Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Habari yenyewe ya mwezi wa tano mwaka jana, unatuletea leo kama siyo bange ni nini? siyo lazima upost thread, unaweza kubaki kusoma za wenzako wenye akili au kuchangia maoni tu.

punguza bange kwani hujui kusoma tarehe na mwezi? rudi tena kwenye barua
 
Mkuu, document hiyo imetoka kwenu Arusha na kusainiwa majina hayo umeyaona na imetumwa hadi makao makuu ya chadema. Mimi sijaongeza neno kwa nini unanishambulia mimi binafsi? badala ya kujibu yatokanayo na hiyo Document?
Lema atamtoa damu gambo, najua wewe ni mama gambo mnatumia mbinu zote eti mkiamini mnamfitinisha Lema. Tambueni chadema ishavuka level hizo
 
My Take: Chadema isipokuwa makini umaarufu wake utapungua kutokana na migogoro mingi inayokikumba chama hicho. Mwaka 2015 si mbali jahazi linaonekana kuyumba ukilinganisha na huko nyuma. Wengi wataumia ndani ya chama hicho kwani umaarufu wa mtu unakuwa juu ya chama. Hizi tuhuma dhidi ya Lema hazikijengi chama bali zinakibomoa. Arusha hali si shwari.

attachment.php

attachment.php


Zaidi, angalia attachments chini
Mama Porojo, ulizaa mtoto ukamwita Porojo au Porojo ni mumeo?
 
Mkuu, document hiyo imetoka kwenu Arusha na kusainiwa majina hayo umeyaona na imetumwa hadi makao makuu ya chadema. Mimi sijaongeza neno kwa nini unanishambulia mimi binafsi? badala ya kujibu yatokanayo na hiyo Document?
Mama POROJO Huna baya, asante kwa kutufunulia ukweli wa mambo yaliyojificha!
 
Back
Top Bottom