Nimezisoma hizo nyarakafeki, sijaona ukashfa wala chembe ya kuiua chadema!
Mods: kumekuwa na taswira flani ya uachaji
wa mijadala ya kizushi inayotupotezea mda na kushusha hadhi ya jukwaa hili!
Uzushi kama huu haina haja ya kuuacha watu waendelee kuangalia!
Yeriko unataka kibisha kuwa Lema alilitembeza Tractor Arusha nzima na akatangaza litakuwa linalima mashamba ya wajane na wao wataweka mafuta tu? Au ndugu yangu wewe ni mtu wa Arusha kwenye JF lakini unaishi Mtwara? Na siku ya kwanza alilionyesha pale chinjachinja makao mapya pamoja na pikipiki ambayo nayo pia haijulikani ipo wapi? Tatizo siyo Tractor hapa wala kiwanja tatizo kubwa ni kwamba yeye Lema mwenyewe alitamka kwenye mkutano wa hadhara na siyo kwenye press. Kwa hiyo usitetee vitu ambavyo ni kweli watu wanakuona na wewe ni mpumbavu arif