Ivi unafaham sababu iphone simu zao hazishuki thamani na unapoichoka unaweza fanya top up na simu yoyote Ile.
Kwanza ni simu ambazo hazina muda ni 2009 tu ndio walitoa Toleo la kwanza so series zao SI nyingi tofaut na Samsung Wana series zaidi ya 64 Hadi Sasa...
Pia apple simu zao ziko branded kwa muda mrefu katika masoko Yao na hawatoi toi miendelezo kiholela kama Samsung labda niseme Hawana series tofaut tofaut mfano Samsung Wana ,S,note, J,A,M,series na zinginezo sijazitaja ukiitaji kuziona ingia GSMARENA zipo.