Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,536
yule bwana ninavyomfahamu na siasa zake za jazba na kukurupuka;siku si nyingi atafanya kituko cha mwaka.mtaniambia.(mimi sio wassira lakini)My Take: Chadema isipokuwa makini umaarufu wake utapungua kutokana na migogoro mingi inayokikumba chama hicho. Mwaka 2015 si mbali jahazi linaonekana kuyumba ukilinganisha na huko nyuma. Wengi wataumia ndani ya chama hicho kwani umaarufu wa mtu unakuwa juu ya chama. Hizi tuhuma dhidi ya Lema hazikijengi chama bali zinakibomoa. Arusha hali si shwari.
mODS SAIDIA KUWEKA WAZI DOCUMENT HII ILI WANAJf WAPATE KUSOMA KWA URAHISI.