antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 51,079
- 133,383
I'd yako mpya ni ipi?ni siku yangu ya mwisho hapa asanten kwa mda tuliokuwa nao.mumenifunza mengi mumekuwa na mchango mkubwa katika maisha yangu asanteni.kwaherini twonane milele. THE END
I'd yako mpya ni ipi?ni siku yangu ya mwisho hapa asanten kwa mda tuliokuwa nao.mumenifunza mengi mumekuwa na mchango mkubwa katika maisha yangu asanteni.kwaherini twonane milele. THE END
Alikuwa anatafuta mume kakosaUnaondokaje tu JF bila kutongozwa nami?
Jana alipost huu uzi
View attachment 3655868
Amani ya BWANA iwe nawe ndugu!Nimekosa sana sitahili tena kuishi mimi ni mwenye dhambi.ila kabla sijakata roho naungama dhambi zangu zote nisamehewe
Unapoungama dhambi ni lazima uzitaje. Bila kutaja dhambi zako huwezi kusamehewa.Nimekosa sana sistahili tena kuishi, mimi ni mwenye dhambi ila kabla sijakata roho naungama dhambi zangu zote nisamehewe
leo dada kashaniambukiza kuthank.secretarybird jifunze maswala ya kuthanks mkuu hapa just hata rip na ukimbei. Kweli unalike hata visivyohitaji like kiongozi au hii id n yako?
Ngoja tu ataolewa na kijana wangu mkubwa.Alikuwa anatafuta mume kakosa
kweli kakuambukiza nduguleo dada kashanibukiA kuthank.
Kabisa.kweli kakuambukiza ndugu
Samahani dada ANGU sina nia mbaya.Sometimes kutype ni njia ya kutapa tapa
Ni moja ya namna mtu anatumia kuomba msaada
Japo kwa case ya mleta mada na nyuzi zake, bila shaka hii ni moja ya changamsha jukwaaa
Kesho atakuja na uzi akisema amerudisha jinsia yake ya kiume
Umekuwepo JF kwa muda gani hadi uone umejifunza mengi?Ni siku yangu ya mwisho hapa asanten kwa mda tuliokuwa nao. Mmenifunza mengi mumekuwa na mchango mkubwa katika maisha yangu asanteni. Kwaherini twonane milele. THE END