Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 738
Kuna approach ilofanyika kwenu ikawa sahihi. Makonda kawataja wadau wa madawa. Mkalia sio approach sahihi Magu kuondoa wafanyakazi wenye vyeti vya kugushi mnasema sio approach sahihi. Kawaeleza ukweli kagera sio approach sahihi etc etcTrue. Ila nilichomwelewa ni kwamba tuliowapa dhamana walituingiza mkenge lakini suluhisho au approach ambayo inatumika kutunasua huku walipotuingiza anaona sio sahihi.