gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,323
- 3,378
Mmemuandama dr slaa sana tu atikisiki,Mmeanza kumchimba Lema.NIKIWA KAMA Katibu mwenezi wa chadema ktk mojawapo ya kata hapa arusha Mjini napingana nawe.HALI YA CHADEMA ARUSHA NI SHWARI na hapa tulivyo ni vigumu mno hata kuona bendera ya magamba kwa mabalozi ambao nadhani HAWAPO siku hizi ktk jimbo hili.hizi ni siasa za sewage za mama porojo na akina mama chatanda.
Nyie rukenirukeni tu lakini muda si mwingi jibu litapatikana,mlio na uwelewa finyu mnasema CDM ni chama makini kaeni hivyo hivyo na umbumbu wenu CDM kama ni bomu sasa tunahesabu sekunde!