Google pixel 5a 5g

Google pixel 5a 5g

msifananishe samsung na vitu vya hovyo bana.

google kaingia sokoni rasmi na simu yake pixel xl 2016 ikiwa ndio simu inayochapa camera kuliko samsung.
lakini hajawahi kufurukura kwenye market share,pamoja na kwamba ni mtoto wa nyumbani.

ukitaka simu bora kwa kila kitu tutakwambia nenda IOS ukachukue iphone.
lakini ukitaka simu yenye kila sifa tutakwambia nenda korea kachukue samsung.
pixel 7 itakohoa kwenye camera tena upande wa picha tu,ila sehemu nyingine itapigwa kwa mbali tu.
Niliwahi kuona hiyo battle youtube ya google pixel, samsung s21 na iphone 13 pro max upande wa camera. Samsung aliibuka mshindi japo wengi tulitarajia Google angeshinda.

Samsung anakupa kila kitu unachohitaji ktk simu, ila kwa ubora wa simu, ofkoz Iphone ni mzuri zaidi.
 
Pixel 6 pro is better than iphone 13 . Narudia tena in today's world of smart phones watu wanataka

1. Good quality camera (its all about pictures)
2. Simplicity (no limits)
3. Design (look)
4. RAM
5. Battery life

Kwenye hayo maeneo hapo juu ni kipi iphone 13 wamemshinda google pixel 6 pro? hakunaView attachment 2393979
Ha ha ha ha
 
Iphone 11 walibuki Ile ni 7+ ilio changamka Ila ukiniwekea 11 na xs nachukua xs kwanza ugonjwa wangu mkuu wa simu iwe na display kaliii Yani AMOLED,OLED,p oled nna Bora nibaki na kitochi kuliko kutumia simu yenye LCD display
Kwenye kioo ndo hapo samsung alipotuweza. Huwa sitamani kutoka nje ya samsumg, display zao ni moto.
 
Back
Top Bottom