Gwajima: Makonda ni zero brain, amuomba Magufuli kumpangia kazi nyingine

Amekubali kushndwa na Makonda rasmi. Baba Askofu, Mwenyekiti amenaswa na katazo no 6.
 
Huyu nae amezidi kutafuta wahumini na pesa za sadaka kupitia jina la Mh. Makonda, ambaye ni kiongozi jembe na shupavu.

Aache wivu na aache kumtaka aondolewe kwa sababu dili zao na wengine wengi zimegonga mwamba. Wanamuogopa ana sana tu

Makonda endelea kuwanyima usingizi, inaonyesha kuwa umeweza kufanya mengi na kuwakanyaga kwa kuweka nchi yetu pendwa mbele.

Mungu azidi kukusimamia, tunawaombea wewe na Rais wetu na viongozi wengine mnaojenga nchi yetu.

Makonda oyeeeeeee
 
Nafkiri siku hz makanisani ndio shm za mikutano ya kisiasa
 
Back
Top Bottom