Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,810
Hakuna anayebisha Tanzania kwenye madini na mafuta hatujaibiwa, ila hatukuibiwa kwa kulazimishwa! Tuliibiwa kwa usaliti wa viongozi wetu kuanzia marais na mawaziri, wanasheria na wabunge wa CCM, akiwepo huyu Rais Magufuli, kwa uzembe na usaliti wa ajabu sana walipitisha mikataba ile kwa mbembwe na kebehi kubwa kwa waliowapinga! Na nasema ni kuwa misguided kwa kuwa yeyote anayeshabikia approach ya Rais Magufuli, kwenye hili swala la madini anayeshabikia ni kwamba yuko misguided kiasi cha kuhurumiwa. Awe ni rafiki au ni adui kwangu nitasema kwa masikitiko sina jina lingine la kumpa ni kuwa yuko misguided.

Kuna msemo usemao asiyejifunza kwa historia mbaya, itamrudia. Ni kweli madini ni yetu, mafuta ni yetu lakini tumeingia mikataba ya kupunjwa ka hiyari yetu wenyewe au niseme kwa hiyari ya wale tuliowaamini kusimania nchi yetu.

Sasa kuna aliyesema ati hatuwezi kuacha madini yetu kuchukuliwa kwa sababu ya kakaratasi. That is none sense, mkataba ni zaidi ya makaratasi na zina wadau wengi, kuna mikopo ya mabank, kuna share holders wanaozi commit pesa zao kutokana na assets za kampuni na assets za kampuni ni pamoja na zabuni na contracts. Kukiwa na dosari au malalamiko credible njia pekee ya kuepuka migogoro yenye kuleta hasara kubwa ni negotiations sio kutishana wala uhuni.

1)Kuna mifano mingi ya kujifunza, uchumi wa kenya leo ni mzuri zaidi ya Tanzania kwa sababu mwalimu Nyerere alitaifisha mali za wageni.
2) Pia miaka ya 77 hadi 85 Tanzania tulipanga foleni kununua kipande cha sabuni mbuni kwa kuwa mwalimu Nyerere aligoma kulipa madeni na pia aliingia mgogoro na world bank na IMF.
3)Venezuela leo kuna shida kubwa ya uchumi kwa sababu Hugo Chavez alitaifisha visima vya mafuta.
Vya wazungu kwa vile tu aliamini mafuta ni ya Venezuela. Sasa venezuela haitawaliki
4) Zimbabwe Mugabe kachukua ardhi which was ok, lakini kwa zoezi lililofanywa kihuni bila mpango wala maelewano.
5) Iraq Saddam leo ni hayati lakini kisa hasa ni mafuta alitaifisha visima vya wazungu na miaka yote ugomvi wote waliyataka.
6) Ojuku wa Biafra alishidwa kwa kuwa sera yake ilikuwa ni kutaifisha mali Biafra.
7) Gaddafi vivyo hivyo.
8) Salvador ayende wa chile walimreplace kwa kumuua na kumweka Agusto Pinochet
9) Walipambana na Fidel Castro miaka zaidi ya 50 na mwisho baada ya kuteseka Cuba wanaelekea ubepari.

CCM ilifanya usaliti sana kuiuza nchi kwenye kikapu kwa hili swala la madini. Ila Rais Magufuli wa CCM anayetaka sifa za kisiasa anafanya kosa kubwa zaidi kwa kudhani ataweza kuponyoka kwa kutatua swala hili kihuni na kibabe kama mazoea yake. Before we know it Tanzania itakuwa kama Zimbabwe ya miaka mitano iliyopita. Je hiyo ni hekima?
 
Jamani Ndugu zangu wa ukawa naomba tuweke Silaha chini tumuunge mkono mh. Raisi katika hili, hata kama kuna makosa yalifanywa na ccm siku zilizopita lakini sasa wanayarekebisha hilo ni jambo jema kwa nchi yetu, nchi kwanza siasa baadaye, wazungu wanasema hata kama umetembea umbali gani ukigundua umepotea geuka urudi ulikotoka ili ufuate njia sahihi
 
Jamani Ndugu zangu wa ukawa naomba tuweke Silaha chini tumuunge mkono mh. Raisi katika hili, hata kama kuna makosa yalifanywa na ccm siku zilizopita lakini sasa wanayarekebisha hilo ni jambo jema kwa nchi yetu, nchi kwanza siasa baadaye, wazungu wanasema hata kama umetembea umbali gani ukigundua umepotea geuka urudi ulikotoka ili ufuate njia sahihi
True. Ila nilichomwelewa ni kwamba tuliowapa dhamana walituingiza mkenge lakini suluhisho au approach ambayo inatumika kutunasua huku walipotuingiza anaona sio sahihi.
 
Hakuna anayebisha Tanzania kwenye Madini na Mafuta hatujaibiwa, Ila hatukuibiwa kwa Kulazimishwa! Tuliibiwa kwa Usaliti wa Viongozi wetu Kuanzia Marais na Mawaziri, Wanasheria na Wabunge wa CCM, akiwepo huyu Magufuli ambaye kwa Upumbavu sana! Na Nasema Kwa Upumbavu sana Kwa Kuwa Yeyote anayeshabikia Approach ya Magufuli kwenye hili swala la Madini ni Mpumbavu kiasi cha kuhurumiwa. Awe ni Rafiki au Ni adui kwangu Nitasema kwa Masikitiko sina Jina Lingine la Kumpa ni Mpumbavu!

Kuna msemo Usemao asiyejifunza kwa historia Mbaya, Itamrudia. Ni kweli Madini ni Yetu, Mafuta ni Yetu lakini Tumeingia Mikataba ya Kulunjwa ka hiyari yetu wenyewe au niseme kwa hiyari ya wale tuliowaamini Kusimania Nchi yetu!

Sasa Kuna aliyesema ati hatuwezi Kuacha Madini yetu kuchukuliwa kwa sababu ya Kakaratasi. That is None sense, mkataba ni zaidi ya Makaratasi na zina Wadau wengi, Kuna Mikopo ya Mabank, kuna share holders wanaozi commit pesa zao kutokana na assets za Campuni na Assets za Campuni ni pamoja na Zabuni na Contracts! Kukiwa na Dosari au Malalamiko credible njia pekee ya kuepuka migogoro yenye kuleta hasara Kubwa ni Negotiations sio Kutishana wala Uhuni.

1)Kuna Mifano Mingi ya Kujifunza, Uchumi wa Kenya leo Ni mzuri zaidi ya Tanzania kwa sababu Mwalimu Nyerere alitaifisha Mali za Wageni
2) Pia miaka ya 77 hadi 85 Tanzania tulipanga foleni kununua Kipande cha sabuni mbuni kwa kuwa Mwalimu Nyerere aligoma Kulipa Madeni na Pia aliingia Mgogoro na World Bank na IFM!
3)Vnezuela leo Kuna Shida kubwa ya Uchumi kwa sababu Hugo Chavez alitaifisha Visima vya Mafuta
Vya Wazungu kwa Vile tu aliamini Mafuta ni ya Venezuela. Sasa Venezuela haitawaliki
4) Zimbabwe Mugabe kachukua Ardhi which was Ok, lakini kwa Zoezi lililofanywa kihuni bila mpango wala Maelewano.
5) Iraq Saddam Leo ni Hayati lakini kisa hasa ni Mafuta alitaifisha Visima vya Wazungu na Miaka yote ugomvi wote waliyataka!
6) Ojuku wa Biafra alishidwa kwa Kuwa sera yake ilikuwa ni Kutaifisha Mali Biafra!
7) Qaddafi Vivyo hivyo
8) Salvador Ayende wa Chile walimreplace kwa kumuua na Kumweka Agusto Pinochet
9) Walipambana Na Fidel Castro miaka zaidi ya 50 Na mwisho baada ya kuteseka Cuba wanaelekea Ubepari.

CCM ilifanya Usaliti sana Kuiuza Nchi kwenye Kikapu kwa Hili swala la Madini. Ila Magufuli wa CCM anayetaka sifa za Kisiasa anafanya Kosa Kubwa zaidi kwa Kudhani ataweza kuponyoka kwa kutatua swala hili kihuni na kibabe kama Mazoea yake. Before we know it Tanzania itakuwa kama Zimbabwe ya Miaka mitano iliyopita. Je hiyo ni Hekima?



Marekebisho

2) ni IMF sio IFM

5) Chanzo cha Matatizo ya Iraq na Saadam kwa Ujumla yalianzia 1990 kwa kuivamia Quwait sio hayo uliyoeleza
 
True. Ila nilichomwelewa ni kwamba tuliowapa dhamana walituingiza mkenge lakini suluhisho au approach ambayo inatumika kutunasua huku walipotuingiza anaona sio sahihi.
Ni sawa kusema lori limekwama kwenye tope halafu tunaemtegemea kulinasua ameamua kufungua kifaa kimoja kimoja, kashatoa tairi zote na milango kwenye tope sasa anafungua siti.
 
Jamani Ndugu zangu wa ukawa naomba tuweke Silaha chini tumuunge mkono mh. Raisi katika hili, hata kama kuna makosa yalifanywa na ccm siku zilizopita lakini sasa wanayarekebisha hilo ni jambo jema kwa nchi yetu, nchi kwanza siasa baadaye, wazungu wanasema hata kama umetembea umbali gani ukigundua umepotea geuka urudi ulikotoka ili ufuate njia sahihi
Mkuu,
Unaelewa Maana ya jiwe walilolikataa washi? Ccm walipinga kwa kura za hapanaaaaaa bungeni,pale wapinzani walipotoa hoja ya kuitafakari upya mikataba ya madini na mafuta na gesi.
Zaidi ya yote,wakatoa mikataba ijadiliwe na kupitishwa ndani ya muda mfupi sana.
Ndugu zetu wale wale wakaitikia kwa sauti za juu na makofi kwenye meza ndioooooo.
Leo unataka waweke silaha chini wakati walishasema wakapuuzwa??
Angalia mahali pengine pa kutokea.
Hii nchi ifike kipindi tuwatoe hawa watu,wanazidi kututia majaribuni.
 
Ha ha ha haaaaaaaaaa

Hapa kazi tu

Magufuli oyeeeeeeeeeeee
Kule U VCCM kumejaa vilaza. Mwalimu Nyerere alipogoma kulipa madeni ya wazungu na kushusha thamani ya shilling, kule ujiji Kigoma Kesho yake wakatangaza kuandamana kumuunga mkono kwa kukataa ukandamizaji wa wazungu. Hali ilipoanza kuwa ngumu miaka ya 80, wakamgeuka na kumsema mchonga hashauriki. The same itakuja kutokea muda siyo mrefu Magufuli itaiingiza Nchi kwenye matatizo makubwa ya kiuchumi na hapo hawahawa CCM watamgeuka na kumuita hashauriki. Ubabe katika mambo ya mikataba ni kujichimbia kaburi kiuchumi.
 
Hii ni ngoma ya Sikinde...Wacha mseme mwisho mtachoka...Hapa Kazi tu...ukiweza ukaombe kujitolea kuwa muwakilishi wa ACACIA Mahakamani.

Kazi mojawapo na msingi kabisa ya Dola ni kukusanya kodi na mapato...Mkwepa kodi au anayehujumu mapato ni lazima ashughulikiwe vilivyo ...Kadri katiba inavyotaka
 
Haya makampuni ya madini yaliisaidia sana ccm ktk fedha za kampeni uchaguz uliopita leo ccm wanataka kutuambia wameshasahau fadhila walizopewa miaka 2 miwil tu iliyopita?
 
sasa unataka tufanyeje? je tukae kimya tuendelee kuibiwa kisa tuu kuogopa walivyofanyiwa wakina mugabe au tuanze kama magufuli alivyoanza? huu ni muda wakukaa round table sisi watanzania kuungana nankuangalia hili swala kwa wigo mpana zaidi kuliko kuogopa kufanya kama anavyofanya baba jesca.
 
Kule U VCCM kumejaa vilaza. Mwalimu Nyerere alipogoma kulipa madeni ya wazungu na kushusha thamani ya shilling, kule ujiji Kigoma Kesho yake wakatangaza kuandamana kumuunga mkono kwa kukataa ukandamizaji wa wazungu. Hali ilipoanza kuwa ngumu miaka ya 80, wakamgeuka na kumsema mchonga hashauriki. The same itakuja kutokea muda siyo mrefu Magufuli itaiingiza Nchi kwenye matatizo makubwa ya kiuchumi na hapo hawahawa CCM watamgeuka na kumuita hashauriki. Ubabe katika mambo ya mikataba ni kujichimbia kaburi kiuchumi.
Hao hao wanaomchekea ndio watakuja kumlaani,ni bora angekuwa anatumia muda mwiingi na watu wenye mawazo mbadala kuliko wale wanaomwambia "ndio mzee"

Apitepite JF badala ya kuwaza kumfunga Maxence na Mushi au vijana wa JF,

Mikataba yote duniani ina clause/kipengele cha kusolve dispute .......nina imani kipengele hicho hakikutumika na serikali kutangaza mgogoro na ACACIA na kisha wakaitana na kukaa mezani,na kama timu basi ikaundwa ya pamoja kufanya ukaguzi wa makontena,timu guru lakini yenye uwakilishi,ama Taasisi itakayoteuliwa by consent between the parties

Sidhani kama president JPM anaweza kutangaza mgogoro na ACACIA kwa mujibu wa mkataba, ninadhani anaweza kuwa kamishna wa madini/TMAA au TRA,hawa wote hawajasikika kulalamika kwa chochote,na mwisho,kama serikali na mgodi wakishindwa kuelewana,basi wangetafuta arbitrator au wangeenda kufungua kesi hukooo ulaya.

Pia mpaka sasa mgodi unaweza kusema kwamba serikali imetempa/imefanya yake kwenye kontena za mchanga kwa kuongeza mchanga wenye madini ili "ijenge kesi yake"

Anasema hivyo kwa kuwa ilitoka amri kwamba makontena yote yawe chini ya serikali na sidhani kama wakati kamati yetu inapita hawa jamaa walishirikishwa wakati wa kufungua kontena hizo,na pia sijui kama wakati zinafungwa walishirikishwa katika kuweka lakiri/seal,yaani ziwepo seal za mgodi na serikali vinginevyo mgodi watasema tume-temper na yaliyomo hivyo watakataa findings zozote zile kwa kuwa ushahidi umevurugwa na upande wa serikali,watachukua benefit of doubts,na mahakama itawaelewa !!

Je procedure za utatuzi wa migogoro kati ya serikali na muwekezaji zilifatwa?kama hazikufatwa,nani alipe fidia kwa kutofata taratibu tulizosaini wenyewe?

Jamani majipu ya wazungu sio kama ya watanzania,unaweza kujikuta unatumbuka wewe mwenyewe!!!!
 
Back
Top Bottom