Kuwa mzalendo si kutetea uovu. Hata kama serikali haikuhusika moja kwa moja, kuna watu waliokuwa/wenye ngazi za juu serikalini waliohusika. Membe angesema tu kuwa haikuwa sera ya serikali kuwapa silaha wapinzani na kwamba itapeleleza shutuma hizo angekuwa more diplomatic. Lakini kwa kukanusha kwa lugha kali ni kama amemwaga mafuta kwenye moto.