Gwajima: Makonda ni zero brain, amuomba Magufuli kumpangia kazi nyingine

Leo akiongea katika kanisa la UFUFUO NA UZIMA maeneo ya Ubungo Tanesco amesema kwamba Makonda au bashite ni ziro brain na kwamba bado hana uwezo wa kuongoza watu na pia kumuomba Mh Rais Magufuli ampangie kazi nyingine.

" Professa Muhongo alipendwa na Rais Magufuli sana lakini siku ya mwisho ameondolewa, itakuwa huyu mwenye ziro brain yaani sifuri kabisa..." alisema MchungajiJosephat Gwajima.

Pia amesema hawezi kila siku kuongelea kuhusu huyu Bashite na kwamba ana shughuli nyingi za maendeleo za kuzifanya na huu mjadala wa Daudi Albert Bashite ameshaufunga sema kuna vijana wanamchokono chokonoa sana.
"..alikuwepo Kamanda Kova, Sheikh Yahaya lakini Leo wako wapi? Atakuwa huyu ziro brain kabisa yaan hamna kitu kichwani (Bashite)..." Alisema Dr Bishop Josephat Gwajima.
Pia ameenda zaidi na kutoa no ya baba yake Paul makonda ambaye ni Albert Nyange Bashite ambaye ana no ya simu iliyosajiliwa kwa jina hilo 0755543803 MPESA.
Amesema Makonda anamtukana Ruge wa Clouds na kwamba RUGE ana Degree of Marketing toka Califonia Marekani (USA) pia kitendo cha makonda kuvamia Clouds sio Uvamizi but ni igizo lakini kwa nini alienda na Askari wenye silaha katika studio za Cloids Media.
Nape ana elimu kubwa sana amesoma India diploma, degree pia na Masters amechukua Mzumbe lakini Bashite/ Makonda hana hata Cheti cha Nursery wala Certificate..

Gwajima amesema pia kwamba yeye ana PhD na kwamba Makonda sio size yake kabsa kwa sababu yeye ni ziro brain.
140b2cbcc23e4cbbab5e534b9f70a370.jpg

Amwambia Antony Diallo kwamba kwa nini alimruhusu huyu Ziro Brain ambaye alikataliwa na Media zote.

Antony Dialo amemwambia Gwajima kwamba " nilimpa nafasi Mh Paul Makonda katika kituo changu ili atoe vyeti vyake kwa maana ndo tulivyokubaliana..." in Gwajima voice

"wakati Makonda akiwa Mkuu wa wilaya ya kinondoni, majimbo yote ya Kinondoni kama Kawe, kinondoni etc yalichukuliwa na upinzani hii inamaanisha kwamba jamaa bado ni ziro brain kabsa.." in gwajima Voice

Dude limeamshwaaaa
 
Mi binafsi nshamuchoka atafute kingine cha kumuongezea umaarufu sifa zikizidi anatakiwa kupuuzwa ile sio sehemu ya kutukania watu kuhusu vyeti alishatuchosha navyo umbea nao unachosha kusikiliza
 
Hiyo ndo hulka ya wasukuma washamba wanapenda sifa mungu anisamehe utadhan kusoma kaanza yeye.....

mungu alimjua ndomana akumpa urefu maana n mwehu

kanisa litageuka vipi kitengo cha shilawadu na taarab?

daaaaahhhhh poleni sanaaaaaaaaaaaaaa watu wake mazombie gwajima n gugumaji .......

kufa hata yeye atakufa
 
Kondoo wa Gwajima jitatafakalini,badala ya kuubilia Bwana Mungu wetu mnaubiliwa Bashite iwasaidie nini na nyie mnamshangilia mchunga kondoo! Tanzania ni nchi ya ajabu sana tunashughulishwa na vitu visivyokuwa na faida tunaacha vyenye tija
 
Gwajima anahangaika bure tu na mambo yasiyomuhusu. Anamuhubiri Makonda badala ya Mungu, alafu na waumini wake wanaitikia ameeee...eennn!! Ajabu sana
Lakini si kweli makonda sjui bashite ni zero brain?
Na pia bashite na yeye anapoteza muda kuhangaika huku na huko kuomba vipindi ili kumchafua ama kumkomesha ruge ambae ana degree ya masoko kutoka chuo huko marekani, na kuhangaika na gwajima mwenye phd
huon na yeye anapoteza muda ...angeutumia muda vizuri kujifunza utawala bora hata kua na masomo.ya jioni.chuo.kikuu
 
Inashangaza pale mtumishi wa Mungu anavoanza kuingilia mambo ya siasa.......
Na inashangaza pia pale mtu wa serikali anapoingilia mambo ya dini na kusema flani sio askofu ...na pia inasikitisha kuona mtu wa serikali kuingilia uhuru wa vyombo vya habari kwa nia ovu ya kuchafua watu tena wenye elimu zao ila yeye zero kichwani zero kwenye maisha zero.in everything
 
mchungaji kajanja anahubili ubuyu kuliko neno aliloagiza yesu anatumia muda wake mwingi kumchafua mtu kuliko kuhubili neno kweli hizi ni nyakati za mwisho
Lakini yeye na ruge wakichafuliwa ni sawa tu na kuongea live redion kwamba tumemkomesha kwaio ni sawa si ndio nyie zero brain?,
 
Back
Top Bottom