J.K.Rayhope
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 316
- 31
sio kila jambo ni FITINA,chukueni hatua,fanyeni uchunguzi,kama si kweli walioandika haya wachukuliwe hatua na ikidhibitika ni kweli kanuni,taratibu na Sheria zenu zifanye kazi ni kwa mstakabari wa chama chenu na si vinginevyo.
maana kila jambo ukiliona linakugusa na ukaliacha eti kwa sababu halikupendezi litaharibu mwelekeo baadae.
Unafiki,unafiki,unafiki,unafiki.Umechangia vizuri ila umetumwa.Hatupumbaziki.Endelea na wengine wote ni unafiki tu.