Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Mbona kabla hajarudishiwa ubunge mlikuwa kimya?Cdm ina wafuasi wengi hivyo nyi ambao hamfiki hata 50 msitutishe.
 
Acha kumsakama huyo jamaa. Tunajadili chama ambacho watanzania wanaambiwa kwamba kikishika madaraka, maisha yatabadilika na utakuwa mwisho wa ufisadi. Katibu dhaifu tungoje atafanya nini. Kama barua hiyo hajaipata, chukueni mumpelekee halafu mlete majibu baada ya kufanya uchunguzi wa kina.

'CDM ina intelligensia kali sana ikiongozwa na bin watch eight!

Huyo bin watch eight na double life yake hana lolote, ni magumashi tupu. Kawapata magumashi wenzake basi wanamuona eti ni super agent. Tanzania wajinga hawawezi kuisha kutapeliwa kimawazo. My day!
 
huu ni upumbavu shirikishi

haya ndio majibu ya malalamiko ya wananchi wa arusha kudai haki, usawa, uwajibikaji na kufuatwa kanuni ndani ya chama na mbunge lema????? kweli chadema tuna nazi sio vichwa.
 
Mbona kabla hajarudishiwa ubunge mlikuwa kimya?Cdm ina wafuasi wengi hivyo nyi ambao hamfiki hata 50 msitutishe.

mkuu, hiyo sio akili ni matope... kwa chama makini au taasisi iliyokomaa na inayojali maslahi ya wafuasi wake haiwezi kudharau hata mtu mmoja hata siku moja.kumbuka hao wengi walianza na mmoja.
 
Marry chatanda acha ujinga wako,i know you very well.
Kumbe ule ujinga uliokua unanieleza ndo umeamua kuuleta rasmi humu

mbona hukutuambia hapa siku umeongea nae??? kwann unasubiri maovu yako yawekwe hapa ndio uibuke, umekula vya watu wewe, rudisha haraka
 
ndg yangu maporogo hyo document iliandikwa muda mrefu baada ya mgogoro ule wa madiwani Arusha. Na ulikuwa na lengo la kudhoofisha chama kutoka kwa madiwani waliofukuzwa na kukimbilia mahakamani. Hvy lengo lao lilikuwa kumshutumu lema kwa kile walichoamini kuwa ni yeye ndiye aliyesababisha kumbe riyo. Bt asante kwa docment yako kwa kuwa haukujua ilivokuwa.
 
haya ndio majibu ya malalamiko ya wananchi wa arusha kudai haki, usawa, uwajibikaji na kufuatwa kanuni ndani ya chama na mbunge lema????? kweli chadema tuna nazi sio vichwa.

Nchi ndiyo inaongozwa na JK mwenye kifuu cha Nazi badala ya kichwa kama wewe
 
mi nadhani unamuonea mleta mada bure, yeye ameweka hapa kile alichopata kwa vyanzo vyake ili watu waone na washauri ipasavyo.. nadhani ingekuwa bora sana kama ungeshambulia hoja zilizoelekezwa kwa lema kuliko kumshambulia mleta mada, utakuwa unapoteza mda wako bure coz watanzania wana akili kuliko wewe unavyowaona

hili tatizo ni kubwa sana hapa jf, yaani watu wanashambulia mleta hoja badala ya kushambulia hoja yenyewe, bado mtu anajiita great thinker, kuna haja ya mods kutoa semina kwa members hasa wageni ili kuweka mambo sawa.
 
Nchi ndiyo inaongozwa na JK mwenye kifuu cha Nazi badala ya kichwa kama wewe

mkuu unazidi kuchanganyikiwa, angalia usije kuwa umelazwa mirembe ukadhani uko salama ukaacha kwenda kupata dawa....

mada hapa inaelezea jinsi lema anavyoharibu chama huko arusha, anafisidi matrekta ya wajane,yatima, ana fukuza wanachama na viongozi hovyo, ana wakataa wasomi kwenye chama. wewe unahangaika na JK, punguza mahaba yasiyo na maana utakufa vibaya.
 
hili tatizo ni kubwa sana hapa jf, yaani watu wanashambulia mleta hoja badala ya kushambulia hoja yenyewe, bado mtu anajiita great thinker, kuna haja ya mods kutoa semina kwa members hasa wageni ili kuweka mambo sawa.

upumbavu ni hoja ? ....

stereotype
 
Nchi ndiyo inaongozwa na JK mwenye kifuu cha Nazi badala ya kichwa kama wewe

Lema aliomba kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wananchi na akapewa huko BURKA lakini kiwanja hicho kimeandikwa/ kimesajiliwa kwa jina lake.
 
hili tatizo ni kubwa sana hapa jf, yaani watu wanashambulia mleta hoja badala ya kushambulia hoja yenyewe, bado mtu anajiita great thinker, kuna haja ya mods kutoa semina kwa members hasa wageni ili kuweka mambo sawa.

Hiyo wanafanya pale wanapoona hawana hoja juu ya hoja inayojadiliwa. Si umeona kina Nyeriko Nyerere wanataka thread ifutwe, lakini cha ajabu haohao ndio walikuwa mstari wa mbele kulalamika kufutwa kwa gazeti la Mwanahalisi! Sasa watu werevu wanajiuliza hawa wanachotaka ni uhuru wa vyombo vya habari au kingine?

Enzi zile wakati Chadema inaiheshimu JF swala hili lingekuwa limeshatolewa ufafanuzi, lakini siku hizi hata Slaa ameacha kabisa kupost. Aliikumbatia JF wakati wa uchaguzi tu kwa sababu alikuwa na maslahi nayo kisiasa, ikifika 2015 atarudi tena JF!
 
Mkuu, document hiyo imetoka kwenu Arusha na kusainiwa majina hayo umeyaona na imetumwa hadi makao makuu ya chadema. Mimi sijaongeza neno kwa nini unanishambulia mimi binafsi? badala ya kujibu yatokanayo na hiyo Document?

kwan kuandika majina na kusaini bila sabb inashindikana? Kumbuka wakati wa kampeni 2010 walitengeneza picha dhidi ya Dr. Slaa na mchumba wake na kuzitoa kwy vyombo vya habari, hadi leo hawaonekani tena wale na picha zao. Kwa maoni yangu CCM mgejitahidi kutekeleza ilani yenu na kurudisha imani kwa watanzania ili kujinusuru chama chenu kuliko kuwa hangaikia CDM wanaopanga mambo yao.
 
inaonekana una macho lakini hayaoni au yanaona giza giza...barua imeelekezwa kwa kamati kuu ipitie kwa slaa kutoka kwa wananchi wa arusha, tuliza kichwa mapepe ya nini??

chadema inavurugika ccm inawauma, chadema inatimua wanachama wake mahili ccm inawauma,. Da kunakitu apa sio bure,. Maccm bwana
 
haya ndio majibu ya malalamiko ya wananchi wa arusha kudai haki, usawa, uwajibikaji na kufuatwa kanuni ndani ya chama na mbunge lema????? kweli chadema tuna nazi sio vichwa.

kama chabema haikufai hamia chauma au adc
 
upumbavu ni hoja ? ....

stereotype

lema anavunja katiba ya chama kwa kuwafukuza uanachama makamanda bila kufuata utaratibu na kanuni za chama mfano amemfukuza kamanda mboya,na katibu wa wilaya wa zamani KREDO ADAM alivuliwa uongozi kwa maelekezo yake...


2. Lema ndio chadema arusha, anaamini kuwa bila yeye hakuna chadema arusha, je ni kweli???? fikiri kabla hujatuma post yako mkuu.
 
Tunajua Lema Anawakera sana Wazee wa Lumumba ( Magamba) Kwakuwa tumeshajua ujinga wenu na upuuzi wenu na sisi tutawapuuza maana mjinga hajibiwi hujibiwa na mijinga mwenzake... Chadema ni Taasisi imara na itaendelea kuwa Imara na Kamwe haitatetereka, Lema kapitia Misukosuko mingi ya Kutengenezwa na CCM. Wanaojua ukweli wa hizo Propaganda ni Wananchi Wa Arusha na Siku zote waneendelea Kuwapuuza Vibaraka Wa CCM kama wewe Mleta Mada hapa.

Chadema Tutaendelea kuwapigania Watanzania wenzetu na Kamwe Hatutakatishwa Tamaa na Watu kama nyie.... Sahahuni kuhusu Arusha Kamwe hamuwezi kuwa na Mamlaka nako mtaendelea kuisikia tu arusha na wengine siku hizi mnajipendekeza ilimuweze kuingia Arusha na Kufanya mikutano... Ila hamtafanikiwa Tumewajua siku nyingi na Tumeutangazia Umma kuwa nyie ndiyo maadui wa Rasilimali za Umma. Mapambano yanendelea..... Tutashinda...
 
Mods, ziweke wazi hiyo document naona naandamwa mimi au mwanaJf yeyote aziweke wazi kwani zina ushahidi wa ninachosema dalili hizo ni mbaya kwa chadema Arusha.

wewe mama porojo hakuna dalili yoyote mbaya hapo. kwanza nachukia sana mtu anayesema tuhuma halafu huko ndani ni.....inadawa,inasemekana kachangisha,na upuuzi kama huo. mnataka kamati kuu ije utafute trekta!!ivi mna hata tone la akili nyie?eti sijui katibu kafukuzwa kwa maelekezo ya lema,ivi katiba yenu mnaijua nyie!toeni njaa zenu hapa. kama mmeshindwa kutengeneza kashfa zenye hoja mkajisidie mlale, shwaaain!
 
mi nadhani unamuonea mleta mada bure, yeye ameweka hapa kile alichopata kwa vyanzo vyake ili watu waone na washauri ipasavyo.. nadhani ingekuwa bora sana kama ungeshambulia hoja zilizoelekezwa kwa lema kuliko kumshambulia mleta mada, utakuwa unapoteza mda wako bure coz watanzania wana akili kuliko wewe unavyowaona

we ndo nimeona unapoteza mda, watumakini hatuwezi jadili hoja za kijinga km hiyo. Acha ashambuliwe apate akili asirudie kuleta huu upuuuz
 
mkuu unazidi kuchanganyikiwa, angalia usije kuwa umelazwa mirembe ukadhani uko salama ukaacha kwenda kupata dawa....

mada hapa inaelezea jinsi lema anavyoharibu chama huko arusha, anafisidi matrekta ya wajane,yatima, ana fukuza wanachama na viongozi hovyo, ana wakataa wasomi kwenye chama. wewe unahangaika na JK, punguza mahaba yasiyo na maana utakufa vibaya.

Nilikwisha jua wewe huna kichwa una kifuu cha nazi chenye nywele kama JK anaetembeza bakuli huku anafanya ufisadi (wazi wazi) na kuua watu ili abaki madarakani. Baada ya kuweka rehani kusini kumuokoa mwanae bomba la gesi linamtokea puani. Usisahau Lema unayemzunguzia alimuanika JK wako kuingilia hukumu yake mahakama ya Arusha. Sasa kavamia hukumu ya igunga


Lema hachafuki na kifuu kama wewe na CCM yako dhaifu
 
Back
Top Bottom