Gwajima: Makonda ni zero brain, amuomba Magufuli kumpangia kazi nyingine

Kwa kuwa 2020 sio rafiki wa Mkulu
Anahitaji zero brains wengi kuongoza kamati za ulinzi na usalama ili kuwatumia polisi kudhibiti wapinzank na kutisha wananchi kwa Faida ya mtakatifu wa taifa
Gwajima anapoteza muda
Zero brains kwa Magu ni Muhimu kuliko smart dudez
 
Leo akiongea katika kanisa la UFUFUO NA UZIMA maeneo ya Ubungo Tanesco amesema kwamba Makonda au bashite ni ziro brain na kwamba bado hana uwezo wa kuongoza watu na pia kumuomba Mh Rais Magufuli ampangie kazi nyingine.
" Professa Muhongo alipendwa na Rais Magufuli sana lakini siku ya mwisho ameondolewa, itakuwa huyu mwenye ziro brain yaani sifuri kabisa..." alisema MchungajiJosephat Gwajima.

Pia amesema hawezi kila siku kuongelea kuhusu huyu Bashite na kwamba ana shughuli nyingi za maendeleo za kuzifanya na huu mjadala wa Daudi Albert Bashite ameshaufunga sema kuna vijana wanamchokono chokonoa sana.
"..alikuwepo Kamanda Kova, Sheikh Yahaya lakini Leo wako wapi? Atakuwa huyu ziro brain kabisa yaan hamna kitu kichwani (Bashite)..." Alisema Dr Bishop Josephat Gwajima.
Pia ameenda zaidi na kutoa no ya baba yake Paul makonda ambaye ni Albert Nyange Bashite ambaye ana no ya simu iliyosajiliwa kwa jina hilo 0755543803 MPESA.

Amesema Makonda anamtukana Ruge wa Clouds na kwamba RUGE ana Degree of Marketing toka Califonia Marekani (USA) pia kitendo cha makonda kuvamia Clouds sio Uvamizi but ni igizo lakini kwa nini alienda na Askari wenye silaha katika studio za Cloids Media.
Nape ana elimu kubwa sana amesoma India diploma, degree pia na Masters amechukua Mzumbe lakini Bashite/ Makonda hana hata Cheti cha Nursery wala Certificate..

Gwajima amesema pia kwamba yeye ana PhD na kwamba Makonda sio size yake kabsa kwa sababu yeye ni ziro brain.
140b2cbcc23e4cbbab5e534b9f70a370.jpg

Amwambia Antony Diallo kwamba kwa nini alimruhusu huyu Ziro Brain ambaye alikataliwa na Media zote.

Antony Dialo amemwambia Gwajima kwamba " nilimpa nafasi Mh Paul Makonda katika kituo changu ili atoe vyeti vyake kwa maana ndo tulivyokubaliana..." in Gwajima voice

"wakati Makonda akiwa Mkuu wa wilaya ya kinondoni, majimbo yote ya Kinondoni kama Kawe, kinondoni etc yalichukuliwa na upinzani hii inamaanisha kwamba jamaa bado ni ziro brain kabsa.." in gwajima Voice

Hiyo namba 0755543803 imesajiliwa kwa jina la Albert Malyagili na siyo Albert Nyange Bashite kama Askofu Gwajima anavyosema??

Nadhani Askofu Gwajima Kuna jambo analitafuta akifikiri kinga yake ni yeye kuongea akiwa ktk madhabahu pa Bwana kwa imani kuwa Serikali inaheshimu Uhuru wa kuabudu.

Ni vizuri tu mtumishi wa Dini kuwa kioo cha jamii kama ilivyo kwa wasanii,viongozi n.k.

Utajapata na kushikwa pabaya usione mlango wa kutoka siku iko njiani yaja upesi kama mwenendo wako ndiyo huo.
 
Gwajima anahangaika bure tu na mambo yasiyomuhusu. Anamuhubiri Makonda badala ya Mungu, alafu na waumini wake wanaitikia ameeee...eennn!! Ajabu sana
Lakini Huyo unaye mtaja si ndo anamchokoza Gwajima ? Lazima amjibu vinginevyo waumini wake hawatamwamini, na badala yake watamwamini Makonda.
 
Anashindwa kujua ni kwa nini watumishi wengine tena wenye majina hata kuliko yeye hawaropokiropoki mambo ya siasa kama yeye. Ingekuwa ni kwenye nchi nyingine ashakipata cha moto sema Tanzania tunavumiliana na serikali yetu ni vumilivu
 
Ayo maneno yote kayaongelea kanisani ao ameyaongelea kwenye Yale madanguro ya kona bar ?
 
Hiyo namba 0755543803 imesajiliwa kwa jina la Albert Malyagili na siyo Albert Nyange Bashite kama Askofu Gwajima anavyosema??

Nadhani Askofu Gwajima Kuna jambo analitafuta akifikiri kinga yake ni yeye kuongea akiwa ktk madhabahu pa Bwana kwa imani kuwa Serikali inaheshimu Uhuru wa kuabudu.

Ni vizuri tu mtumishi wa Dini kuwa kioo cha jamii kama ilivyo kwa wasanii,viongozi n.k.

Utajapata na kushikwa pabaya usione mlango wa kutoka siku iko njiani yaja upesi kama mwenendo wako ndiyo huo.
Heeey!! Kwani na viongozi wa serikali wanapaswa kuwa vioo kwa jamii!? Kama ni hivyo basi yule aliyeongoza uvamizi wa kituo cha Redio na kuandaa dvd feki atakuwa screen ya inch 55 kabisaaaa!!! Ndo maana jamii inamuona vizuri zaidi!!!
 
Pamoja na shutuma anazodaiwa kuwa nazo mkuu wa mkoa wa dar, lakini kugeuza nyumba za ibada kuwa za mipasho ya kueleza madhaifu hayo, katika hali ya ustaarabu, wa jamii au watu walio staarabika, sio sahihi. Nina wasiwasi kama Mungu wa hilo kanisa ndie huyu huyu anaeabudiwa na na waumini wa makanisa mengine. Na kama ni huyo huyo, nina shaka kama sala na maombi ya kiongozi wa kanisa hilo na waumini wake, huwa anayasikiliza na kuyapa uzito.
 
Wangezichapa ulingoni tuone nani kidume washaanza kua kama wanawake kutupiana mipasho kila weekend
 
Bado anaokoteza tu ushahidi! Mh rais alishasema hapangiwi, kama ni kidume na anazaa, aanze kumchana rais.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom