Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

True. Ila nilichomwelewa ni kwamba tuliowapa dhamana walituingiza mkenge lakini suluhisho au approach ambayo inatumika kutunasua huku walipotuingiza anaona sio sahihi.
Kuna approach ilofanyika kwenu ikawa sahihi. Makonda kawataja wadau wa madawa. Mkalia sio approach sahihi Magu kuondoa wafanyakazi wenye vyeti vya kugushi mnasema sio approach sahihi. Kawaeleza ukweli kagera sio approach sahihi etc etc
 
Mkuu,
Unaelewa Maana ya jiwe walilolikataa washi? Ccm walipinga kwa kura za hapanaaaaaa bungeni,pale wapinzani walipotoa hoja ya kuitafakari upya mikataba ya madini na mafuta na gesi.
Zaidi ya yote,wakatoa mikataba ijadiliwe na kupitishwa ndani ya muda mfupi sana.
Ndugu zetu wale wale wakaitikia kwa sauti za juu na makofi kwenye meza ndioooooo.
Leo unataka waweke silaha chini wakati walishasema wakapuuzwa??
Angalia mahali pengine pa kutokea.
Hii nchi ifike kipindi tuwatoe hawa watu,wanazidi kututia majaribuni.
Mara nyingi najaribu kujizuia kuwavaa watu ninaowaheshimu hapa JF - hasa kuhusu siasa, lakini naomba nikuulize kitu kimoja mkuu. Pia naomba uwe mkweli kwako mwenyewe katika jibu lako:

SWALI
Hivi kama Lowassa angekuwa ndio raisi wetu, angeweza kukamilisha hata nusu ya alichokifanya Magufuli, todate?
 
Sawa sawa kabisa Mkuu. Umeelezea vizuri sana na mimi kwa kuongezea waliohusika na kusaini mikataba hiyo ni mafisadi wamehujumu wa nchi. Kwanini waendelee kuogopwa!? Kwanini wasipandishwe kizimbani hawa wahujumu uchumi? Kwa ubora gani walionao hawa wahujumu uchumi mpaka waendelee kulindwa dhidi ya maslahi ya Watanzania zaidi ya milioni 50!?

True. Ila nilichomwelewa ni kwamba tuliowapa dhamana walituingiza mkenge lakini suluhisho au approach ambayo inatumika kutunasua huku walipotuingiza anaona sio sahihi.
 
Mara nyingi najaribu kujizuia kuwavaa watu ninaowaheshimu hapa JF - hasa kuhusu siasa, lakini naomba nikuulize kitu kimoja mkuu. Pia naomba uwe mkweli kwako mwenyewe katika jibu lako:

SWALI
Hivi kama Lowassa angekuwa ndio raisi wetu, angeweza kukamilisha hata nusu ya alichokifanya Magufuli, todate?
Hapo ni kupindisha Maana.
Tunaanzaje Ku deal au Ku concentrate na habari za kufikirika wakati real things vinatushinda??
Better uka niita Tuka discuss vya kugusika,upepo si mzuri kuudiscuss hatuujui umbo,rangi wala urefu na upana wake.
 
Mkuu,
Unaelewa Maana ya jiwe walilolikataa washi? Ccm walipinga kwa kura za hapanaaaaaa bungeni,pale wapinzani walipotoa hoja ya kuitafakari upya mikataba ya madini na mafuta na gesi.
Zaidi ya yote,wakatoa mikataba ijadiliwe na kupitishwa ndani ya muda mfupi sana.
Ndugu zetu wale wale wakaitikia kwa sauti za juu na makofi kwenye meza ndioooooo.
Leo unataka waweke silaha chini wakati walishasema wakapuuzwa??
Angalia mahali pengine pa kutokea.
Hii nchi ifike kipindi tuwatoe hawa watu,wanazidi kututia majaribuni.
Akae nani? Lowasa?
 
Hapo ni kupindisha Maana.
Tunaanzaje Ku deal au Ku concentrate na habari za kufikirika wakati real things vinatushinda??
Better uka niita Tuka discuss vya kugusika,upepo si mzuri kuudiscuss hatuujui umbo,rangi wala urefu na upana wake.
Asante mkuu, umenijibu swali langu.
 
Jamani Ndugu zangu wa ukawa naomba tuweke Silaha chini tumuunge mkono mh. Raisi katika hili, hata kama kuna makosa yalifanywa na ccm siku zilizopita lakini sasa wanayarekebisha hilo ni jambo jema kwa nchi yetu, nchi kwanza siasa baadaye, wazungu wanasema hata kama umetembea umbali gani ukigundua umepotea geuka urudi ulikotoka ili ufuate njia sahihi
wewe sasa ndio unatupotosha!
Raisi anakosea unataka tumuunge mkono, kwani kuna ubaya gani kufuata utaratibu!
anasema tumeibiwa kwa kiasi hicho, jamaa wa ACACIA wameomba uchunguzi ufanyike tena and we know kuwa taarifa zetu ni sahihi kwanini asisubiri? lakini pia jambo hili lina madhara kwa taifa, kama raisi anataka kuungwa mkono na wananchi haiwezi ikawa hapa JF aende kuwauliza wawakilishi wetu, so apeleke jambo hili bungeni, wale jamaa wakimuunga mkono then ana Baraka zetu, hata wakiwa ccm watupu lkn ndio utakuwa uwakilishi wenyewe huo!
akikaa nalo chumbani tu na kututegemea kumuunga mkono huo ni usaliti and we will never support him.
By the way wanaopinga jambo hili sio UKAWA tu, hata sisi "watanzania huru" tunalikataa kwa nguvu zote....
 
Hapa dawa ni kuanza kufanya mipango ya kukimbia nchi. Naona Zimbabwe inanukia ..
 
Mh ashaurike kwanza maana kuna uwezekano wananchi wamemsusia nchi ili akosee waseme
Ooh mnaona ?
Jamani Ndugu zangu wa ukawa naomba tuweke Silaha chini tumuunge mkono mh. Raisi katika hili, hata kama kuna makosa yalifanywa na ccm siku zilizopita lakini sasa wanayarekebisha hilo ni jambo jema kwa nchi yetu, nchi kwanza siasa baadaye, wazungu wanasema hata kama umetembea umbali gani ukigundua umepotea geuka urudi ulikotoka ili ufuate njia sahihi
 
Mkuu umetoa mifano mingi sana lakini haina mashiko, unataka kutuaminisha kwamba watu wakubali kuhujumiwa na kudhulumiwa rasilimali zao, kisa kufuata miongozo na kanuni za kibepari inayotunyonya na kudidimiza utu wa binadamu, kwa vigezo vyao hususan ukoloni mamboleo, basi tukiendeleza mtazamo kama huo wako hapakuwa na haja kwa baba zetu kupigania uhuru, tungeacha tu! Kwa kuhofia athari zaidi
 
Ulipoanza kuandika neno "UPUMBAVU SANA" hapo hapo nimeachia kusoma andiko lako kwani ni wazi umesukumwa na chuki bila kuwa na hoja.

Si uandishi wa kushawishi zaidi ya uhuni na mihemko tu.
kuna uhusiano gan kati ya neno hilo na chuki?
 
Mkuu toa suluhisho sahihi basi ili tulijadili tuone kama litakuwa suluhisho bora kuliko approach anayotumia mh. Raisi
Soluhisho ni kuwaita Acacia na Ikiwezekana Diplomats wa Nchi zao na Kuwaambia Look here, mlipewa mkatataba wa ovyo sana Wananchi wanachachamaa, Hali inafukuta chini chini, Lazima tukae chini Tuweke Mkataba na Utaratibu mpya! Ambao ni Win Win. Kwa hali ilivyosasa! Intelligence tulionayo ni kuwa Wananchi wamechoka na Wakianza kuchoma migodi yenu wote tutakosa, "Is that too much to ask kutaka mlipe kodi 9% ya Faida yenu na 10% Kama Royalty which will leave you guys with over 81%?" Mimi Ndivyo ningefanya! Wakikataa Nakula Jiwe miezi minne Baadaye Tuaoganize Wananchi kama Elfu moja wanaenda pale na kupiga Mawe, "Tunataka Dhahabu yetu Tunataka Dhahabu yetu" Na hakuna askari kupiga mtu. Wanakamatwa wananchi kama 10 wanawekwe kwenye Landrover, keshot wanaachiwa! Wiki. Ijayo Magari ya migodi yanapoigwa mawe na wananchi tena, Wazungu Mbio wanakuja, Tuko Tayari kwa Mazungumzo, Mnawaambia. Aku It. Is. Now completely out of our hands,the only solution is for you guys to give us the 21% we said before agnd 3% to the Local citizens for their local public services that may calm them down!c

Hapo hakuna cha Kushitaki,Mtawaambia Mnataka Tuwafanyeje wanananchi tuwauwe? Maana. Wao hawaelewi. Mikataba. Kiulaini Mzungu anapiga hdesabuuuanzakubali " Something ,is. Better than nothing" they can't operate without Peace. That is for sure!

Ila Bashite alishampa Ushauri mkorogo, huu ,hautasadia tena!
 
Kuna haja ya kbadili mitaala mashuleni.mitaala yetu ya kijamaa au kimajumui.Hatuelewi maana ya capilist economy.Tumejazwa chuki dhidi ya wawekezaji wageni badala ya kuchangamkia fursa

Ulewa mdogo unachangia mfano The biggest gold mines in sothern hemisphere upo australia majority mashare holder wapo waCanada haileti shida share zinauzwa pia hata ASX.ili tanzania inufaike ni lazima raia wao kwa msaada wa serikali yao kuhakikisha wanashiriki kataka uwekezaji kuanzia utafiti mpaka uchimbaji.

serikali ihakikishe exploration information inapatikana ili na. wazawa wajue wapi kuna opportunities ya kuwekeka share zikiwa bado cheap.sio kukurupuka tu wenzako wapo fanikiwa hujui risk waliopitia mpaka wake fanikiwa

History tunayo fundishwa waafrika inatudamage badala ya kutujenga.tumekuwa n.a. chuki sana n.a. wazungu tuna sahau kuwa hata waarabu wahindi wachina nao wana ubaya wao hawapo kwa ajili ya kutufurahishi nao wapambana kwa ajili ya vizazi vyao.Hivyo historia itupe strength isitu weaken.

Ukipata nafasi ya kuvuna rasilimali zako vuna ukingoja hutapata nafasi hiyo tena.
Kipindi cha cold war east and west tungeweza vuna dhahabu hata kwa mgao wea 50:50 Sasa tumechelewa tunakutana n.a. 4%rhoyality hatuna choice ndiyo mazingira ya Sasa nani anajua kesho itakuaje.madini hayaozi lakini tu naweza kuyalinda Leo na. kesho tuta weza? Dinia hajasimama.

Uwekezaji we nje ndiyo umeikomboa China,Indonesia malaria hata korea kusini swala ni sera ilenge kuwanufaisha wazawa pia.Gas tumepractise uwekezaji bila sera tume wabeza wazawa a kina mengi waliokuwa tayari kushiriki uwekezaji n.a. wageni.
Amini nawaambia bila kuwa multimillionea figures wengi, hatuwezi practise capitalist economies wao ndiyo mabalozi wetu ni lazima tu publitize shughuli zao kwa kuzilist DSE

Mfano resolute n.a. tutawapa dhahabu imeisha mgodi umefungwa limebaki shimo tumetengeneza mamilionea wangapi kupitia mashimo hayo ambao wameguza mitaji yao kwenye sekta nyingine kama manufacturing industry ili ajira zilizo sitishwa pale kuwe n.a. mbadala we ajira katika sekta nyingine nina uhakika wenzetu wamefanya hivyo kwao,

kama watanzania nao wangekua na hisa za maana tungebakiza mgao tunge watax nao wangechangamkia fursa katika uwekezaji sekta ningine
Wivu n.a. chuki havisaidii.tukubali popote duniani nationalism economy imefeli mpaka China na urudi wamegeuka.sisi tunataka kurudihuko.
Ok.
 
Mara nyingi najaribu kujizuia kuwavaa watu ninaowaheshimu hapa JF - hasa kuhusu siasa, lakini naomba nikuulize kitu kimoja mkuu. Pia naomba uwe mkweli kwako mwenyewe katika jibu lako:

SWALI
Hivi kama Lowassa angekuwa ndio raisi wetu, angeweza kukamilisha hata nusu ya alichokifanya Magufuli, todate?
Nasema Ukweli Mbele za Mungu, Magufuli mimi nilikuwa nampenda 10x kuliko Lowassa! Mimi mtu akikosea hata kama ni baba yangu, Hasa akionea mtu au watu Ndio Kabisaaaa sitaki hata !umsikia. Kwa hiyo Jibu ni Yes Lowassa angekuwa Rais Akawaonea CCM kama Maguguli anavyowaonea Chadema Ningemshambulia Tu. Na kama Lowassa angekuwa Rais na akafanya Jambo ambalo ni Hasara na Litailetea Tanzania Mateso siku za Usoni Ningempinga hivihivi. Kwani Mnafikiri Wanaompinga Magufuli walikuwa Wanamchukia. Wewe ni shaidi ni Watanzania wachache sana walikuwa hawampendi Magufuli kama Magufuli. Mimi ilinichukua Muda kunawa mikono, na imetoka. As Individual sina shida naye na Kwanza simjui hanijui. Ukitaka kujua mimi Sijali kumkosoa Mtu, Bishop Gwajima Kwangu ni Kama Brother, na hata Wakati anaanza Pale Ubungo tulikuwa tunakesha yeye na Vijana wengine Tukisali na Kulala Juu ya Mabenchi Niliwanunulia Maziwa na Mikate mimi! Na bado namheshimu na Kumpenda Mbona hapa hushangai Nampinga?
 
Anyway I need to edit someting ingawa simwogopi mtu, sikukusudia hapa Kumwita Rais Mpumbavu kama Binafsi!
Mkuu TL unapoandika, what matters most sio the motive behind ya ulikusudia nini bali the perceived meaning ya maana atakayoipata mtu anayesoma andiko lako. Japo humu jf tuna members wengi wenye uwezo wa to read in between the lines hivyo hao ndio wataoweza kubaini ulimaanisha nini ndani ya mawazo yako, lakini members wengi zaidi ni watu wa kawaida tuu wasio na uwezo huo.

Nakuunga mkono hutakiwi kumuogopa binadamu au kiumbe chochote ila kama mwana jf una wajibu wa kuheshimu watu, wakiwemo viongozi wetu.

P.
 
Nasema Ukweli Mbele za Mungu, Magufuli mimi nilikuwa nampenda 10x kuliko Lowassa! Mimi mtu akikosea hata kama ni baba yangu, Hasa akionea mtu au watu Ndio Kabisaaaa sitaki hata !umsikia. Kwa hiyo Jibu ni Yes Lowassa angekuwa Rais Akawaonea CCM kama Maguguli anavyowaonea Chadema Ningemshambulia Tu. Na kama Lowassa angekuwa Rais na akafanya Jambo ambalo ni Hasara na Litailetea Tanzania Mateso siku za Usoni Ningempinga hivihivi. Kwani Mnafikiri Wanampinga Magfufuli walikuwa Wanamchukia. Wewe ni shaidi ni watanzania wachache sana walikuwa hawampendi Magufuli kama Magufuli. Mimi ilinichukua Muda kunawa mikono na imetoka. As Individual sina shida naye na Kwanza simjui hanijui. Ukitaka kujua mimi Sijali kumkosoa Mtu, Bishop Gwajima Kwangu ni Kama Brother, na hata Wakati anaanza Pale Ubungo tulikuwa tunakesha yeye na Vijana wengine Tukisali na Kulala Juu ya Mabenchi Niliwanunulia Maziwa na Mikate mimi! Na bado namheshimu na Kumpenda Mbona hapa hushangai Nampinga?
Asante kwa maelezo yako mazuri. Yananipa faraja kuona bado tuna watu objective kama wewe.

Na mimi pia nipo hivyo. Naamini hii ndio njia pekee ya kumsaidia raisi - yaani constructive critiques ya anachokifanya.

Lakini naomba ulisome tena swali langu la awali halafu unijibu.

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom