Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Game Theory, naandika haya ndani ya kipindi hiki cha global financial crisis, na kwa abstract kama hii ni imani yangu kubwa kuwa hapo ulipo sasa umekakamaa mbele ya screen yako uki-scroll na kubonyeza manamba-namba kwenye BARX level 2 trading platform...
Nasi huku kwetu kwenye platform yetu ya JF tupo tunaendelea kuuza na kununua sera za vyama na strategies za maendeleo ya nchi yetu. Ma-brokers wetu hapa JF ni wa aina mbali mbali; wengine wana short-sell takwimu za maendeleo, wengine wanauza reserve bonds za vyama, wengine wana trade CFD katika mahusiano na mapenzi, wengine indexes za vyama vyao zimeporomoka na sasa wanahaha kusubiria federal rescue packages, wengine wanasubiria kuyoyoma na hostile takeovers, n.k, n.k..... almradi tu mambo yanaenda.
Katika kutoa pongezi zangu kwa kutuuzia shares za ujuzi wako kwa bei nafuu kabisa na ya kutupa; nikiamini, kwa niaba ya Wana JF wote, TUNASHUKURU UWEPO WAKO NA MOYO WAKO WA KIZALENDO WENYE DHAMIRA YA KULIKOMBOA TAIFA LETU kupitia hisa zako.
Hata hivyo pamoja na kwamba tayari tumeshanunua share nyingi kutoka kwako, naamini WanaJF wapo tayari kununua shares nyingine za ziada kwa kiwango chochote utakacho floatisha. Ma hedge fund na majidubwasha mengineyo wewe tuletee tu, hata yale ya inside trading. Na katika kuhakikisha soko huria linaendelea, nina imani uongozi wa JF umekaza boot kuzungurushia uzio "bad debts" zozote zilizokuwepo katika aina za trading zitokeazo hapa ili kulinda maslahi ya members wake na stakeholders wote. Na policy implementation zozote kama zipo naamini ni kwa ajili ya kuhakikisha progressive motto ya JF inatimizwa na dividends zozote ni kwa ajili ya Watanzania na WanaAfrika wote.
Hongera GT Kwa Mabandiko 4000!! Uzi Ni Ule Ule na tumkome nyani....
SteveD.
Nasi huku kwetu kwenye platform yetu ya JF tupo tunaendelea kuuza na kununua sera za vyama na strategies za maendeleo ya nchi yetu. Ma-brokers wetu hapa JF ni wa aina mbali mbali; wengine wana short-sell takwimu za maendeleo, wengine wanauza reserve bonds za vyama, wengine wana trade CFD katika mahusiano na mapenzi, wengine indexes za vyama vyao zimeporomoka na sasa wanahaha kusubiria federal rescue packages, wengine wanasubiria kuyoyoma na hostile takeovers, n.k, n.k..... almradi tu mambo yanaenda.
Katika kutoa pongezi zangu kwa kutuuzia shares za ujuzi wako kwa bei nafuu kabisa na ya kutupa; nikiamini, kwa niaba ya Wana JF wote, TUNASHUKURU UWEPO WAKO NA MOYO WAKO WA KIZALENDO WENYE DHAMIRA YA KULIKOMBOA TAIFA LETU kupitia hisa zako.
Hata hivyo pamoja na kwamba tayari tumeshanunua share nyingi kutoka kwako, naamini WanaJF wapo tayari kununua shares nyingine za ziada kwa kiwango chochote utakacho floatisha. Ma hedge fund na majidubwasha mengineyo wewe tuletee tu, hata yale ya inside trading. Na katika kuhakikisha soko huria linaendelea, nina imani uongozi wa JF umekaza boot kuzungurushia uzio "bad debts" zozote zilizokuwepo katika aina za trading zitokeazo hapa ili kulinda maslahi ya members wake na stakeholders wote. Na policy implementation zozote kama zipo naamini ni kwa ajili ya kuhakikisha progressive motto ya JF inatimizwa na dividends zozote ni kwa ajili ya Watanzania na WanaAfrika wote.
Hongera GT Kwa Mabandiko 4000!! Uzi Ni Ule Ule na tumkome nyani....
SteveD.