Great THINKER, Fikiria hili:

Great THINKER, Fikiria hili:

Given Edward

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
850
Reaction score
203
Hivi itakuwaje siku umeamka asubuhi unafungua mlango halafu unakuta hakuna nje? Yaani nje kumepotea. Halafu unarudi ndani napo kumepotea! Ni wazo la kijinga lakini scientifically? Nawasilisha wakuu! (hahaha!)
 
Hivi itakuwaje siku umeamka asubuhi unafungua mlango halafu unakuta hakuna nje? Yaani nje kumepotea. Halafu unarudi ndani napo kumepotea! Ni wazo la kijinga lakini scientifically? Nawasilisha wakuu! (hahaha!)
<br />
<br />
Then You're dead without money
 
ili kujua kama bado niko duniani nitaruka kidogo, nifunge macho afu nifungue may be naweza nikawa na nguvu za ziada,nitatest kila namna mpaka nizipate.
 
Sasa wewe utakuwa wapi? nje ndani au ndani nje?
 
Hivi itakuwaje siku umeamka asubuhi unafungua mlango halafu unakuta hakuna nje? Yaani nje kumepotea. Halafu unarudi ndani napo kumepotea! Ni wazo la kijinga lakini scientifically? Nawasilisha wakuu! (hahaha!)
Mkuu hapo utakuwa umekufa na haupo dunia hii tena,
hapo kwenye kijani pana kontradikisheni, aliporudi ndani alitokea wapi iwapo nje kumepotea?
 
paul hayo kifilosofia yanaitwa self defeating statements which amount to meaninglessness.
Discusing meaninglessness is waste of time
 
umenikumbusha series ya LOST!! mambo ya JOHN LOCKE na the Island!
 
givenality was you dreaming?
Haya mambo ya silali nakuota wewe umeyatoa wapi?
 
Hivi itakuwaje siku umeamka asubuhi unafungua mlango halafu unakuta hakuna nje? Yaani nje kumepotea. Halafu unarudi ndani napo kumepotea! Ni wazo la kijinga lakini scientifically? Nawasilisha wakuu! (hahaha!)

hhahaha haaa dah utata mtupu ila

  • kiktendo cha kuweza kufungua mlango maana yake tayari kuna nje. yaani kuna boundaries, obstacles na objects
  • Alafu kama unaweza kurudi ndani basi inaonyesha uo kwenye nyumba.

unless urekebishe sentensi yako.
 
Nitaendelea kulala mpaka hapo nitakapoamka na ndoto kuisha...

Unless labda takuwa ninaishi kwenye Matrix yaani ukweli ni kwamba We dont Exist na haya yote yanayotokea ni ndoto
 
Fasta nita chukua laptop na ku login JAMII forums kuuliza swali wadau kama na wao wameexperience the same thing!!
 
Hivi itakuwaje siku umeamka asubuhi unafungua mlango halafu unakuta hakuna nje? Yaani nje kumepotea. Halafu unarudi ndani napo kumepotea! Ni wazo la kijinga lakini scientifically? Nawasilisha wakuu! (hahaha!)

Ukiangalia sana movie ya "Adjustment Bureau" utakuwa kichaa (nafikiri ndio source ya theory yako). Imagination has no limit, but remember reality does.
 
Back
Top Bottom