Govt slams UN report on Arms Trafficking; demands apology

Hivi inakuwaje iwapo waasi wanaagiza silaha zikiwa camouflaged halafu zipitie bandari yetu ya DSM kama cargo nyingine yoyote inayoenda DRC au Rwanda na maeneo mengine? Ina maana serikali ya Tanzania italaumiwa kuwa inasaidia waasi wa nchi hizo? Anaepaswa kupiga sachi mizigo hiyo ni nani kama siyo TRA. TRA wana capacity ya kuugundua mzigo uliobebwa wa silaha? Srikali ya Tanzania inaonewa tu.

hizi implications nyingine zinatutia madoa lakini kama inspection inafanywa na TRA then TRA ni entity ya serikali!!
 
nimeona kama huku kuna vagi na sikuchagua ila nilishauri, sikujua kuchagua na kushauri yanafanana!!!
ushauri rejected,
serikali ina haki ya kutoshinikizwa kwa mambo ya kijinga
 
Tutaendelea kufumbia macho mambo ya msingi kwa kuendeleza ushabiki usio na maana. Hivi kweli Nchi kama Rwanda, Congo na Burundi Mahitaji yao yoote yanayohitaji masoko na route za kimataifa zinapitia Tanzania ikishakuwa silaha tuna kataa, zinapitia wapi.

Silaha ni biashara kubwa sana ambayo iko chini kwa chini, hiyo marekani kwenyewe wanaojifanya vinara wa dunia hii ndio miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa utengenezaji wa silaha. Cha ajabu masuala ya silaha na hasa masoko hufanywa na mawakala, kwa nini hili lisifanikishwe na hawa mawakala kununua njia na kupitisha kwenda Congo?

Tunaposema kwamba Tanzania kama nchi inahusika sio lazima iwe ni katika mfumo rasmi wa biashara ya kiserikali inaweza kuhusika kwa maana kwamba watu walio kwenye mfumo ndio wanaopiga hili deal, hivyo kikweli silaha zinakuwa zimepita Tanzania tunabishana nini katika hili.

Nchi hii ambayo wala rushwa wanasifiwa hadi bungeni unategemea watu watashindwa kupitisha silaha wakapewa mkate wao, wakati watu hao hao wameshakubali sio mara moja wananchi kuingizwa kwenye matatizo kama yaliyoko north mara na bulyakulu. Kama watu walishawaua wananchi wao ili kupata pesa watakuwa kweli na uchungu wa wananchi wa Congo? Nadhani tupunguze ushabiki kwenye masuala muhimu.
 
Hii aibu ni kubwa, it is time to reveal who Meremeta is. Serikali imekataa kumruhusu CAG kukagua mahesabu ya meremeta, yote hiyo ni kuficha hii aibu. Yaani watu wachache wanaichafua nchi na jeshi letu huku viongozi wakiwatetea na kuwakumbatia. mbaya sana.
 
Hivi inakuwaje iwapo waasi wanaagiza silaha zikiwa camouflaged halafu zipitie bandari yetu ya DSM kama cargo nyingine yoyote inayoenda DRC au Rwanda na maeneo mengine? Ina maana serikali ya Tanzania italaumiwa kuwa inasaidia waasi wa nchi hizo? Anaepaswa kupiga sachi mizigo hiyo ni nani kama siyo TRA. TRA wana capacity ya kuugundua mzigo uliobebwa wa silaha? Srikali ya Tanzania inaonewa tu.

endeleeni na kutukuza serikali kama mfalme wenu! serikali "imesema" basi wote mnakenua meno hamtaki hata kuhoji. Sijui mmerogwa na nani! hivi hamjui ni viongozi wenu wangapi ambao wamehusika na biashara hii haramu na kufaidika nayo? Endeleeni kuabudu katika hayo madhabahu peke yenu!
 
endeleeni na kutukuza serikali kama mfalme wenu! serikali "imesema" basi wote mnakenua meno hamtaki hata kuhoji. Sijui mmerogwa na nani! hivi hamjui ni viongozi wenu wangapi ambao wamehusika na biashara hii haramu na kufaidika nayo? Endeleeni kuabudu katika hayo madhabahu peke yenu!
afadhali kuheshimu serikali yangu kuliko kukuheshimu wewe ambaye huna mandate yeyote zaidi ya kuendeleza tumbo lako...

unataka tuache kumwamini rais wetu tukuamini wewe, you are not serious...we have leaders to trust at..

serikali kama ina kiwanda kipi tuambie?
 
Actually, this is a very serious allegation, the UN need to prove at a balance of probability.
This touches and defame much the good image worldwide.
 
Kuna mtu wenye hiyo Ripoti atuwekee hapa..........please.....ngoja nami niitafute
 
Membe yeye anakataa anatoa sababu zipi ambazo sisi tunaweza kuona kwamba Tanzania tunaonewa na hakuna mtanzania hata mmoja kwenye serikali kahusika na mchezo wa silaha ? Yule Mfaransa na na mapanki si alisha yasema haya mwenyewe siku za nyuma huko ama mie sina kumbukumbu ?

Upuambavu wa UN ni upi na usafi wa Nchi yangu ni upi ? Naombeni msaada
 
MkamaP,
Mkuu kuna report kubwa inayohusu Tanzania na support yetu ktk vita ya Rwanda na Congo.. Zile ndege za Kirusi wakati wa sangara zilikuwa na ushahidi tosha kabisa kuonyesha wazi kwamba silaha nyingi zilipitia Tanzania uwanja wa Mwanza, hivyo ni vizuri sana serikali yetu iwe makini kwani wakijaribu kulikuza hili linaweza kututokea puani.
Kama mnakumbuka JK alikataa na kupinga kabisa kwamba wananchi wa Mwanza hawali Mapanki, ikaja ile sinema ambayo ni documentary ikatuweka uchi wa nyama na sinema yenyewe ikapigwa marufuku isionyeshwe nchini..Tuwe makini sana tumapobishana na vyombo kaa hivi kwani huyo waziri sidhani kaa amefanya utafiti wake kuelewa kiundani kilichokuwa kikifanyika toka enzi za Mkapa...
 
MkamaP,
Mkuu kuna report kubwa inayohusu Tanzania na support yetu ktk vita ya Rwanda na Congo.. Zile ndege za Kirusi wakati wa sangara zilikuwa na ushahidi tosha kabisa kuonyesha wazi kwamba silaha nyingi zilipitia Tanzania uwanja wa Mwanza, hivyo ni vizuri sana serikali yetu iwe makini kwani wakijaribu kulikuza hili linaweza kututokea puani.
Kama mnakumbuka JK alikataa na kupinga kabisa kwamba wananchi wa Mwanza hawali Mapanki, ikaja ile sinema ambayo ni documentary ikatuweka uchi wa nyama na sinema yenyewe ikapigwa marufuku isionyeshwe nchini..Tuwe makini sana tumapobishana na vyombo kaa hivi kwani huyo waziri sidhani kaa amefanya utafiti wake kuelewa kiundani kilichokuwa kikifanyika toka enzi za Mkapa...


Mkandara nakubaliana nawe maana tuache kuongea tukiwa emotional
 
MkamaP,
Mkuu kuna report kubwa inayohusu Tanzania na support yetu ktk vita ya Rwanda na Congo.. Zile ndege za Kirusi wakati wa sangara zilikuwa na ushahidi tosha kabisa kuonyesha wazi kwamba silaha nyingi zilipitia Tanzania uwanja wa Mwanza, hivyo ni vizuri sana serikali yetu iwe makini kwani wakijaribu kulikuza hili linaweza kututokea puani.
Kama mnakumbuka JK alikataa na kupinga kabisa kwamba wananchi wa Mwanza hawali Mapanki, ikaja ile sinema ambayo ni documentary ikatuweka uchi wa nyama na sinema yenyewe ikapigwa marufuku isionyeshwe nchini..Tuwe makini sana tumapobishana na vyombo kaa hivi kwani huyo waziri sidhani kaa amefanya utafiti wake kuelewa kiundani kilichokuwa kikifanyika toka enzi za Mkapa...

- Bob maneno mazito sana haya, na I am down!

Respect.


FMEs!
 
MkamaP,
Mkuu kuna report kubwa inayohusu Tanzania na support yetu ktk vita ya Rwanda na Congo.. Zile ndege za Kirusi wakati wa sangara zilikuwa na ushahidi tosha kabisa kuonyesha wazi kwamba silaha nyingi zilipitia Tanzania uwanja wa Mwanza, hivyo ni vizuri sana serikali yetu iwe makini kwani wakijaribu kulikuza hili linaweza kututokea puani.
Kama mnakumbuka JK alikataa na kupinga kabisa kwamba wananchi wa Mwanza hawali Mapanki, ikaja ile sinema ambayo ni documentary ikatuweka uchi wa nyama na sinema yenyewe ikapigwa marufuku isionyeshwe nchini..Tuwe makini sana tumapobishana na vyombo kaa hivi kwani huyo waziri sidhani kaa amefanya utafiti wake kuelewa kiundani kilichokuwa kikifanyika toka enzi za Mkapa...

Hawa UN ni wapumbafu

Yani hata kama ,yani wameshindwa kwanini kuandika kwanza ya kwamba ,vita ya rwandwa ilikuwa hivi.

silaha zilitoka urusi,marekani na urusi zikatua Tanzania na zikaingia huko rwanda na kongo.?

Kwani hizo silaha zimetengenezwa Tanzania?? kwanini wasiandike kwanza source (marekani-Kagame)na (ufaransa-wahutu)yake harafu waje tunel(Tanzania) harafu destination huko.?

Hawa jamaa ni wapumbafu sana. Nimekaa nao darasani miaka 6, hata ukimfundisha kitu anakugeuka anajifanya yeye ndiye anakufundisha.

Membe yuko sahihi kabisa, akaze kamba hapo hapo ili watuletee docomentary hiyo ,harafu watuletee ushahidi ni nani anayeshiriki hivo vita kati ya mtengenezaji silaha na kuzisafirisha na sisi tuliopandiliwa kama kweli.

Kwanini Kagame haelewani na wafaransa??

Hawa jamaa wapumbafu mki wa entatain watatufanya vibaya, mimi nakutana nao kila siku na wanashangaa sana kuona Tz hakuna vita.Hawa jamaa wapumbafu wameanza kwa kutengeneza docomentary ili kuwavuta hisia.
 
Hawa jamaa msiwa endekeze, ni wajanja sana wao wanchotuzidi ni plan na wito walio nao mbele ya mataifa yao.

Ni wataalamu wa kucheza maigizo sana , na maigizo yao ni ya long term, wanaanza kucheza kwanza na hisia za wahusika na kwakutumia media ili kuthibitisha matakwa yao. Hawa jamaa wanafurahi sana kama wewe unafurahi unapoona nyani kawekwa kati na mbwa wako.

Nafikri wameshaona potential fulani imebaki Tanzania, Nachofikiri wanachokiaandaa ni kuwa mwisho wa mwisho vizazi vya Rwada ,burundi na kongo wataona matatizo yao yameletwa na TZ na mwisho wa mwisho wanaungana wanatuvamia.

Hawa wapumbafu wameshaona Tz hakuna chokochoko rahisi ambalo linawezwa ku wa stimulate watanzania wakashikiana mapanga wenyewe kwa wenyewe. Sasa naona wanatafuta kumanipulate watu kama wanyarwanda .

tupigane vikumbo sisi kwa sisi CHADEMA,CCM,CUF.Lakini msiwape chansi hawa wapumbafu.

Hao hao ndio wamewachonganisha wahutu na watusi , wakati vita ya rwada inaanza huyo kagame si alikuwa mafunzoni MAREKANI kijeshi??
 
Hawa jamaa msiwa endekeze, ni wajanja sana wao wanchotuzidi ni plan na wito walio nao mbele ya mataifa yao.

Ni wataalamu wa kucheza maigizo sana , na maigizo yao ni ya long term, wanaanza kucheza kwanza na hisia za wahusika na kwakutumia media ili kuthibitisha matakwa yao. Hawa jamaa wanafurahi sana kama wewe unafurahi unapoona nyani kawekwa kati na mbwa wako.

Nafikri wameshaona potential fulani imebaki Tanzania, Nachofikiri wanachokiaandaa ni kuwa mwisho wa mwisho vizazi vya Rwada ,burundi na kongo wataona matatizo yao yameletwa na TZ na mwisho wa mwisho wanaungana wanatuvamia.

Hawa wapumbafu wameshaona Tz hakuna chokochoko rahisi ambalo linawezwa ku wa stimulate watanzania wakashikiana mapanga wenyewe kwa wenyewe. Sasa naona wanatafuta kumanipulate watu kama wanyarwanda .

tupigane vikumbo sisi kwa sisi CHADEMA,CCM,CUF.Lakini msiwape chansi hawa wapumbafu.

Hao hao ndio wamewachonganisha wahutu na watusi , wakati vita ya rwada inaanza huyo kagame si alikuwa mafunzoni MAREKANI kijeshi??

Naona kuna nchi ningi tu zilizohusishwa Marekani ikiwemo....

The new UN report suggests that Tanzania was one of at least 25 countries that provide support to FDRL rebels. The countries, which include the United States are reportedly part of an international network helping DRC rebels to buy arms and transfer money.
 
Endeleeni kutukana na kuwaita watu wapumbafu mnapoambiwa ukweli. Na endeleeni kuamini kuwa serikali yenu ni safi na viongozi wenu si mafisadi. Endeleeni.
 
Back
Top Bottom