Sina uhakika kama unajua maana ya utawala wa sheria!!!?Acha kauli za kuwatisha watu ww, usicheze na dola na lazima mfuate utawala wa sheria
Sina uhakika kama unajua maana ya utawala wa sheria!!!? Maana yake ni kwamba hakuna mtu yeyote anayetawala bali sheria (Raia wote ni sawa chini ya sheria) Hivi kama kina Lowasa na Handrew Chenge wameiba mabilioni ya wananchi lakini bado wanaendelea kupokea posho za ubunge(kodi za watanzania!!, Lema anavuliwa ubunge kwa kutoa lugha za kashfa(si matusi kama LUSINDE) wakati wa kampeni. Hapa ni nani anayefuata utawala wa sheria? wananchi wa arusha tuko tayari kwa mapambano kudai HAKI hata ikibidi kufa. Dume la mbegu+ ccm= UFISADI + UNAFIKIAcha kauli za kuwatisha watu ww, usicheze na dola na lazima mfuate utawala wa sheria
Vipi kuhusu Lusinde wakuu? Hii haiwezi kumkumba?
kwa wenye data,chaguzi ndogo mfano arumeru inaigharimu serikali sh ngapi?miaka mitano itapita tunakimbizana na chaguzi ndogo tuuu!kodi inapotea,mwananchi haletewi maendeleo wala hatekelezewi ahadi alizopewa,wabunge kutoka vyama vyote watajikuta hawajatekeleza chochote jimboni kwao!hasara kwako,hasara kwangu,hasara kwa kila mmoja wetu,HASARA KWA TAIFA!
Kuna Mtoto wa Sokoine tayari ni Mbunge; Kuna Mtoto wa Sokoine tayari yuko Ubalozini Canada hataki kukaa bongo Ameishi USA kwa Miaka 6 sasa yuko Canada kwanini Mnawapa hao watoto wa wakubwa; wana Ngo'mbe zaidi ya Elfu, wana nyumba wanasomeshwa na serikali ...
Ni sisi wanyonge tungependa kuwa Wabunge tusaidie wanyonge wenzetu, tusaidie nchi yetu angalau !!!
hakuna damu itamwagika Arusha mkuu..........watu wameelewa na tunasubiri kufanya maamuzi yetu kwenye sanduku la kura.....safari hii ni kimya kimya......
Sioi Sumari katoka kufiwa juzi tu na Baba yake. Kaachiwa mzigo mkubwa wa kusomesha wadogo zake na kulea familia yake. Ni vema CCM ikaangalia hatima ya Sioi Sumari. Hana kazi jamani! Msaidieni mwenzenu huyu. Arusha ipo karibu na Kenya, ni rahisi kwa sioi kupata kura za wahamiaji.
Acha kauli za kuwatisha watu ww, usicheze na dola na lazima mfuate utawala wa sheria
nnguu007,
..Joseph Sokoine amepigwa marufuku Tanzania na Edward Lowassa.
..adhabu yake ya kuishi nje itaisha pale Edward Lowassa atakapouchoka ubunge wa Monduli.
Siyoi has a super super job that pays him handsomely... Acheni *****Sioi Sumari katoka kufiwa juzi tu na Baba yake. Kaachiwa mzigo mkubwa wa kusomesha wadogo zake na kulea familia yake. Ni vema CCM ikaangalia hatima ya Sioi Sumari. Hana kazi jamani! Msaidieni mwenzenu huyu. Arusha ipo karibu na Kenya, ni rahisi kwa sioi kupata kura za wahamiaji.
Wale sio dada Zake....... If you don't know just keep kimyakimyaAcha ile Dada yake alikuwa Miss World Africa Nancy Sumari; Dada Mwingine Mwimbaji kasaini na SONY alikwenda Chadema kugombea Ubunge Chadema hawakumpa sababu alijiunga sababu ya Ubunge akarudi CCM kwa kishindo na kupokelewa na Kikwete pamoja na baba yake kabla hajafariki... sasa wadogo zake gani anasomesha???
Wote wanajitegemea na wana pesa...
sasa nimeamini chadema mnapenda damu hata mawakala wenu mumewaua ili mpate sympathy