jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,864
- 10,163
Sasa ya 6pro hata ukiwa gizani inafanya kazi fresh face id yake na battery tumia utumiavyo ukianza tumia saa 1 asubuhi utakuja kuchaji saa 4 usikuhatari 4xl ina face id sensitive sana, camera kali alafu nyuma kioo na body steel, RAM 6 na storage 128 gb ebwanaa eeh jamaa wanajua