mzeemkavu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 552
- 474
Hivi hii 7 inaweza kuwa kiasi gani Dar?View attachment 2394574
1700000 inaweza kufika kwa bongo
Hivi hii 7 inaweza kuwa kiasi gani Dar?View attachment 2394574
Thanks1700000 inaweza kufika kwa bongo
Unachekesha huangalii android updates kwahiyo ios 10 inaweza kuwa bora kuliko ios 13 na kuendelea? Nakupa fact nyingine hii Pixel ndio simu ya kwanza ku-update to Android 13 na latest security updates. Nahisi bado huelewi naongelea niniShekhe mimi siangalii android 13 mbona unaongea utumboo mtupu kwaiyo kumbe tecno camon 19 ni bora kuliko samsung note 9 kisa camon 19 ina android 12 na note 9 mwisho android 10 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli ushamba ni mzigo wewe umesifia pixel 6 kwamba ina telephoto kali ebu fafanua nini maana ya telephoto alafu tafuta mtu mwenye the king of the smartphone zooms
Kumbe kuna wajinga wanaweka pixel na tecno kundi mojaUnachekesha huangalii android updates kwahiyo ios 10 inaweza kuwa bora kuliko ios 13 na kuendelea? Nakupa fact nyingine hii Pixel ndio simu ya kwanza ku-update to Android 13 na latest security updates. Nahisi bado huelewi naongelea nini
Alafu lazima ujue kuwa google wamekuja ku-compete kwenye real world phones and flagships usitaje tena TECNO
i phone ni simu ya kuelekezea watu njiaIphone 11 walibuki Ile ni 7+ ilio changamka Ila ukiniwekea 11 na xs nachukua xs kwanza ugonjwa wangu mkuu wa simu iwe na display kaliii Yani AMOLED,OLED,p oled nna Bora nibaki na kitochi kuliko kutumia simu yenye LCD display
Unachekesha huangalii android updates kwahiyo ios 10 inaweza kuwa bora kuliko ios 13 na kuendelea? Nakupa fact nyingine hii Pixel ndio simu ya kwanza ku-update to Android 13 na latest security updates. Nahisi bado huelewi naongelea nini
Alafu lazima ujue kuwa google wamekuja ku-compete kwenye real world phones and flagships usitaje tena TECNO
Google kwenye night sight ndio wameweza soon kampuni nyingine zitaiga tu.Kumbe kuna wajinga wanaweka pixel na tecno kundi moja
i phone ni simu ya kuelekezea watu njia
kuna mahali kulikuwa na sherehe ilipofika jioni tu
ilibidi wenye simu za mchongo i phone na samsung waweke mfukoni watumie pixel 3xl yangu kupigia picha
yani usiku na potrait unawekaGoogle kwenye night sight ndio wameweza soon kampuni nyingine zitaiga tu.
Kumbe kuna wajinga wanaweka pixel na tecno kundi moja
i phone ni simu ya kuelekezea watu njia
kuna mahali kulikuwa na sherehe ilipofika jioni tu
ilibidi wenye simu za mchongo i phone na samsung waweke mfukoni watumie pixel 3xl yangu kupigia picha
Kwanini nitafute show kubwaUnaongea mada za ghahawa tu shekhe ebu jaribu kufatiria show kubwa za mbele za usiku tu alafu uangalie watu wanaongoza kurecord video na kupiga picha na simu gani ndouongee hivi kiufupi tu tafuta pixel 7 pro , iphone 14 pro , samsung s22 utlra utaona utofauti mdogo sana nakila simu inasehemu ni bingwa kuliko mwingine kwenye sekta yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kuna wajinga wanaweka pixel na tecno kundi moja
i phone ni simu ya kuelekezea watu njia
kuna mahali kulikuwa na sherehe ilipofika jioni tu
ilibidi wenye simu za mchongo i phone na samsung waweke mfukoni watumie pixel 3xl yangu kupigia picha
Kwanini nitafute show kubwa
wewe una akili za kushikiwa kwa kuwa unawaona watu kwenye tv wanafanya hivyo basi
umepewa ubongo tumia sio kwa ajili ya kujaza kichwa
sikia wewe hapo piga kitu chochote kuanzia saa moja usiku na mimi napiga muda huo halafu weka hapa na mm naweka
sitaki blah blah hapa
Kumbe kuna wajinga wanaweka pixel na tecno kundi moja
i phone ni simu ya kuelekezea watu njia
kuna mahali kulikuwa na sherehe ilipofika jioni tu
ilibidi wenye simu za mchongo i phone na samsung waweke mfukoni watumie pixel 3xl yangu kupigia picha
Nilianza na 2xl ilikuwa kama friji au pasi haikai na chaji kabisa nusu saaa unachaji Tena nikaja 3a at least ikawa inamaliza siku nikachukua 3axl hii baba natoa saaa 12 monie nachaji saaa 5 sa nawashangaa wanaosema pixel hazikai nachaji nadhani wataka wanatumia 3 kushuka chini 3axl Ina 3700mah capacity ndogo ila ni Long lasting batteryyani usiku na potrait unaweka
simu za mchongo hauwezi kuweka potrait inakataa
yani usiku na potrait unaweka
simu za mchongo hauwezi kuweka potrait inakataa
Haya twende kwa ushahidi ya pixel hii hapa nipe ya kwako uliyopiga na ultraLamda hawa watu walikuwa na iphone 7/8 na kama ni samsung walikuwa na s8/s9 na kwambali s10 ila uwezi ni shawishi kabisa eti mwenye samsung s22 utrla aweze simu yake mfukoni ila apige picha na pixel 3xl daah jamaa anakambaa za dunia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupigie hiyo kali ya iphone na sisi tutakupigia ya pixel ubishi utakuwa umeishaEti simu zamchongo zinakataa potrait sikia simu ya kwanza kuwa na potrait inapiga mpaka night ilikua htc one m8 2014 ya pili nakuongezewa udambwi udambwi ni iphone 7 plus mpaka sasa potrait bora na kali ipo kwenye iphone ila kama unajua kuitumia pia
Picha imepigwa muda huu 06:14 Dar na wewe piga ya kwako sijui p nini tuoneHaya twende kwa ushahidi ya pixel hii hapa nipe ya kwako uliyopiga na ultraView attachment 2394804
Haya twende kwa ushahidi ya pixel hii hapa nipe ya kwako uliyopiga na ultraView attachment 2394804
Picha imepigwa muda huu 06:14 Dar na wewe piga ya kwako sijui p nini tuone