Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Wana JF napenda kuwataarifu kuwa CDM inakata rufaa dhidi ya hukumu kwani kifungu alichosoma Judge kinamzuia Lema kugombea kwa miaka mingine mitano,nikirpoti kutoka Arusha mjini ni mimi mgeni wenu wa JF

Nilisema plan ya CCM ni kumuweka Lema pembeni kwa muda na kama hukumu ilikuwa haina sehemu ya kumzuia kugombea maana yake kutokukata rufaa (Ili wapige danadana) kama CCM walivyofikiria kunafanya uchaguzi uitishwe ndani ya siku 90. Kama kipengele hiki cha hukumu kimeongezwa baada ya Lema kusema hakati rufaa basi Tanzania hatuna Mahakama tena. Ila nina imani kuwa CDM walirekodi hukumu ya mwanzo wakati ikisomwa. Na kuondoka na nakala ya hukumu on spot.
 
Wana JF napenda kuwataarifu kuwa CDM inakata rufaa dhidi ya hukumu kwani kifungu alichosoma Judge kinamzuia Lema kugombea kwa miaka mingine mitano,nikirpoti kutoka Arusha mjini ni mimi mgeni wenu wa JF


Source yako naomba uibainishe otherwise tuna treat huu kama uzushi tu
 
Sasa inadhihirisha alichoniambia rafiki yangu mkubwa moja kwenye serikali ya CCM aliniambia anamnukuu,Godbless Lema,Mnyika,Tundu Lissu wote watapigwa chini na chaguzi zikirudiwa hawatashinda kwa gharama yeyote ile
Dr Wilbroad Slaa ataondolewa duniani kabla ya 2015

Ndani ya chadema wameshapandikiza watu wao kabla ya 2014 itasambaratika

Lakini mimi kama mpenda mabadiriko ni na imani na nguvu ya umma,hakuna kiumbe chochote chini ya ardhi kinachoweza kuzuia mabadiriko muda wake ukifika
Kwa sababu CCM wamejianika uchi wa mnyama wamerahisisha njia ya ukombozi Chadema itachukua dora
Kwa mwenendo wa kesi hii ulivyokuwa wazi na jinsi hukumu inavyojidhihilisha kuwa ni ya kuchongwa Lema na Chadema watapewa sympathy vote hakuna bomu,wala washawasha wala bunduki itakayozuia upepo wa mabadiriko
Nimtahadharishe Mh Jakya Kikwete na CCM kwa ujumla wasije jikuta wanachomekwa majiti kama alivyofanyiwa gaddafi nipo hapa Dar mood opfisini kwangu imebadirika hata kwa wanoko wa CCM hawaamini kilichotokea sawa bwana mujue nchi hii ni yetu wote ,siku mutajuta hamjafa ,Usalama wa taifa ulishapoteza hadhi siku nyingi,polisi ndio usisema na sasa mahakama,sasa ngojeni hukumu ya wananchi

safari hii wachimba mashimo watadumbukia wenyewe....chezeya nguvu ya umma!!!
 
Hapana hakuna haja ya rufaa juu ya hili,
kwa hukumu hii mahakama inatia mashaka makubwa,
turudi kwenye uchaguzi wapiga kura tutaamua.

Yeah!
Na hili la kuogopa kuibiwa kura halipo tena njia zao tushazijua haiwezekani tena kama mtu atakakushinda kwa kura 30,000 hata kama wewe ni mwizi wa kura kiasi gani huwezi kuingiza kura kura hizo
 
Lema ni jembe! Haijalishi magamba na mahakama zao wanachakachua kesi au la,
binafsi sina wasiwasi kwani matokeo ya arumeru yamenipa courage kubwa sana juu ya nguvu ya umma so hivyo naamini kwamba udhalimu wa hali yeyote hile kamwe hauwezi kushinda nguvu ya umma.
CHADEMA 4 LIFE
MOVEMENT 4 CRITICAL CHANGES
SOLIADARITY FOREVER...\/
 
"If to bring Tanzania back to prosperity means WAR,Then let me be a soldier!
And in being so,I dont care whether I am running towards death,or death is running towards me",by Eliahkamwela;KIAPO CHA MAPAMBANO HADI KIELEWEKE!

DU!
CCM Mnasikia lakini?
 
haya rufaa ya lema kundi mmoja ndani ya ccm lajipongeza wanaamini wamemkomoa, hawajui kuwa MAGAMBA HAYAKUBALIKI R CHUGA. lema ni Rais wa arusha.
 
pole sana kwa udharirishaji mkubwa wa mahakama uliyotokea hii ni classic example ya judicial abuse.

Naomba ukate rufaa kwa sababu jaji alichokifanya amekifanya kwa sababu ya pesa kama ambavyo ilionekana toka mwanzoni kwa kitendo chake cha kungangania Batilda aje ku testify wakati mwenyewe hataki ilikuwa ni kwa ajili tu
ya justify hukumu yake ya kupika. ombi langu kwako ni kwamba jaji yeyote atakayesikiliza kesi bila kuongwa lazima
ataibatilisha kwa sababu it has no leg to stand on na yeye jaji huyu analijua hilo amefanya alichokifanya ili awalie
pesa zao wahusika ili baadaye itapobatilishwa awaambie nilishafanya kazi yangu lakini amekuja mwingine amebadili
lakini wakati huo huo ameshatia pesa kibindoni. kuhusu swala la kuchukua muda mrefu kwy rufaa naomba uipe miezi
miwili kama haijaisha withdrawal rufaa yako ili uchaguzi uitishwe upya.
 
Mimi naona tusikate rufaa, tukubali turudi kwenye uchaguzi mdogo, ile speed ya Arumeru bado ipo kubwa hata kama ni Agost. tusiwe na Mbunge wa rufaaa, Ila maamuzi ya mwisho ni kwa viongozi wa chama.
 
Aliyetengua ni Jaji mmoja tu,halafu Arusha haijengwi na yeye. So u kno what,tusubili uchaguzi halafu Arusha kwa pamoja tuseme "Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeooooooplez" then tujib "Pawaaaaaaaaaaaaaa".Lema uckate rufaa adhabu tunayompa jaji hyo ni proving him wrong kwny uchaguzi mdogo.We people in Arusha still nid Lema in da House,na utakwenda kwa nguvu zetu.Ccm has nothing to do with Arusha hata Kikwete akija kugombea Ubunge hapa.We still love u Lema tupo pamoja now and later mpaka jimbo lirudi CDM. CCM haina swaga za hiphop so hawafai kuiongoza Arusha.
 
Nilikuwa sina chama na ni nakaa ulaya nawaambia Leo na ninafanya kazi nzuri tu, ila kwa uonevu huu, mimi ni CDM na nitapenda kuwa kiongozi wa chama na nitaenda sasa kumtoa mbunge wa CCM kwa ticket ya CDM wananchi walitaka nigombee CCM nilikuwa nilikuwa naona uchafu sana and I didn't like to be part of it, but now I don't care, come what may, we must change this hell fooolish party and make it a history!
 
Tunajua mahakama ni za ccm kwahiyo hukumu ni za kiccm kiccm sisi CDM tuwasubiri kwenye hukumu ya wananchi mahakama yetu ni kwa wananchi safari hii sijui watampeleka nani kupiga debe.
 
I could'nt comment anything since morning, i was numb. Naenda zangu kanisani Alhamisi Kuu hii, naenda nikiwa na moyo wa majonzi lakini somo ninalolipata pale Bwana wetu Yesu Kristu alipowaosha miguu wanafunzi wake kwenye last supper Inshaalah nao hawa watakoshwa.
TULIANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom