HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,445
- 6,207
ENDELEA KUWASHWA ZYAMPUNGA WEWEWewe sijui nitumie neno gani? Nani kakuambia nina shida ya Udc? Gwajima alitakiwa alijue hili kuwa kule kupimwa na kupekulkwa ni muendelezo tu wa yeye kuwa katika rada.
Na washawasha!
ENDELEA KUWASHWA ZYAMPUNGA WEWE
Kampeini zilizohakisi uhalisia wa vyama vingi ni zile za jimbo la Temeke kati ya ('mzawa')-Cisco na ('wakuja')-Mrema Lyatonga. Soon tutashudia kapeini ambazo zitatoa picha ya 2020 hapo mujini Longido.nafikiria bwana yule ataombaje kura 2020, mana mpaka sasa sijui katimiza lipi zaidi ya majungu, kajeli, dharau, kiburi na majivuno kwa wananchi wake
Ukweli hua una kanuni zake za asiliKumbe umeliona hilo comrade wng....
.Wengi walifahamu kuwa elimu ya RC ina utata lakini hakuna aliyethubutu kufungua mdomo, leo hii Gwajima ameliweka hadharani tena amemleta mzee kutoka kijiji cha Kalomije anaemfahamu RC tangu enzi anasoma shule ya msingi kwa jina la Daudi Bashite.
Gwajima alikua amepanga mipango ya kuweka swala bayana J2, Ijumaa anawekwa ndani kumfunga mdomo.
FREE GWAJIMA, HE IS A WHISTLE BLOWER.
Kwani kosa la Gwajima ni lip?Mpaka mtu ana teuliwa kuwa RC ni taratibu zipi za kiutawala hufuatwa?
Hivi kuna mtumishi wa Mungu wa dhehebu la Kikiristo aseye juu kuwa ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu. Yesu mwenyewe alimtuma mwanafunzi wake amvue samaki wakatoa fedha ya ushuru kinywani mwa samaki. Kwa nini Bwana Yesu hakusema dunia na vyote viijazavyo akiwemo na kaisari ni mali yake. Na akatae kujidemote kwa kaisari?
Lakini je ukweli kuhusu suala la vyeti unahitaji kusimamiwa na yeyote? Ukweli kama ilivyo nature unajisimamia wenyewe na hamna wa kuuzuia.
Na washawasha!
Yupo serious sana hapo nahic mtume alimshukia akasemezana nae kwa lugha...leo kakumbuka kuvaa kiustadhi ..hajavaa viatu katinga sendo
Kwani kosa la Gwajima ni lip?
Ni kweli kabisa mkuu, kuhusu hivi vyeti lisemwalo lipo.
Hata askofu akipatikana na hatia yawekwe wazi lakini na maswala ya vyeti pia yasifunikwe. Hakuna binadamu aliekamilika lakini ni ustaarabu kukubali kosa.Ukweli kuhusu askofu kuwa aliwahi kutuhumiwa hautafutwa na suala la vyeti kamwe, hili ndilo nyie na askofu mnatakiwa mlitambue. Ni lisemalo kwenu na lisema na upande wa pili ukweli kuhusu vyeti hauta fichwa na tuhuma kwa askofu. Mwisho wa siku ukweli uta simama tu.
Na washawasha!
Bashite anajipa moja kuwa baba yake atamlinda, ngoja tuoneBaba bashite anazunguka na ziara zake tu, elimu ya mwanae haimuhusu, mawaziri wote wa elimu kimyaaaa...hakuna aliyejitokeza kutoa ufafanuzi..maajizo kutoka juu ni kumkamata Gwajima...hakika elimu ya bashite inatia mashaka sanaa
Hata askofu akipatikana na hatia yawekwe wazi lakini na maswala ya vyeti pia yasifunikwe. Hakuna binadamu aliekamilika lakini ni ustaarabu kukubali kosa.
Hata yeye aliiba mke wa mtu na mwenye mke aka-blow whistle hatukumpa umakini huu tunaompa yeye kwenye vyeti vya bwana Bashite, anyway mnyonge ni mnyonge tu. Ila bwana Bashite ni kweli kafoji vyeti kabla sijasahau na hana la kujitetea.Wengi walifahamu kuwa elimu ya RC ina utata lakini hakuna aliyethubutu kufungua mdomo, leo hii Gwajima ameliweka hadharani tena amemleta mzee kutoka kijiji cha Kalomije anaemfahamu RC tangu enzi anasoma shule ya msingi kwa jina la Daudi Bashite.
Gwajima alikua amepanga mipango ya kuweka swala bayana J2, Ijumaa anawekwa ndani kumfunga mdomo.
FREE GWAJIMA, HE IS A WHISTLE BLOWER.