zabuni na contracts. Kukiwa na dosari au malalamiko credible njia pekee ya kuepuka migogoro yenye kuleta hasara kubwa ni negotiations sio kutishana wala uhuni.

1)Kuna mifano mingi ya kujifunza, uchumi wa kenya leo ni mzuri zaidi ya Tanzania kwa sababu mwalimu Nyerere alitaifisha mali za wageni.
2) Pia miaka ya 77 hadi 85 Tanzania tulipanga foleni kununua kipande cha sabuni mbuni kwa kuwa mwalimu Nyerere aligoma kulipa madeni na pia aliingia mgogoro na world bank na IMF.
3)Venezuela leo kuna shida kubwa ya uchumi kwa sababu Hugo Chavez alitaifisha visima vya mafuta.
Vya wazungu kwa vile tu aliamini mafuta ni ya Venezuela. Sasa venezuela haitawaliki
4) Zimbabwe Mugabe kachukua ardhi which was ok, lakini kwa zoezi lililofanywa kihuni bila mpango wala maelewano.
5) Iraq Saddam leo ni hayati lakini kisa hasa ni mafuta alitaifisha visima vya wazungu na miaka yote ugomvi wote waliyataka.
6) Ojuku wa Biafra alishidwa kwa kuwa sera yake ilikuwa ni kutaifisha mali Biafra.
7) Gaddafi vivyo hivyo.
8) Salvador ayende wa chile walimreplace kwa kumuua na kumweka Agusto Pinochet
9) Walipambana na Fidel Castro miaka zaidi ya 50 na mwisho baada ya kuteseka Cuba wanaelekea ubepari.

CCM ilifanya usaliti sana kuiuza nchi kwenye kikapu kwa hili swala la madini. Ila Rais Magufuli wa CCM anayetaka sifa za kisiasa anafanya kosa kubwa zaidi kwa kudhani ataweza kuponyoka kwa kutatua swala hili kihuni na kibabe kama mazoea yake. Before we know it Tanzania itakuwa kama Zimbabwe ya miaka mitano iliyopita. Je hiyo ni hekima?
Unalialia tu,heading na story vipo tofauti.Humu sijaona ulipomtaja Gwajima.Ndio akili za bavicha hizi
 
Mada Tamu sana ngoja nikapate futari halafu nirudi nisome vizuri
 
Hakuna anayebisha Tanzania kwenye madini na mafuta hatujaibiwa, ila hatukuibiwa kwa kulazimishwa! Tuliibiwa kwa usaliti wa viongozi wetu kuanzia marais na mawaziri, wanasheria na wabunge wa CCM, akiwepo huyu Rais Magufuli, kwa uzembe na usaliti wa ajabu sana walipitisha mikataba ile kwa mbembwe na kebehi kubwa kwa waliowapinga! Na nasema ni kuwa misguided kwa kuwa yeyote anayeshabikia approach ya Rais Magufuli, kwenye hili swala la madini anayeshabikia ni kwamba yuko misguided kiasi cha kuhurumiwa. Awe ni rafiki au ni adui kwangu nitasema kwa masikitiko sina jina lingine la kumpa ni kuwa yuko misguided.

Kuna msemo usemao asiyejifunza kwa historia mbaya, itamrudia. Ni kweli madini ni yetu, mafuta ni yetu lakini tumeingia mikataba ya kupunjwa ka hiyari yetu wenyewe au niseme kwa hiyari ya wale tuliowaamini kusimania nchi yetu.

Sasa kuna aliyesema ati hatuwezi kuacha madini yetu kuchukuliwa kwa sababu ya kakaratasi. That is none sense, mkataba ni zaidi ya makaratasi na zina wadau wengi, kuna mikopo ya mabank, kuna share holders wanaozi commit pesa zao kutokana na assets za kampuni na assets za kampuni ni pamoja na zabuni na contracts. Kukiwa na dosari au malalamiko credible njia pekee ya kuepuka migogoro yenye kuleta hasara kubwa ni negotiations sio kutishana wala uhuni.

1)Kuna mifano mingi ya kujifunza, uchumi wa kenya leo ni mzuri zaidi ya Tanzania kwa sababu mwalimu Nyerere alitaifisha mali za wageni.
2) Pia miaka ya 77 hadi 85 Tanzania tulipanga foleni kununua kipande cha sabuni mbuni kwa kuwa mwalimu Nyerere aligoma kulipa madeni na pia aliingia mgogoro na world bank na IMF.
3)Venezuela leo kuna shida kubwa ya uchumi kwa sababu Hugo Chavez alitaifisha visima vya mafuta.
Vya wazungu kwa vile tu aliamini mafuta ni ya Venezuela. Sasa venezuela haitawaliki
4) Zimbabwe Mugabe kachukua ardhi which was ok, lakini kwa zoezi lililofanywa kihuni bila mpango wala maelewano.
5) Iraq Saddam leo ni hayati lakini kisa hasa ni mafuta alitaifisha visima vya wazungu na miaka yote ugomvi wote waliyataka.
6) Ojuku wa Biafra alishidwa kwa kuwa sera yake ilikuwa ni kutaifisha mali Biafra.
7) Gaddafi vivyo hivyo.
8) Salvador ayende wa chile walimreplace kwa kumuua na kumweka Agusto Pinochet
9) Walipambana na Fidel Castro miaka zaidi ya 50 na mwisho baada ya kuteseka Cuba wanaelekea ubepari.

CCM ilifanya usaliti sana kuiuza nchi kwenye kikapu kwa hili swala la madini. Ila Rais Magufuli wa CCM anayetaka sifa za kisiasa anafanya kosa kubwa zaidi kwa kudhani ataweza kuponyoka kwa kutatua swala hili kihuni na kibabe kama mazoea yake. Before we know it Tanzania itakuwa kama Zimbabwe ya miaka mitano iliyopita. Je hiyo ni hekima?
Acha tupate shida kaa hukohuko USA tuachie TZ yetu!!
 
Hakuna anayebisha Tanzania kwenye madini na mafuta hatujaibiwa, ila hatukuibiwa kwa kulazimishwa! Tuliibiwa kwa usaliti wa viongozi wetu kuanzia marais na mawaziri, wanasheria na wabunge wa CCM, akiwepo huyu Rais Magufuli, kwa uzembe na usaliti wa ajabu sana walipitisha mikataba ile kwa mbembwe na kebehi kubwa kwa waliowapinga! Na nasema ni kuwa misguided kwa kuwa yeyote anayeshabikia approach ya Rais Magufuli, kwenye hili swala la madini anayeshabikia ni kwamba yuko misguided kiasi cha kuhurumiwa. Awe ni rafiki au ni adui kwangu nitasema kwa masikitiko sina jina lingine la kumpa ni kuwa yuko misguided.

Kuna msemo usemao asiyejifunza kwa historia mbaya, itamrudia. Ni kweli madini ni yetu, mafuta ni yetu lakini tumeingia mikataba ya kupunjwa ka hiyari yetu wenyewe au niseme kwa hiyari ya wale tuliowaamini kusimania nchi yetu.

Sasa kuna aliyesema ati hatuwezi kuacha madini yetu kuchukuliwa kwa sababu ya kakaratasi. That is none sense, mkataba ni zaidi ya makaratasi na zina wadau wengi, kuna mikopo ya mabank, kuna share holders wanaozi commit pesa zao kutokana na assets za kampuni na assets za kampuni ni pamoja na zabuni na contracts. Kukiwa na dosari au malalamiko credible njia pekee ya kuepuka migogoro yenye kuleta hasara kubwa ni negotiations sio kutishana wala uhuni.

1)Kuna mifano mingi ya kujifunza, uchumi wa kenya leo ni mzuri zaidi ya Tanzania kwa sababu mwalimu Nyerere alitaifisha mali za wageni.
2) Pia miaka ya 77 hadi 85 Tanzania tulipanga foleni kununua kipande cha sabuni mbuni kwa kuwa mwalimu Nyerere aligoma kulipa madeni na pia aliingia mgogoro na world bank na IMF.
3)Venezuela leo kuna shida kubwa ya uchumi kwa sababu Hugo Chavez alitaifisha visima vya mafuta.
Vya wazungu kwa vile tu aliamini mafuta ni ya Venezuela. Sasa venezuela haitawaliki
4) Zimbabwe Mugabe kachukua ardhi which was ok, lakini kwa zoezi lililofanywa kihuni bila mpango wala maelewano.
5) Iraq Saddam leo ni hayati lakini kisa hasa ni mafuta alitaifisha visima vya wazungu na miaka yote ugomvi wote waliyataka.
6) Ojuku wa Biafra alishidwa kwa kuwa sera yake ilikuwa ni kutaifisha mali Biafra.
7) Gaddafi vivyo hivyo.
8) Salvador ayende wa chile walimreplace kwa kumuua na kumweka Agusto Pinochet
9) Walipambana na Fidel Castro miaka zaidi ya 50 na mwisho baada ya kuteseka Cuba wanaelekea ubepari.

CCM ilifanya usaliti sana kuiuza nchi kwenye kikapu kwa hili swala la madini. Ila Rais Magufuli wa CCM anayetaka sifa za kisiasa anafanya kosa kubwa zaidi kwa kudhani ataweza kuponyoka kwa kutatua swala hili kihuni na kibabe kama mazoea yake. Before we know it Tanzania itakuwa kama Zimbabwe ya miaka mitano iliyopita. Je hiyo ni hekima?
Acha tupate shida kaa hukohuko USA tuachie TZ yetu!!
 
Kwa sisi tulio wai kuchimba na kusafirisha tunaelewa meng sana, kiukweli tume imefanya vitu vya ovyo sana, Mkuu T.L.Marandu umenena vema kabsa
Vipi habari za TMAA?? Tulia sindano ikuingie vizuri kijana!!
 
Mnapinga jambo gani? upumbavu uliokithili umewajaa, tume haijamaliza kazi yake na wala haijawasilisha chochote kwa Rais ajabu kila uchao mijitu inabwabwaja utumbo tu humu, hivi nikikuuliza Magufuli kufanya nini au kachukua uamuzi gani kuhusu hili saga usouunga mkono utanijibu nini?
Mi sijui unalalamika nini?
So far acacia hawaendelei na shughuli zao, sijui kazi ipi lkn tume ya mruma ilikabidhi report ya awali ambapo imeshaanza kufanyiwa kazi!
Anyway labda ufahamu wangu ni mdogo Naomba kufahamishwa kinachoendelea
 
Hakuna anayebisha Tanzania kwenye madini na mafuta hatujaibiwa, ila hatukuibiwa kwa kulazimishwa! Tuliibiwa kwa usaliti wa viongozi wetu kuanzia marais na mawaziri, wanasheria na wabunge wa CCM, akiwepo huyu Rais Magufuli, kwa uzembe na usaliti wa ajabu sana walipitisha mikataba ile kwa mbembwe na kebehi kubwa kwa waliowapinga! Na nasema ni kuwa misguided kwa kuwa yeyote anayeshabikia approach ya Rais Magufuli, kwenye hili swala la madini anayeshabikia ni kwamba yuko misguided kiasi cha kuhurumiwa. Awe ni rafiki au ni adui kwangu nitasema kwa masikitiko sina jina lingine la kumpa ni kuwa yuko misguided.

Kuna msemo usemao asiyejifunza kwa historia mbaya, itamrudia. Ni kweli madini ni yetu, mafuta ni yetu lakini tumeingia mikataba ya kupunjwa ka hiyari yetu wenyewe au niseme kwa hiyari ya wale tuliowaamini kusimania nchi yetu.

Sasa kuna aliyesema ati hatuwezi kuacha madini yetu kuchukuliwa kwa sababu ya kakaratasi. That is none sense, mkataba ni zaidi ya makaratasi na zina wadau wengi, kuna mikopo ya mabank, kuna share holders wanaozi commit pesa zao kutokana na assets za kampuni na assets za kampuni ni pamoja na zabuni na contracts. Kukiwa na dosari au malalamiko credible njia pekee ya kuepuka migogoro yenye kuleta hasara kubwa ni negotiations sio kutishana wala uhuni.

1)Kuna mifano mingi ya kujifunza, uchumi wa kenya leo ni mzuri zaidi ya Tanzania kwa sababu mwalimu Nyerere alitaifisha mali za wageni.
2) Pia miaka ya 77 hadi 85 Tanzania tulipanga foleni kununua kipande cha sabuni mbuni kwa kuwa mwalimu Nyerere aligoma kulipa madeni na pia aliingia mgogoro na world bank na IMF.
3)Venezuela leo kuna shida kubwa ya uchumi kwa sababu Hugo Chavez alitaifisha visima vya mafuta.
Vya wazungu kwa vile tu aliamini mafuta ni ya Venezuela. Sasa venezuela haitawaliki
4) Zimbabwe Mugabe kachukua ardhi which was ok, lakini kwa zoezi lililofanywa kihuni bila mpango wala maelewano.
5) Iraq Saddam leo ni hayati lakini kisa hasa ni mafuta alitaifisha visima vya wazungu na miaka yote ugomvi wote waliyataka.
6) Ojuku wa Biafra alishidwa kwa kuwa sera yake ilikuwa ni kutaifisha mali Biafra.
7) Gaddafi vivyo hivyo.
8) Salvador ayende wa chile walimreplace kwa kumuua na kumweka Agusto Pinochet
9) Walipambana na Fidel Castro miaka zaidi ya 50 na mwisho baada ya kuteseka Cuba wanaelekea ubepari.

CCM ilifanya usaliti sana kuiuza nchi kwenye kikapu kwa hili swala la madini. Ila Rais Magufuli wa CCM anayetaka sifa za kisiasa anafanya kosa kubwa zaidi kwa kudhani ataweza kuponyoka kwa kutatua swala hili kihuni na kibabe kama mazoea yake. Before we know it Tanzania itakuwa kama Zimbabwe ya miaka mitano iliyopita. Je hiyo ni hekima?
wewe kwa maoni yako haya kama hujatumwa ni wakuonewa huruma. huna self esteem unafikiri marndeleo yataletwa na wageni au mabwanyenye.
 
Una jeuri eeh??
uzuri ww ni verified user hivyo wakikuhitaji watakupata tu!
hizi sifa za kijinga unazovuna hapa kuwa makini zisijezikakufanya ujute bdae
Ni hayo tu mkuu unahiyari kuyachukua au kupotezea
Wakina nani? wakinihitaji kwa lipi? Mimi sio mhalalifu na wala Sijatenda kosa kuvoice maoni Yengu! Nani Unadhani anayo mamlaka ya Kunihitaji mimi hapo Tanzania kwa Mambo ya Kipuuzi? Mwenye uwezo huo hakuna, alie afuge ndevu anyoe, whatever niko beyond Jurisdiction ya hao mnaowaabudu! Labda ningefanya Capital crime kama Kuua, Ugaidi, au kutaka Kulindua serikali ya Tz! Mambo ambayo hayawezvie kuwa Mawazoni mwangu hata ningeishi miaka milioni moja!
 
Back
Top Bottom