Africayetuswahilitv
Senior Member
- Sep 24, 2022
- 168
- 221
[emoji23][emoji23] hivi kati ya pixel 3a gb 64 na redmi 10c gb 128 ipi nzuri..
[emoji23][emoji23] hivi kati ya pixel 3a gb 64 na redmi 10c gb 128 ipi nzuri..
wavivu wanasifia simu ambazo hawajawahi kutumiaNadhan watu wangekua wanapitia review wangekuelewa
Niliwahi kuona hiyo battle youtube ya google pixel, samsung s21 na iphone 13 pro max upande wa camera. Samsung aliibuka mshindi japo wengi tulitarajia Google angeshinda.
Samsung anakupa kila kitu unachohitaji ktk simu, ila kwa ubora wa simu, ofkoz Iphone ni mzuri zaidi.
Unamnyonga ila unahakikisha hafi."Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni".....huwa na waza sasa ukisha mnyonga haki yake unampaje?
Chaji vipi? Nataka nihamie huku soon MUNGU akijaalia..Natumia pixel 3a ila unyama wake ni balaa,
Hivi huvuti bangi kweli ni kipi hapo kilicho mzidi note 10 plus sana sana naona note 10 plus ndio iko juu kwa kila kitu hapo
Lakini hii comparison sio ya haki, note 10 ni simu ya 2019 vs pixel 5 ya 2021 kweli?Jamaa arudi shule Samsung kapigwa seem nyingi tu iyo note 10plus za Dubai sijui china chakwanza zinaishia android 12 labda sijui original version yake ya Korea itakuwa labda inaenda Hadi 13 ila pixel 4xl kupanda juu inakubali android 13
Camera washazngua aisee ,nahis wanatak kuboresha soko ,updated Gcam ya series 3 ni ujingaChaji vipi? Nataka nihamie huku soon MUNGU akijaalia..
Ni kweli m mwenyewe hata siielewWakuu wenye Google pixel 3 series nahisi Kuna mabadiliko kweny G cam ,wameeka manual kweny uboreshaji wa picha wamezngua sana hii update tupeane ujuzi jinsi ya kurud Gcam ya zamani
chaji hazikai..Chaji vipi? Nataka nihamie huku soon MUNGU akijaalia..
amini..Wakuu wenye Google pixel 3 series nahisi Kuna mabadiliko kweny G cam ,wameeka manual kweny uboreshaji wa picha wamezngua sana hii update tupeane ujuzi jinsi ya kurud Gcam ya zamani
Sasahivi Google Pixel 7 pro imepitwa kwa kamera na Xiaomi 12S Ultra na Xiaomi 13 proKwenye performance ya simu kiujumla iPhone yupo juu anafata Samsung one plus xiaomi halafu pixel ila kama ni kwa upande wa kamera tu pixel juu ya hao wote ni moto wa kuotea mbali na ile artificial intellegent yao ni moto sika japo kwa kuazima pixel 6 pro utaikubali sana
Telephoto hata kwenye Xiaomi ipoNimegoogle mkuu, si mchezooo.
Inabidi ushituke kwenye hiyo list "iPhone 13" ipo ila "iPhone 13 Pro Max" haipoHabari ziwafikieView attachment 2419821
used tunapata wapi kwa dsm mkuu,Full box 750 k mpaka 800k
Used 700k kitu kama hicho
Kama una budget ndogo unaweza kuchukua pixel 4 xl used ni 500k mpya 650 k hii nayo ni hatari tabu iko pale pale
Nenda China plaza ama mcheki Sasi dubaiused tunapata wapi kwa dsm mkuu,
Inabidi ushituke kwenye hiyo list "iPhone 13" ipo ila "iPhone 13 Pro Max" haipo
Anyway, List bila Xiaomi, hakuna kitu
Ukizingatia perfomance na price kwenye kutengeneza list ya simu basi hiyo list siyo list ya "best phones". Hiyo list ni ya "best phones to buy".yaani linapokuja swala la simu bora wenzako wanaangalia hivi.
performance/price.
sasa wale akina 13pro max,s22 ultra wanatolewa hapo sababu perfomance ni kubwa ila bei nayo ni ya mbavuni.
Bei ngapSasa ya 6pro hata ukiwa gizani inafanya kazi fresh face id yake na battery tumia utumiavyo ukianza tumia saa 1 asubuhi utakuja kuchaji saa 4 usiku