Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

Godbless Lema katika kashfa ya kuiua CHADEMA Arusha

kiongozi
nashukuru kwa maelekezo mazuri,lakini naomba ondoa shaka,maana maoni ni maoni,kila mtu anahaki ya kusema lolote lile jinsi aonavyo inafaa na jinsi alivyoielewa mada husika,yale ni maoni yangu na hakuna sehemu niliyoweka shaka na ndio maoni yalivyo.
kama haya yaliongelewa humu basi sikuyaona na ningeyaona labda nimgekuwa na maoni tofauti,maana maoni yangu huwa si ya kulaumu mtu na kupendelea mtu kwa upendo nilionao kwake,napenda kutoa maoni nikiwa huru pasi ya kufungamana na jambo lolote lile.
na ndio maana nikasema kama sikweli walioandika hayo wachukuliwe hatua stahiki,huku liona hili,umeliona lile la kama ni kweli sheria,taratibu na kanuni za chama zichukue mkondo wake baada ya uchunguzi,kwa nini umeliona hili la pili na hukuliona lile la kwanza?

unaweza kupitia hapa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...jili-ya-kujenga-hospital-ya-wazazi-print.html
CCM wako kwenye harakati za kuichafua chadema lakini hawataweza kama wako makini serikali si iko chini ya CCM si waweke hati ya eneo husika tujue...
 
LEMA kapatikana akitaka kutegua hiki kitendawili bora ajitokeze kutoa majibu ya tuhuma hizi kabla hazijasambaa na kuaminika zaidi.
Kwa watu wenye akili timamu ukisoma na kama ni mfatiliaji wa maswala ya kisiasa hasa za Arusha hakika hakika Lema ataendela kuwa tesa na ameahidi mwaka huu ni kufa au kupona atawakimbiza nyie mamafala mpaka mkome yaani ni yeye na CCM...
 
Kazi kwelikweli taarifa hii iekaa kisiasa zaidi na kifitina zaidi na kiumbea zaidi jaribu kutushawishi ili tukuamini huu umbea wako nyambafu!
 
shukrani
nimekusoma kiongozi,mti wenye matunda matamu hutupiwa mawe kila wakati,hizo ni changamoto,

Propaganda hivi zilifanikiwa kuwazima waliokuwa wana siasa nguli miaka ya 90 lakini kwa dunia ya sasa hakika itakuwa ngumu sana maana watu tunafatilia mambo na kumbukumbu zipo...Hila zao zitashindwa vibaya sana na hawatukatishi taama bali ndiyo tunaongeza kasi...
 
Kinana nae kaingia kwenye siasa za maji taka! mtaendelea kulipwa mpaka lini?
 
Na tunaweza kudidimia zaidi kama nchi itatwaliwa na chama chenye mwenyekiti na katibu dhaifu asiyeweza kushughilika ufisadi ndani ya chama chake.

Ha ha ha ha...Funny....Sisi tunaongelea hali tuliyonayo sasa ivi na serikali hii ya Ma CCM wewe unaongelea "KAM.A" we have a long way to go kwa watu wenye akili kama zako.
 
Sisi tunaoishi hapa Arusha na kufanya kazi mjini tuhuma hizi ndo tunazisikia kwa Mara ya kwanza. Tatizo la kila mtu kutaka kuwa baba ndilo pepo linalotaka ukimaliza CDM. Inatakiwa wana CDM wakubali kuongozwa hata Kama una umaarufu kiasi gani. Tabia hii ya uasi wa wanachama utakimaliza chama
 
My Take: Chadema isipokuwa makini umaarufu wake utapungua kutokana na migogoro mingi inayokikumba chama hicho. Mwaka 2015 si mbali jahazi linaonekana kuyumba ukilinganisha na huko nyuma. Wengi wataumia ndani ya chama hicho kwani umaarufu wa mtu unakuwa juu ya chama. Hizi tuhuma dhidi ya Lema hazikijengi chama bali zinakibomoa. Arusha hali si shwari.

attachment.php

attachment.php


Zaidi, angalia attachments chini
Chichim at work, ila kama ni kweli maana jama wameleza kwa uzuri ili makao makuu wafanyie kazi, Mm rai yangu naomba makao makuu chadema walifanyie kazi kwa haraka. Tunataka Lema atuletee maendeleo Ars sasa, ili CCM wazidi kukoma. Napenda kukwambia Lema sisi watu warusha hata ukitupangia siku ya usafi tu tutafanya usafi kwenye Jiji letu na utapata sifa sana. Pls Lema naomba tupangie siku ya usafi na tuko tyr kununua miti ili Jiji letu liepenze!! Watu tuko tyr kuchangia maendeleo lkn tatizo ninani wa kumpatia hiyo hela asimamie? Tufanye hata kila j'mosi.
 
Kweli halafu tabia ya kujiita majina ya kike wakati dume tena bingwa wa kutembea na wake za makada wenzako uache au una hemewa maana haiingii akilini dume ujiite mama...
 
Siku hizi PRO CHADEMA WA HAPA JF wakiambiwa ukweli unaowauma hutoa jibu moja tu..
MASALIA
 
Poleni sn Masalia CDM Arusha we are stable, mnapoteza muda bure na hivi vidocument vyenu vya kupika!!!!
 
Mimi kama mkazi wa Arusha na mpenda mabadiliko ya kweli, tuhuma zilizotolewa juu ya Lema ni nzito sana na zimewakilishwa makao makuu ya Chadema. kwanza Lema anatakiwa ajitafakari na kuona kama zinaukweli wowote, na kama zinaukweli basi hana budi kujirekebisha kwa maslahi ya chama, ya wananchi na wapenzi wa Chadema Arusha.

Pili Chadema tusilewe sifa tukajisahau kwamba siku zote tutaendelea kukaa juu, pale mtu anapokosea sisi kama wadau tunatakiwa tumrekebishe (kama Mwenyekiti Taifa- Mhe Mbowe anakubali kurekebishwa kwanini Lema akatae!).

Mtoa mada ameleta barua iliyotumwa makao makuu kama ilivyo ila inashangaza wadau tunaanza kumshambulia kama yeye ndio mwandishi wa hiyo barua. Tulitakiwa tuchambue yaliyoandikwa kama yana ukweli wowote ndio tutoe hoja, kubisha bila misingi inaashiria hatujakomaa kifikra.

kama Great Thinkers lazima tujiulize hicho kiwanja kimeandikishwa kwa jina gani? Je Trekta lipo na nani alishasaidiwa kulima? ambulance ipo wapi na nani ameshawahi kuiona? ArDF imeshapokea kiasi gani cha fedha na watoto wangapi wameshasaidiwa?

Tulianza na Mungu,tutamaliza na Mungu.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema.
Umeeleza vema sana lakiniumenipa wasiwasi kama hujui juu ya trekta, kiwanja kilichoko burka na watoto waangapi wanasomeshwa. kila binadamu ana mapungufu yake lakini kwa haya ni propaganda za CCM na karibu wote walioandika hiyo barua ni watu wa Bayo na Mallya kumbuka hawa watu tuliwafukuza kwa kupokea rushwa na kutu saliti kwenye mwafaka fake...
 
Acha kutetea ujinga wewe kiongozi wako anatabia ya ukwapu kwapu.Hata Zombe alishawahi kuzungumza watu wakampuuza.

wa kuacha ujinga ni wewe na wenzako mnaoshabikia upumbavu, mnashindwa kutofautisha tuhuma na uwongo.
 
Ha ha ha ha...Funny....Sisi tunaongelea hali tuliyonayo sasa ivi na serikali hii ya Ma CCM wewe unaongelea "KAM.A" we have a long way to go kwa watu wenye akili kama zako.

Kweli taifa limekula hasara pia kuwa na wa watu wenye akili kama zako.

Huwezi ukajificha chini ya kivuli cha CCM kukwepa uovu wako. Inatakiwa kwanza uoneshe uwezo wa kuondoa hiyo hali iliyoletwa na CCM. Sasa ikiwa wewe mwenyewe una kasoro zili zile, utatuondoleaje shaka kwamba na wewe unatafuta tu ulaji kwa vile huna kazi nyingine tu ya kufanya?
 
Utakuja kuwasikia siku moja wakisema bin watch eight naye ni salia. Huyu watch eight alikosana na wenzake kwa sababu ya mgao tu hakuna lolote.

Mr DOUBLE AGENT thinks, he's on top of the word. I hope, knows the first principle of double agent. He's living by the sword, I hope he know that he gonna die by the same sword. Hawezi kuepuka maana imeingia ndani kwa mlango huo na atatoka kwa mlango uleule.
 
Back
Top Bottom