Naomba viongozi wa CHADEMA watoe tamko juu ya hili la sivyo. vitu hivi haviniingii akilini.
mada haijasema LEMA hapendwi Arusha bali inamtuhumu ana kashfa huku akijificha kwenye kivuli cha umaarufu na kupendwa.
Kweli halafu tabia ya kujiita majina ya kike wakati dume tena bingwa wa kutembea na wake za makada wenzako uache au una hemewa maana haiingii akilini dume ujiite mama...
Nitawashangaa viongozi wa chadema kama wataacha shughuli zao na kuja kutoa tamko kwa kujibu hoja za uwongo zilizotengenezwa na wapumbavu.
kwanza hao watu hawajulikani wanatokea wapi.
Hauitakii mema chadema. Dawa ya tuhuma ni kujibu si kukaa kimya.
Uongo usipokanushwa hugeuka kuwa ukweli
Labda nikukumbsuhe kuwa kukanusha au kuthibitisha tuhuma ni sehemu ya majukumu ya kiongozi makini.Kama hakutokea hapa bila kupepesa macho nitaamini haya yote tena kwa ushahidi wa barua kuwa ndg Lema ameyatenda.Hizi siyo tuhuma ni uwongo, viongozi wa chadema wana shughuli nyingi za kuwatumikia wananchi. huu ni idaku wa kishoga, tunatosha kuwajibia humu.
Lema atalitolea ufafanuzi kwenye mikutano yake ya M4C karibu.
cha kujiuliza ni hao walioandaa huo uwongo ni akina nani
Kwasababu ni feki ndo maana umeshindwa kuiweka wazi. Tafuta uongo mwingine huu umefeli. Mapokezi yake kutoka KIA yanathibitisha uongo wa hii doc feki. Mmeanza kuchanganyikiwa sasa. Mwacheni Mbunge wetu afanye kazi sasa masalia nyieraha ya hii document ingekuwa wazi nimeshindwa kuiweka wazi ili isomeke kwa urahisi.
Tatizo zio kushikwa pabaya au pazuri, tatizo ni uzushi, hata hao unaowaita wajumbe hakuna hata mmoja aliyesaini hiyo document. Halafu pia hiyo doc haina nembo ya chama kama kweli imetokea kwenye moja ya matawi lazima ingekuwa na nembo ili iwe official, lakini kwa uzuzu wenu mnafikiri kila mtu ni zuzu kama nyie. Jaribuni hengine hapa mmenoa, na akirudi bungeni tunataka majibu ya waziri mkuu kulidanganya bunge. MNAMUOGOPA E.CCM ikishikwa pabaya ni halali
CHADEMA ikishikwa pabaya ni haramu
Kwa mwendo huu tutafika salama????????
Nimezisoma hizo nyarakafeki, sijaona ukashfa wala chembe ya kuiua chadema!
Mods: kumekuwa na taswira flani ya uachaji wa mijadala ya kizushi inayotupotezea mda na kushusha hadhi ya jukwaa hili!
Uzushi kama huu haina haja ya kuuacha watu waendelee kuangalia!
wa kuacha ujinga ni wewe na wenzako mnaoshabikia upumbavu, mnashindwa kutofautisha tuhuma na uwongo.
Hivi mbona mnapenda kubisha vitu ambavyo vipo wazi ndugu zangu? Mgogoro wa madiwani ulikuwa lini na hii barua imeandikwa lini? Msione watu wote wanaweza kukubaliana na ujinga huu kamwe. Lema yupo hapa jf aje atolee ufafanizi hizo hoja au hata viongozi wa Chama kuanzia ngazi ya shina mpaka Taifa wapo hapa waje watoe ufafanuzi. Mbona wamekuwa wepesi wa kutoa taarifa na fafanuzi nyingi hata susizo na maana hapa lakini kwenye tuhuma nzito kama hizi wapo kimya kwa nini? Hizi tuhuma zipo uongozi ngazi zote wilaya, mkoa na hata taifa wanazo ni kiasi cha wao kuja na kusema ni tuhuma za kizushi au vipi watu waelewe au wahoji zaidi, I think this is what CDM should do simple as thatndg yangu maporogo hyo document iliandikwa muda mrefu baada ya mgogoro ule wa madiwani Arusha. Na ulikuwa na lengo la kudhoofisha chama kutoka kwa madiwani waliofukuzwa na kukimbilia mahakamani. Hvy lengo lao lilikuwa kumshutumu lema kwa kile walichoamini kuwa ni yeye ndiye aliyesababisha kumbe riyo. Bt asante kwa docment yako kwa kuwa haukujua ilivokuwa.
kwan kuandika majina na kusaini bila sabb inashindikana? Kumbuka wakati wa kampeni 2010 walitengeneza picha dhidi ya Dr. Slaa na mchumba wake na kuzitoa kwy vyombo vya habari, hadi leo hawaonekani tena wale na picha zao. Kwa maoni yangu CCM mgejitahidi kutekeleza ilani yenu na kurudisha imani kwa watanzania ili kujinusuru chama chenu kuliko kuwa hangaikia CDM wanaopanga mambo yao.
Wanaoumia ni wanachama na wapenzi wa CDM walioijenga chama kwa muda wote huo. Kufukuza wanachama siyo afya kwa chama chochote. Wanachotakiwa kufanya ni kuonyana na ifuate katiba ya chama. Siyo kila mwenye wazo tofauti afukuzwe hii kwanza siyo demokrasia lakini pia haitakuwa na maana ya uhuru wa kujieleza lakini uhuru huo usipite mipaka. Kamati za maadili ndiyo kazi yake hiyo kuchuja kauli na mienendo ya viongozi jamanichadema inavurugika ccm inawauma, chadema inatimua wanachama wake mahili ccm inawauma,. Da kunakitu apa sio bure,. Maccm bwana
nimepewa na mdau kutoka chadema makao makuu ilishafika kwa Dk. wa kweli