figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Ally Bananga ambaye sasa ni Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar, amejikuta anakula matapishi yake baada ya kuangukia mikononi mwa Makonda. Kumbuka Paul Makonda ni Mwanachama hai na mwaminifu wa CCM Mkoa wa Dar. Pia ni moja ya Watoa Maamuzi.
Bananga alipokuwa CHADEMA, yeye na Mwenzake Boniface Jacob, walikuwa wanamnanga Makonda kwamba ana vyeti feki wakawa wanamuita Bashite Ziro brain.
Hii Dunia ni Duara. Safari hii Bananga amejikuta Makonda ni Boss wake. Aendelee kuongea maneno yake tuone.
Ally Bananga Kushoto akiwa na Makonda huku akikosa wapi afiche sura yake
Bananga alipokuwa CHADEMA, yeye na Mwenzake Boniface Jacob, walikuwa wanamnanga Makonda kwamba ana vyeti feki wakawa wanamuita Bashite Ziro brain.
Hii Dunia ni Duara. Safari hii Bananga amejikuta Makonda ni Boss wake. Aendelee kuongea maneno yake tuone.
Ally Bananga Kushoto akiwa na Makonda huku akikosa wapi afiche sura yake