Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Upuuzi kama huu unamfanya mtu awe dormant! Hivi walioweka mabilioni Uswisi wameishia wapi? Gesi, Simbion, Richmond yameshasahaulika? Au Lema anawasumbua vichwa wana CCM
 
Nitawashangaa viongozi wa chadema kama wataacha shughuli zao na kuja kutoa tamko kwa kujibu hoja za uwongo zilizotengenezwa na wapumbavu.
kwanza hao watu hawajulikani wanatokea wapi.

kweli kabisa baba angu si hata mm nta sha ntashangaa kweli....kwan huyu si kijana wetu wa Pale Machame
 
Hapana nasema tena hapana!!! CHADEMA lazima kuna tatizo! lakini kwa kuwa munatahadhalishwa mapema kabla ya 2015, hiyo ni faida kwenu kama mutafanyia kazi. CHUNGUZENI HILI, WATU WAMEICHOMA CCM LAKINI MBADALA NDO TATIZO!!!
 
Nimesikitishwa hata pesa za Wale vijana waliopigwa risasi? dah hapana, tunamuhitaji aje aweke mambo sawa hapa.
 
sio kila jambo ni FITINA,chukueni hatua,fanyeni uchunguzi,kama si kweli walioandika haya wachukuliwe hatua na ikidhibitika ni kweli kanuni,taratibu na Sheria zenu zifanye kazi ni kwa mstakabari wa chama chenu na si vinginevyo.
maana kila jambo ukiliona linakugusa na ukaliacha eti kwa sababu halikupendezi litaharibu mwelekeo baadae.

Sio kila linaloletwa na majuha lazima lijibiwe, kuna nyingi sana za kujenga chama badala ya kujibu kila -----... CCM wanatengeneza uongo halafu unataka CDM waukanushe! kwasasa wako bize na M4C sio kujibu PUMBA za akina mama porojo.
 
Na kwa post hii una hesabiwa kule lumumba...
Na huu ndio udhaifu wenu mwengine PRO CHADEMA JF Mnadhani kila anayewaambia ukweli unaouma ni mwanachama wa CCM....

Zichukulieni hizi kama changamoto za kuimarisha chama si kila kitu muanzishe ligi isiyo na ulazima
 
Na huu ndio udhaifu wenu mwengine PRO CHADEMA JF Mnadhani kila anayewaambia ukweli unaouma ni mwanachama wa CCM....

Zichukulieni hizi kama changamoto za kuimarisha chama si kila kitu muanzishe ligi isiyo na ulazima

hapo hakuna changamoto acha kupoteza muda mkuu.
aliyoibua hizo tuhuma anadai ni kiongozi wa chama, je, alichukua hatua gani ndani ya chama na alipewa majibu gani?
je, alishawahi kumwuliza Lema?

Huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine unaoibuliwa na wapumbavu wenu wa magogoni plus PM7!

Magamba wameona Lema ni tishio kwa uhai wao, sasa wanaibua the so called tuhuma!
Manyang'a nyie!
 
Nilishawahi kusema humu ndani,Lema ni tatizo,na sio solution.
 
Nilishawahi kusema humu ndani,Lema ni tatizo,na sio solution.

Ni kweli kabisa Lema ni tatizo kwa kuwakosesha ccm usingizi.
Kikwete mwenyewe halali kwasababu ya Lema.
Lema ni tatizo
 
hivi kikwete alishajibu walaka wa Lema wa mwezi wa sita..
 
Ni kweli kabisa Lema ni tatizo kwa kuwakosesha ccm usingizi.
Kikwete mwenyewe halali kwasababu ya Lema.
Lema ni tatizo

JF kuna vituko kweli eti Kikwete halali kwasababu ya Lema.

Lema ana athari gani katika siasa za Tanzania wameishindwa mabosi wenu Dr Slaa na Mbowe hawa wote JK kaishapiga chini.

Lema ana zaidi ya kupanda juu ya bonet la gari huku umelala na gari linakwenda mwendo kasi...
 
JF kuna vituko kweli eti Kikwete halali kwasababu ya Lema.

Lema ana athari gani katika siasa za Tanzania wameishindwa mabosi wenu Dr Slaa na Mbowe hawa wote JK kaishapiga chini.

Lema ana zaidi ya kupanda juu ya bonet la gari huku umelala na gari linakwenda mwendo kasi...

childish ....
 
Na tunaweza kudidimia zaidi kama nchi itatwaliwa na chama chenye mwenyekiti na katibu dhaifu asiyeweza kushughilika ufisadi ndani ya chama chake.

Bila kukusahau na wewe mwenyewe mpenda madaraka lakini ni dhaifu sana hata kuliko hao uliowataja.
 
Kwa uelewa wangu, wenye yao wameyatoa hadharani kamanda Lema atupe majibu mapema na nina imani anawafahamu fika waliojiorodhesha hapo.
Ila kwa undani mada haina uzito wowote na kulalamika makao makuu hata wilaya, mkoa hamjapitia msipate majibu mmmmhhhh.
Sioni mantiki ya makao makuu kuchunguza yaliyoandikwa chama mkoa wayamalize na kamanda aendeleze mapambano bila hofu wala wasiwasi.
Tisa nasema ni njaa tu zinatusumbua na inapokuwa huoni jinsi ya kutoka (to survive thru) ndani ya chama mambo kama haya ndio huwa yanajitokeza.
 
Manago, kwa ufafanuzi kidogo tu, hawa madiwani walitimuliwa na Chadema, lakini serikali ya CCM ikalazimisha waendelee na nyadhifa zao wakati wakisubiri hukumu ya kesi waliofungua mahakamani kupinga kufukuzwa kwao. Hata hivyo pamoja na kushindwa kesi bado CCM ikawashauri wakate rufaa ambayo nayo haikufanikiwa na wakaamriwa kulipa dharama za kesi. Hapo mshauri wao mkuu, CCM, kama kawaida akawakana na kuwakimbia.

Sasa Manago, hebu tuambie hiyo barua iliandikwa lini na wakati gani. Je ilikuwa ni kabla au baada ya hukumu ya rufaa ya madiwani hao kutolewa? Naomba ukishapata majibu usikimbie, rudi hapa tuendelee na majadiliano lakini wakati unafanya homework, hebu tafakari hiki kipande;
Manago, CCM ni genge la wahuni...they are capable of doing just about anything to retain power. Poor Manago, it really pains me that there are my fellow Tanzanians, like you, who will always fall for this kind of hogwash! What's the matter with you people? Come on, wake up...this is 2013!

Afadhali umekuja na kutaka kujaribu
Kupata majibu yangu. Wala kwa taarifa yako tu siwezi kimbia hata siku moja. Madiwani waliofukuzwa kutokana na habari za magezeti na wanazi humu ndani kila siku wamekuwa wakishadadia kuwa walishindwa kesi. Kilichotokea ni kwamba walikosema kufungua kesi kwenye mahakama isiyokuwa na mamlaka ya kusikiliza ile kesi, pili walikosea kumshtaki Mbowe kwa jina badala ya bodi ya wadhamini. Hivyo mahakama ikatupilia mbali pamoja na gharama ambayo ndiyo waliolipa juzijuzi. Lakini baada ya hapo wale madiwani wakafungua kesi katika mahakama Kuu kanda ya Arusha ambapo hiyo kesi hata haijawahi sikilizwa na kwa juhudi kubwa sana ya mzee wetu Mh. Ndesamburo kuwaomba wale madiwani wafute kesi. Madiwani wale kwa heshima ya mzee Ndesamburo wakiamua kufuta ile kesi hata kabla ya kusikilizwa kwa hiyo unavyosema walikata rufaa siyo kweli!!! Naunavyosema walipigwa chini kwenye ile kesi siyo kweli!!! Bali ukweli ni kwamba walifuta ile kesi kwa nia njema tu baada ya kushauriana na mh Ndesamburo
 
Mama Porojo pamoja na kutupatia hii stori wewe mwenyewe ungechunguza kwa undani zaidi (najua unaweza) kwa sababu kwa hali iliyopo kama unajua CCM wanachofanya sasa hivi nchi nzima kuhusu CDM usingetuwekea mada hii.
It is time wasting for makamanda kwani tunajua mbaya na mzuri au baya na zuri.
 
Upuuzi kama huu unamfanya mtu awe dormant! Hivi walioweka mabilioni Uswisi wameishia wapi? Gesi, Simbion, Richmond yameshasahaulika? Au Lema anawasumbua vichwa wana CCM

Hakuna anayesema kuwa hao uliowataja hapo juu ni mapapa na hakuna anayewatetea hao hata siku moja. Ila huyu Lema anayesimama jukwaani kila kukicha anawasema vipi yeye kwa kidogo tu kama michango ya wajane, michango ya M4C inayochangwa na walala hoi ambao wanachanga ili kazi iwezefika mbali na kuwafungua macho watanzania wa vijijin, kiwanja alichoomba kwa ajili ya hosptal ya kinamama kaandika jina la lake wengine wanasema la mke wake, ameshindwa kuwa muadilifu atawezaje kuwa muadilifu kwenye vikubwa?
Halafu tusiwe watu wa kuwatetea hawa viongozi wakati wao wapo hapa jamvini waje watoe ufafanizi ili tuwaulize na maswali wayajibu. Wasiwe watu wa kuweka mabandiko ya press waje watoe ufafanuzi wa hili na mengine yenye utata

Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utawezakuona kibanzi kwenye jicho la mwenzio
 
Back
Top Bottom