Tujifunze jinsi ya kucheua mambo, hii tabia ya kuwa tukilishwa mambo basi hapo hapo tunacheua mwisho wake tutajikuta matumbo yanauma kwani hicho chakula kitakuwa hakijalainika sawa kwa ajili ya matumizi mwilini, ingefaa kama tukilishwa basi turudi zizini na sasa ndo tucheue na kutafuna taratibu.