MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 793
- Thread starter
- #421
Habari yenyewe ya mwezi wa tano mwaka jana, unatuletea leo kama siyo bange ni nini? siyo lazima upost thread, unaweza kubaki kusoma za wenzako wenye akili au kuchangia maoni tu.
punguza bange kwani hujui kusoma tarehe na mwezi? rudi tena kwenye barua