MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
ndugu yangu, wakubwa waliingilia kati pamoja na familia wakawa hawataki iyo itokee, lakini kama wasingefanya ivyo, amina chifupa angerudi laivu, ..waliogopa mvurugano utatokea huko kwa wakubwa kwasababu kuna siri nyingi sana kwenye hiyo selikali yenu. hivyo ilibidi waombe jamaa asimrudishe..
Duu hii kali, hivyo ule ufufuo tulioahidiwa ndio basi tena, kama huyu bwana keshaanza hiyo kazi by the time Yesu anarudi kaburini hakuna mtu