Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

Baba yako akiuza nyumba, huna uwezo wa kumfukuza mwenye nyumba kwa sababu nyumba ilikua ya Baba

Ila ukiwa huna akili za kuruka! Unaweza kumwita ukaongea Naye ukamweleza hali halisi uone atasjemaje au hata ujaribu kumrudishia hela yake! Akifanya dharau then, hata ukireact vibaya utaeleweka!
 
Hili ndio tattizo kuu lla Watanzania....kila mtu analalamika bila ya kutoa njia......
 
Duuh mambo mazito ,,aya ukiingilia maamuzi ya Watu ,,utapotea kama upepo ..,
 
Hili ndio tattizo kuu lla Watanzania....kila mtu analalamika bila ya kutoa njia......

Mkuu Nilisema Hili lingekuwa Suluhisho, but it is Too late now kwa Aproach Ambayo Nilishauri.

Soluhisho ni kuwaita Acacia na Ikiwezekana Diplomats wa Nchi zao na Kuwaambia Look here, mlipewa mkatataba wa ovyo sana Wananchi wanachachamaa, Hali inafukuta chini chini, Lazima tukae chini Tuweke Mkataba na Utaratibu mpya! Ambao ni Win Win. Kwa hali ilivyosasa! Intelligence tulionayo ni kuwa Wananchi wamechoka na Wakianza kuchoma migodi yenu wote tutakosa, "Is that too much to ask kutaka mlipe kodi 9% ya Faida yenu na 10% Kama Royalty which will leave you guys with over 81%?"
Mimi Ndivyo ningefanya! Wakikataa Nakula Jiwe miezi minne Baadaye Tuaoganize Wananchi kama Elfu moja wanaenda pale na kupiga Mawe, "Tunataka Dhahabu yetu Tunataka Dhahabu yetu" Na hakuna askari kupiga mtu. Wanakamatwa wananchi kama 10 wanawekwe kwenye Landrover, keshokutwa wanaachiwa! Wiki inayofuata Magari ya migodi yanapoigwa mawe na wananchi . Wazungu Mbio wanakuja, Tuko Tayari kwa Mazungumzo, Mnawaambia, Aku It is now completely out of our hands, the only solution is for you guys to give us the 21% we asked for, but also on top of that you must give 3% to the Local citizens for their public services, that may calm them down!

Hapo hakuna cha Kushitaki,Mtawaambia Mnataka Tuwafanyeje wanananchi tuwauwe? Maana. Wao hawaelewi. Mikataba. Kiulaini Mzungu anapiga hdesabuuuanzakubali " Something ,is. Better than nothing" they can't operate without Peace. That is for sure!


Ila Bashite alishampa Ushauri mkorogo, huu ,hautasadia tena!
 
Mkuu Nilisema Hili lingekuwa Suluhisho, but it is Too late now kwa Aproach Ambayo Nilishauri.

Soluhisho ni kuwaita Acacia na Ikiwezekana Diplomats wa Nchi zao na Kuwaambia Look here, mlipewa mkatataba wa ovyo sana Wananchi wanachachamaa, Hali inafukuta chini chini, Lazima tukae chini Tuweke Mkataba na Utaratibu mpya! Ambao ni Win Win. Kwa hali ilivyosasa! Intelligence tulionayo ni kuwa Wananchi wamechoka na Wakianza kuchoma migodi yenu wote tutakosa, "Is that too much to ask kutaka mlipe kodi 9% ya Faida yenu na 10% Kama Royalty which will leave you guys with over 81%?"
Mimi Ndivyo ningefanya! Wakikataa Nakula Jiwe miezi minne Baadaye Tuaoganize Wananchi kama Elfu moja wanaenda pale na kupiga Mawe, "Tunataka Dhahabu yetu Tunataka Dhahabu yetu" Na hakuna askari kupiga mtu. Wanakamatwa wananchi kama 10 wanawekwe kwenye Landrover, keshokutwa wanaachiwa! Wiki inayofuata Magari ya migodi yanapoigwa mawe na wananchi . Wazungu Mbio wanakuja, Tuko Tayari kwa Mazungumzo, Mnawaambia, Aku It is now completely out of our hands, the only solution is for you guys to give us the 21% we asked for, but also on top of that you must give 3% to the Local citizens for their public services, that may calm them down!

Hapo hakuna cha Kushitaki,Mtawaambia Mnataka Tuwafanyeje wanananchi tuwauwe? Maana. Wao hawaelewi. Mikataba. Kiulaini Mzungu anapiga hdesabuuuanzakubali " Something ,is. Better than nothing" they can't operate without Peace. That is for sure!


Ila Bashite alishampa Ushauri mkorogo, huu ,hautasadia tena!
Siku zote huwa nayaheshimu maoni yako.....

Bravo
 
Jamani Ndugu zangu wa ukawa naomba tuweke Silaha chini tumuunge mkono mh. Raisi katika hili, hata kama kuna makosa yalifanywa na ccm siku zilizopita lakini sasa wanayarekebisha hilo ni jambo jema kwa nchi yetu, nchi kwanza siasa baadaye, wazungu wanasema hata kama umetembea umbali gani ukigundua umepotea geuka urudi ulikotoka ili ufuate njia sahihi
TUME HURU YA UCHAGUZI
 
Umesema tumeingia mkenge sawa sasa mbona unaonyesha kupinga tutoke kwenye huo mkenge? Mh nyosha malezo tutoke vipi huko tuliko ingia?!
 
Mkuu Nilisema Hili lingekuwa Suluhisho, but it is Too late now kwa Aproach Ambayo Nilishauri.

Soluhisho ni kuwaita Acacia na Ikiwezekana Diplomats wa Nchi zao na Kuwaambia Look here, mlipewa mkatataba wa ovyo sana Wananchi wanachachamaa, Hali inafukuta chini chini, Lazima tukae chini Tuweke Mkataba na Utaratibu mpya! Ambao ni Win Win. Kwa hali ilivyosasa! Intelligence tulionayo ni kuwa Wananchi wamechoka na Wakianza kuchoma migodi yenu wote tutakosa, "Is that too much to ask kutaka mlipe kodi 9% ya Faida yenu na 10% Kama Royalty which will leave you guys with over 81%?"
Mimi Ndivyo ningefanya! Wakikataa Nakula Jiwe miezi minne Baadaye Tuaoganize Wananchi kama Elfu moja wanaenda pale na kupiga Mawe, "Tunataka Dhahabu yetu Tunataka Dhahabu yetu" Na hakuna askari kupiga mtu. Wanakamatwa wananchi kama 10 wanawekwe kwenye Landrover, keshokutwa wanaachiwa! Wiki inayofuata Magari ya migodi yanapoigwa mawe na wananchi . Wazungu Mbio wanakuja, Tuko Tayari kwa Mazungumzo, Mnawaambia, Aku It is now completely out of our hands, the only solution is for you guys to give us the 21% we asked for, but also on top of that you must give 3% to the Local citizens for their public services, that may calm them down!

Hapo hakuna cha Kushitaki,Mtawaambia Mnataka Tuwafanyeje wanananchi tuwauwe? Maana. Wao hawaelewi. Mikataba. Kiulaini Mzungu anapiga hdesabuuuanzakubali " Something ,is. Better than nothing" they can't operate without Peace. That is for sure!


Ila Bashite alishampa Ushauri mkorogo, huu ,hautasadia tena!
Usipo like ideas kama hizi utaishia kusema Kila kitu nyie mnapinga mbona hamtoi soln. Wakukurupuka atawapasua jamani.
 
Kuna watu wanajua kutetea wazungu na kuogopesha kama mleta mada kibaraka mkubwa
 
Hakuna anayebisha Tanzania kwenye madini na mafuta hatujaibiwa, ila hatukuibiwa kwa kulazimishwa! Tuliibiwa kwa usaliti wa viongozi wetu kuanzia marais na mawaziri, wanasheria na wabunge wa CCM, akiwepo huyu Rais Magufuli, kwa uzembe na usaliti wa ajabu sana walipitisha mikataba ile kwa mbembwe na kebehi kubwa kwa waliowapinga! Na nasema ni kuwa misguided kwa kuwa yeyote anayeshabikia approach ya Rais Magufuli, kwenye hili swala la madini anayeshabikia ni kwamba yuko misguided kiasi cha kuhurumiwa. Awe ni rafiki au ni adui kwangu nitasema kwa masikitiko sina jina lingine la kumpa ni kuwa yuko misguided.

Kuna msemo usemao asiyejifunza kwa historia mbaya, itamrudia. Ni kweli madini ni yetu, mafuta ni yetu lakini tumeingia mikataba ya kupunjwa ka hiyari yetu wenyewe au niseme kwa hiyari ya wale tuliowaamini kusimania nchi yetu.

Sasa kuna aliyesema ati hatuwezi kuacha madini yetu kuchukuliwa kwa sababu ya kakaratasi. That is none sense, mkataba ni zaidi ya makaratasi na zina wadau wengi, kuna mikopo ya mabank, kuna share holders wanaozi commit pesa zao kutokana na assets za kampuni na assets za kampuni ni pamoja na zabuni na contracts. Kukiwa na dosari au malalamiko credible njia pekee ya kuepuka migogoro yenye kuleta hasara kubwa ni negotiations sio kutishana wala uhuni.

1)Kuna mifano mingi ya kujifunza, uchumi wa kenya leo ni mzuri zaidi ya Tanzania kwa sababu mwalimu Nyerere alitaifisha mali za wageni.
2) Pia miaka ya 77 hadi 85 Tanzania tulipanga foleni kununua kipande cha sabuni mbuni kwa kuwa mwalimu Nyerere aligoma kulipa madeni na pia aliingia mgogoro na world bank na IMF.
3)Venezuela leo kuna shida kubwa ya uchumi kwa sababu Hugo Chavez alitaifisha visima vya mafuta.
Vya wazungu kwa vile tu aliamini mafuta ni ya Venezuela. Sasa venezuela haitawaliki
4) Zimbabwe Mugabe kachukua ardhi which was ok, lakini kwa zoezi lililofanywa kihuni bila mpango wala maelewano.
5) Iraq Saddam leo ni hayati lakini kisa hasa ni mafuta alitaifisha visima vya wazungu na miaka yote ugomvi wote waliyataka.
6) Ojuku wa Biafra alishidwa kwa kuwa sera yake ilikuwa ni kutaifisha mali Biafra.
7) Gaddafi vivyo hivyo.
8) Salvador ayende wa chile walimreplace kwa kumuua na kumweka Agusto Pinochet
9) Walipambana na Fidel Castro miaka zaidi ya 50 na mwisho baada ya kuteseka Cuba wanaelekea ubepari.

CCM ilifanya usaliti sana kuiuza nchi kwenye kikapu kwa hili swala la madini. Ila Rais Magufuli wa CCM anayetaka sifa za kisiasa anafanya kosa kubwa zaidi kwa kudhani ataweza kuponyoka kwa kutatua swala hili kihuni na kibabe kama mazoea yake. Before we know it Tanzania itakuwa kama Zimbabwe ya miaka mitano iliyopita. Je hiyo ni hekima?
Something is wrong with your thinking! Umeweka heading ikimtaja Gwajima. Ndani naagalia wapi Gwajina anahusika na wapi yuko wrong, wewe unaelezaaaaa bila kuweka hiyo connection na badala yake unaeleza unayoyajua wewe!
Lakini pia naomba nikutahadhalishe. Unaeleza na kuonya mambo ambayo rais hajafanya. Wapi Rais amekiuka mikataba mibovu iliyokwisha sainiwa?

Hili la makontena halina uhusiano na mikataba. Hakuna mkataba hata mmoja uliowahi kusainiwa kwamba ACACIA waruhusiwe kudanganya. Wanayoruhusa ya kusafirisha, tatizo ni udanganyifu!

Sasa tueleze kama udanganyifu upo au haupo? PERIOD!
 
Mkuu Nilisema Hili lingekuwa Suluhisho, but it is Too late now kwa Aproach Ambayo Nilishauri.

Soluhisho ni kuwaita Acacia na Ikiwezekana Diplomats wa Nchi zao na Kuwaambia Look here, mlipewa mkatataba wa ovyo sana Wananchi wanachachamaa, Hali inafukuta chini chini, Lazima tukae chini Tuweke Mkataba na Utaratibu mpya! Ambao ni Win Win. Kwa hali ilivyosasa! Intelligence tulionayo ni kuwa Wananchi wamechoka na Wakianza kuchoma migodi yenu wote tutakosa, "Is that too much to ask kutaka mlipe kodi 9% ya Faida yenu na 10% Kama Royalty which will leave you guys with over 81%?"
Mimi Ndivyo ningefanya! Wakikataa Nakula Jiwe miezi minne Baadaye Tuaoganize Wananchi kama Elfu moja wanaenda pale na kupiga Mawe, "Tunataka Dhahabu yetu Tunataka Dhahabu yetu" Na hakuna askari kupiga mtu. Wanakamatwa wananchi kama 10 wanawekwe kwenye Landrover, keshokutwa wanaachiwa! Wiki inayofuata Magari ya migodi yanapoigwa mawe na wananchi . Wazungu Mbio wanakuja, Tuko Tayari kwa Mazungumzo, Mnawaambia, Aku It is now completely out of our hands, the only solution is for you guys to give us the 21% we asked for, but also on top of that you must give 3% to the Local citizens for their public services, that may calm them down!

Hapo hakuna cha Kushitaki,Mtawaambia Mnataka Tuwafanyeje wanananchi tuwauwe? Maana. Wao hawaelewi. Mikataba. Kiulaini Mzungu anapiga hdesabuuuanzakubali " Something ,is. Better than nothing" they can't operate without Peace. That is for sure!


Ila Bashite alishampa Ushauri mkorogo, huu ,hautasadia tena!
Kwa ufupi kabisa, wapi rais kakiuka mkataba? Kilicho ktk ajenda ni udanganyifu wa composition ya hizo concentrates. Kubishana kwenye bussiness ni kawaida na muhimu ni kutaka tufahamu kwa nini serikali inasema hivi, ACACIA wanasema vile. Kosa la rais ni nini hadi na wewe unaingia kwa mtindo wa Tundu Lisu??
 
Acha mambo yaendelee hivi hivu, ili ikifika 2020 tuwe tumepigika kweli kweli ili CCM itolewe kirahisi madarakani.
 
Back
Top Bottom