mimi nimeskitika sana hata easter yangu yote imeharibika. ushauri naomba lema asigombee tena badala yake apewe majukumu ya ukatibu mkuu azunguke vijiji vyote kukijenga chama. Dr. slaa akagombee pale arusha mjini kwa hakika atashinda na itakuwa aibu kwa ccm. kwa kuwa 2015 chadema itashinda na kuchukua dola hii mizengwe itakuwa imeisha lema atakuwa na uhakika wa kumiliki arusha ama sehemu yoyote hapa tz. vinginevyo hawa mafisadi wamepanga kuja kuweka pingamizi. hii nchi kikwete ameshaiharibu mkono wa sheria umeegemea upande wa ccm.
Ccm hata ikisimamisha jiwe itashinda Lema hajafanya chochote tangu awe mbunge zaidi ya sifa za kijinga za kukataa dhamana na kupelekwa mahabusu!
Ccm hata ikisimamisha jiwe itashinda Lema hajafanya chochote tangu awe mbunge zaidi ya sifa za kijinga za kukataa dhamana na kupelekwa mahabusu!
Mkuu, watafute mtu yeyote, cdm watashinda kwa kishindo kuliko 2010. Waache wazidi kupata aibu.Kuna tetesi wanataka kumweka kinana
Ccm hata ikisimamisha jiwe itashinda Lema hajafanya chochote tangu awe mbunge zaidi ya sifa za kijinga za kukataa dhamana na kupelekwa mahabusu!
ulikuwa rumande?
Ni hukumu ya upendeleo na haina msingi!
Mod nina hasira!! ruhusuni lugha kali hata nusu saa! tutoe hasira zetu!
hahahaaha.....Leo kakimbia kabisa....:shut-mouth:😛eace: