Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,502
Na 4?5 - 800k
6 - 1.2m
6 pro- 1.7m
4 sijui Kwa kweliNa 4?
4 sijui Kwa kweli
Oya apo ipi waterproof na 5g
Water resistantOya apo ipi waterproof na 5g
Hivyohivyo babu elimu hatuna wengineWater resistant
Naiwinda hiyo ila bajeti inakazasasa ya 6pro hta ukiwa gizani inafanya kaz fresh face id yake na battery tumia utumiavyo ukianza tumia saa 1 asubuh utakuja kuchaj saaa 4 usiku
chukua samsung 21 ultra na 22 ultra bado hufikii pixel 7 proInaweza kuwa ni simu nzuri ila sio tunakuja kuhitimisha imeizidi sijui S 21 au Iphone fulani hawa watu wapo vizuri sana tusiwavunjie heshima zao...tuendelee kutanganza biashara ila hawa Ma Legend waheshimiwe..
Endelea na hayo maigizo wakamate wa kuwakamata maana sishangai Watanzania kuwa Wadanganyika kila kukicha...chukua samsung 21 ultra na 22 ultra bado hufikii pixel 7 proView attachment 2390909
Hv google pixel 4a na 4xl zina utofauti gani?Full box 750 k mpaka 800k
used 700k kitu kama hicho
kama una budget ndogo unaweza kuchukua pixel 4 xl used ni 500k mpya 650 k hii nayo ni hatari tabu iko pale pale
chukua samsung 21 ultra na 22 ultra bado hufikii pixel 7 proView attachment 2390909
Samsung made a deal with the devil
Pixel lineup kuanzia 6 inawatafuna vibaya
I bet kabla ya kufika pixel 9 Google wanaweza kuwa crowned kuwa Na best android smartphone
Pixel bado wanajitafuta...View attachment 2392523
mambo sio marahisi namna hiyo.pixel ni simu zenye camera kali sana lakini hazina ukinzani sokoni.
angalia mfano kwenye bei simu ya pixel 6,6pro za mwaka jana na s21 na note 20 ultra,utagundua pixel zimeanguka bei sio kushuka.
Lakini ni kama wanatoa premium.View attachment 2392523
mambo sio marahisi namna hiyo.pixel ni simu zenye camera kali sana lakini hazina ukinzani sokoni.
angalia mfano kwenye bei simu ya pixel 6,6pro za mwaka jana na s21 na note 20 ultra,utagundua pixel zimeanguka bei sio kushuka.
kabisa wamedhaniriaSamsung made a deal with the devil
Pixel lineup kuanzia 6 inawatafuna vibaya
I bet kabla ya kufika pixel 9 Google wanaweza kuwa crowned kuwa Na best android smartphone
Subutuu!Bado hakuna simu ya kuilaza brand ya iPhone , mi mwenyewe sio mtumiaji wa iPhone , Ila mpak sasa iPhone ndo simu , labda mwaka kesho ndo itaanguka