BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Aluta koooooooooontiiiiiiiiiiinyuaaaaaaaaaaaaa ni wakati wa serikali kusomeshwa alama za nyakatina wanachi kama wameshindwa kusoma alama za nyakati na kutumiwa na wahuni kupitia mahakama
lema tuko pamoja mkuu embu uliza mapema lini uchaguzi wanafanya tuufanyie kazi najua hata kama tuko mbali maombi yetu yatawaaibisha mafisadi
lema tuko pamoja mkuu embu uliza mapema lini uchaguzi wanafanya tuufanyie kazi najua hata kama tuko mbali maombi yetu yatawaaibisha mafisadi