makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,219
Chadema msijazane ujinga bana ,bwana Lema ameona asikate rufaaa kwasababu anauhakika ashapoteza hivyo na kweli alifanya upuuzi kutoa lugha chafu, ,mbunge gani anafujo namna hiyo na kuutukana mkono uliomlisha toka akiwa mdogo, sasa kakua anajikuta na yeye anamabavu ya kuleta fujo na matusi sasa imemcost...
Jaji Gabriel Rwakibarila siwezi kuamini umeuza utu wako,taalumu yako kisa Pesa!
Kumbuka Haki haidhulumiwi bali inachelewesha, Damu yeyote itakayomwagika Arusha..itakuwa ya mikono yako!
Kumbuka malipo ni hapa hapa duniani...,leo cheka na mafisadi na hao hao ndio watakaokumaliza, GODBLESS LEMA uliyemdhulumu haki yake ndiye atayekutetea samba samba na mwenzako MAGESSA MULONGO
This is ridiculous judgement baada ya ile ya case ya Mtikila 2,
mahakama imejiingiza kwenye siasa.
Sasa tunapiga kura za hasira njema.
Hivi mnaifahamu Arusha ninyi?