Goodbye JF!!

JF Members....Huwa mnaanza hivi hivi kama mzaha ....Mwisho mnaondoka kweli..Rekodi zimo humu..

Basi sawa:Kwaheri ya kutoonana Mkuu..Japo ni Ubinafsi uliopitiliza ..wa kujijali wewe tu na kutuona wengine tunaokuzunguka si chochote kwako na hatuna maana kabisa..!!!?
Maisha yako ni ya Muhimu kwa Wengine na Wao ni Wa Muhimu kwako....tambua hilo.
 
Ila kweli Jf siku hizi hata mi naingiza kwa vile nomezoea.
Yani inaboo sana tofauti na zamani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…